Filemoni 1 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Filemoni 1:1-25

11:1 Efe 3:1; 2Kor 1:1; Flp 2:25Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, pamoja na Timotheo ndugu yetu:

Kwa Filemoni rafiki yetu mpendwa na mtendakazi mwenzetu, 21:2 Kol 4:17; Flp 2:25; Rum 16:5kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:

31:3 Rum 1:7; Efe 1:2Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.

Shukrani Na Maombi

41:4 Rum 1:8; 1:10; Efe 1:16; 1The 1:2; 2The 1:2Siku zote ninamshukuru Mungu ninapokukumbuka katika maombi yangu, 51:5 2Tim 2:22; Mdo 23:1; 1Tim 4:2; Gal 5:23kwa sababu ninasikia juu ya imani yako katika Bwana Yesu na upendo wako kwa watakatifu wote. 61:6 Flp 1:9, 11Naomba utiwe nguvu katika kuishuhudia imani yako, ili upate kuwa na ufahamu mkamilifu juu ya kila kitu chema tulicho nacho ndani ya Kristo. 71:7 2Kor 7:4, 13; 7:4, 13; 2Tim 1:16; Flm 20Upendo wako umenifurahisha mno na kunitia moyo, kwa sababu wewe ndugu, umeiburudisha mioyo ya watakatifu.

Maombi Ya Paulo Ya Kumtetea Onesimo

81:8 1The 2:6Hata hivyo, ingawa katika Kristo ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda, 91:9 Efe 3:1; Flm 1, 23; 1Kor 1:10lakini ninakuomba kwa upendo, mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Kristo Yesu, 101:10 1Kor 4:15; 1The 2:11nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo,1:10 Onesimo maana yake ni Wa manufaa. aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo. 11Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.

12Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa. 131:13 Flm 10; Mdo 21:33; 1Kor 16:17; Flp 2:20; Kol 4:9Ningependa nikae naye ili ashike nafasi yako ya kunisaidia wakati huu nikiwa kifungoni kwa ajili ya Injili. 141:14 2Kor 9:7; 1Pet 5:2Lakini sikutaka kufanya lolote bila idhini yako, ili wema wowote uufanyao usiwe wa lazima, bali wa hiari. 151:15 Mwa 45:5, 8Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. 161:16 Mt 23:8; Mdo 1:16Si kama mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.

171:17 2Kor 8:23Hivyo kama unanihesabu mimi kuwa mshirika wako, mkaribishe kama vile ungenikaribisha mimi mwenyewe. 181:18 Mwa 43:9Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi. 191:19 1Kor 16:21; Gal 6:11; 2The 3:17Ni mimi Paulo, ninayeandika waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe. Nitakulipa. Sitaji kwamba nakudai hata nafsi yako. 201:20 1Kor 16:18; Flm 7Ndugu yangu, natamani nipate faida kwako katika Bwana, uuburudishe moyo wangu katika Kristo. 211:21 2Kor 2:3; 1Kor 7:16Nikiwa na hakika ya utii wako, nakuandikia, nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya yale ninayokuomba.

221:22 Flp 2:24; Ebr 13:19; Flp 1:19Jambo moja zaidi: Niandalie chumba cha wageni, kwa kuwa nataraji kurudishwa kwenu kama jibu la maombi yenu.

Salamu Za Mwisho Na Dua Ya Kuwatakia Heri

231:23 Kol 1:17Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu, anakusalimu. 241:24 Mdo 12:12; 19:29; 2Tim 4:10Vivyo hivyo Marko, Aristarko, Dema na Luka, watendakazi wenzangu wanakusalimu.

251:25 2Tim 4:22Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

腓利門書 1:1-25

1我是為了傳揚基督耶穌而被囚禁的保羅,與提摩太弟兄寫信給我們親愛的同工腓利門弟兄、 2亞腓亞姊妹和我們的戰友亞基布,以及在腓利門家裡聚會的弟兄姊妹。

3願我們的父上帝和主耶穌基督賜給你們恩典和平安。

稱讚腓利門

4腓利門弟兄,我常常在禱告中為你感謝上帝, 5因為我聽說了你對主耶穌的信心和對眾聖徒的愛心。 6我求上帝使你能有效地與人分享信仰,明白我們所做的一切美事都是為了基督。 7弟兄啊,你的愛心給我帶來極大的喜樂和安慰,因為你使眾聖徒感到欣慰。

憑愛心求情

8因此,我儘管可以奉基督的名吩咐你去做當做的事, 9然而我這上了年紀又為基督耶穌的緣故被囚禁的保羅寧願憑愛心求你, 10就是替阿尼西謀1·10 阿尼西謀」這個名字意思是有用、有益處。求你。他是我在獄中帶領歸主的屬靈兒子, 11他過去對你沒有什麼益處,但現在對你對我都有益處。

12我現在派我深愛的阿尼西謀回你那裡。 13我本想把他留在身邊,讓他在我為傳福音而坐牢期間代替你服侍我。 14不過,未經你同意,我不願意這樣做,因為我盼望你的善行是出於甘心,而非勉強。 15或許他暫時離開你是為了讓你以後永遠得到他。 16你得到的不再是一個奴隸,而是一位遠超過奴隸的親愛弟兄。對我而言,的確如此,更何況對你呢!就肉身說你們是主僕,但在主裡你們是弟兄。

17如果你當我是同伴,就請你像接納我一樣接納他。 18如果他得罪你,或虧欠你什麼,都記在我的賬上吧。 19保羅在此親筆保證,我必償還。其實我不說你也知道,連你自己也欠我。

20弟兄啊,看在主的份上,請你答應我的請求,在基督裡讓我的心得到安慰吧! 21我寫信給你,深信你一定會照辦,甚至超過我的要求。 22同時,也請你為我預備住處,因為我盼望藉著你們的禱告,我可以蒙恩到你們那裡。

問候

23為了基督耶穌的緣故和我一同坐牢的以巴弗問候你。 24此外,我的同工馬可亞里達古底馬路加都問候你。

25願我們主耶穌基督的恩典與你們同在。阿們!