Filemoni 1 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Filemoni 1:1-25

11:1 Efe 3:1; 2Kor 1:1; Flp 2:25Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, pamoja na Timotheo ndugu yetu:

Kwa Filemoni rafiki yetu mpendwa na mtendakazi mwenzetu, 21:2 Kol 4:17; Flp 2:25; Rum 16:5kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:

31:3 Rum 1:7; Efe 1:2Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.

Shukrani Na Maombi

41:4 Rum 1:8; 1:10; Efe 1:16; 1The 1:2; 2The 1:2Siku zote ninamshukuru Mungu ninapokukumbuka katika maombi yangu, 51:5 2Tim 2:22; Mdo 23:1; 1Tim 4:2; Gal 5:23kwa sababu ninasikia juu ya imani yako katika Bwana Yesu na upendo wako kwa watakatifu wote. 61:6 Flp 1:9, 11Naomba utiwe nguvu katika kuishuhudia imani yako, ili upate kuwa na ufahamu mkamilifu juu ya kila kitu chema tulicho nacho ndani ya Kristo. 71:7 2Kor 7:4, 13; 7:4, 13; 2Tim 1:16; Flm 20Upendo wako umenifurahisha mno na kunitia moyo, kwa sababu wewe ndugu, umeiburudisha mioyo ya watakatifu.

Maombi Ya Paulo Ya Kumtetea Onesimo

81:8 1The 2:6Hata hivyo, ingawa katika Kristo ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda, 91:9 Efe 3:1; Flm 1, 23; 1Kor 1:10lakini ninakuomba kwa upendo, mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Kristo Yesu, 101:10 1Kor 4:15; 1The 2:11nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo,1:10 Onesimo maana yake ni Wa manufaa. aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo. 11Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.

12Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa. 131:13 Flm 10; Mdo 21:33; 1Kor 16:17; Flp 2:20; Kol 4:9Ningependa nikae naye ili ashike nafasi yako ya kunisaidia wakati huu nikiwa kifungoni kwa ajili ya Injili. 141:14 2Kor 9:7; 1Pet 5:2Lakini sikutaka kufanya lolote bila idhini yako, ili wema wowote uufanyao usiwe wa lazima, bali wa hiari. 151:15 Mwa 45:5, 8Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. 161:16 Mt 23:8; Mdo 1:16Si kama mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.

171:17 2Kor 8:23Hivyo kama unanihesabu mimi kuwa mshirika wako, mkaribishe kama vile ungenikaribisha mimi mwenyewe. 181:18 Mwa 43:9Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi. 191:19 1Kor 16:21; Gal 6:11; 2The 3:17Ni mimi Paulo, ninayeandika waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe. Nitakulipa. Sitaji kwamba nakudai hata nafsi yako. 201:20 1Kor 16:18; Flm 7Ndugu yangu, natamani nipate faida kwako katika Bwana, uuburudishe moyo wangu katika Kristo. 211:21 2Kor 2:3; 1Kor 7:16Nikiwa na hakika ya utii wako, nakuandikia, nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya yale ninayokuomba.

221:22 Flp 2:24; Ebr 13:19; Flp 1:19Jambo moja zaidi: Niandalie chumba cha wageni, kwa kuwa nataraji kurudishwa kwenu kama jibu la maombi yenu.

Salamu Za Mwisho Na Dua Ya Kuwatakia Heri

231:23 Kol 1:17Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu, anakusalimu. 241:24 Mdo 12:12; 19:29; 2Tim 4:10Vivyo hivyo Marko, Aristarko, Dema na Luka, watendakazi wenzangu wanakusalimu.

251:25 2Tim 4:22Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

腓利门书 1:1-25

1我是为了传扬基督耶稣而被囚禁的保罗,与提摩太弟兄写信给我们亲爱的同工腓利门弟兄、 2亚腓亚姊妹和我们的战友亚基布,以及在腓利门家里聚会的弟兄姊妹。

3愿我们的父上帝和主耶稣基督赐给你们恩典和平安!

称赞腓利门

4腓利门弟兄,我常常在祷告中为你感谢上帝, 5因为我听说了你对主耶稣的信心和对众圣徒的爱心。 6我求上帝使你能有效地与人分享信仰,明白我们所做的一切美事都是为了基督。 7弟兄啊,你的爱心给我带来极大的喜乐和安慰,因为你使众圣徒感到欣慰。

凭爱心求情

8因此,我尽管可以奉基督的名吩咐你去做当做的事, 9然而我这上了年纪又为基督耶稣的缘故被囚禁的保罗宁愿凭爱心求你, 10就是替阿尼西谋1:10 阿尼西谋”这个名字意思是有用、有益处。求你。他是我在狱中带领归主的属灵儿子, 11他过去对你没有什么益处,但现在对你对我都有益处。

12我现在派我深爱的阿尼西谋回你那里。 13我本想把他留在身边,让他在我为传福音而坐牢期间代替你服侍我。 14不过,未经你同意,我不愿意这样做,因为我盼望你的善行是出于甘心,而非勉强。 15或许他暂时离开你是为了让你以后永远得到他。 16你得到的不再是一个奴隶,而是一位远超过奴隶的亲爱弟兄。对我而言,的确如此,更何况对你呢!就肉身说你们是主仆,但在主里你们是弟兄。

17如果你当我是同伴,就请你像接纳我一样接纳他。 18如果他得罪你,或亏欠你什么,都记在我的账上吧。 19保罗在此亲笔保证,我必偿还。其实我不说你也知道,连你自己也欠我。

20弟兄啊,看在主的份上,请你答应我的请求,在基督里让我的心得到安慰吧! 21我写信给你,深信你一定会照办,甚至超过我的要求。 22同时,也请你为我预备住处,因为我盼望借着你们的祷告,我可以蒙恩到你们那里。

问候

23为了基督耶稣的缘故和我一同坐牢的以巴弗问候你。 24此外,我的同工马可亚里达古底马路加都问候你。

25愿我们主耶稣基督的恩典与你们同在。阿们!