Ezra 2 – NEN & KJV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezra 2:1-70

Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni

(Nehemia 7:4-73)

12:1 2Nya 36:20; Neh 7:6; 11:3; 2Fal 24:16; 25:12; Ezr 5:8; 6:2; Es 1:1; 8:9Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 22:2 1Nya 3:19; 6:14; Hag 2:4; Zek 3:1-10wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):

Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:

32:3 Ezr 10:25; Neh 3:25wazao wa Paroshi 2,1724wazao wa Shefatia 37252:5 Neh 6:18wazao wa Ara 7756wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,8127wazao wa Elamu 1,2548wazao wa Zatu 9459wazao wa Zakai 76010wazao wa Bani 64211wazao wa Bebai 62312wazao wa Azgadi 1,222132:13 Ezr 8:13; 7:18wazao wa Adonikamu 66614wazao wa Bigwai 2,05615wazao wa Adini 45416wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 9817wazao wa Besai 32318wazao wa Yora 11219wazao wa Hashumu 223202:20 Yos 9:17wazao wa Gibari 95

212:21 Mik 5:2; 1Nya 2:51; Rut 1:19; Mt 2:6; 2Sam 21:2; Mwa 35:19watu wa Bethlehemu 12322watu wa Netofa 5623watu wa Anathothi 12824watu wa Azmawethi 4225wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743262:26 Yos 18:25; 1Sam 7:17; Yer 31:15wazao wa Rama na Geba 62127watu wa Mikmashi 122282:28 Mwa 12:8watu wa Betheli na Ai 22329wazao wa Nebo 5230wazao wa Magbishi 156312:31 Ezr 2:7wazao wa Elamu ile ingine 1,25432wazao wa Harimu 32033wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725342:34 Kum 34:3; 2Nya 28:15; 1Fal 16:34wazao wa Yeriko 34535wazao wa Senaa 3,630

362:36 1Nya 9:10; 24:7Makuhani:

wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973372:37 1Nya 24:14; Ezr 10:20wazao wa Imeri 1,052382:38 1Nya 9:12; Ezr 10:22wazao wa Pashuri 1,247392:39 1Nya 24:8wazao wa Harimu 1,017

402:40 Mwa 29:34; Hes 3:9; Ezr 3:9Walawi:

wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74

412:41 1Nya 15:16Waimbaji:

wazao wa Asafu 128

422:42 1Sam 3:15; 1Nya 9:17Mabawabu wa lango la Hekalu:

wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139

432:43 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu:2:43 Yaani Wanethini (pia 2:58, 70).

wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

44wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,

45wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,

46wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,

47wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,

48wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,

49wazao wa Uza, Pasea, Besai,

50wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,

51wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

52wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

53wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

54wazao wa Nesia na Hatifa.

552:55 1Fal 9:21Wazao wa watumishi wa Solomoni:

wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,

56wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

57wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.

582:58 1Fal 9:21; Ezr 7:7; Yos 9:21-27; 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392

592:59 Hes 1:18Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

60wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652

612:61 2Sam 17:27; 1Fal 2:7Kutoka miongoni mwa makuhani:

Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

622:62 Hes 16:39-40; 3:10Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 632:63 Neh 8:9; Hes 18:9-11; Kut 28:30; Law 2:3-10Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.2:63 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.

64Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 652:65 2Sam 19:35tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200. 662:66 Isa 66:20Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245, 67ngamia 435 na punda 6,720.

682:68 Kut 15:2Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake. 69Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,0002:69 Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500. za dhahabu, mane 5,0002:69 Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900. za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.

702:70 1Nya 9:2; Neh 11:3-4Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

King James Version

Ezra 2:1-70

1Now these are the children of the province that went up out of the captivity, of those which had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away unto Babylon, and came again unto Jerusalem and Judah, every one unto his city; 2Which came with Zerubbabel: Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel:2.2 Seraiah: also called, Azariah2.2 Reelaiah: or, Raamiah2.2 Mispar: or, Mispereth2.2 Rehum: or, Nehum 3The children of Parosh, two thousand an hundred seventy and two. 4The children of Shephatiah, three hundred seventy and two. 5The children of Arah, seven hundred seventy and five. 6The children of Pahath-moab, of the children of Jeshua and Joab, two thousand eight hundred and twelve. 7The children of Elam, a thousand two hundred fifty and four. 8The children of Zattu, nine hundred forty and five. 9The children of Zaccai, seven hundred and threescore. 10The children of Bani, six hundred forty and two.2.10 Bani: also called, Binnui 11The children of Bebai, six hundred twenty and three. 12The children of Azgad, a thousand two hundred twenty and two. 13The children of Adonikam, six hundred sixty and six. 14The children of Bigvai, two thousand fifty and six. 15The children of Adin, four hundred fifty and four. 16The children of Ater of Hezekiah, ninety and eight. 17The children of Bezai, three hundred twenty and three. 18The children of Jorah, an hundred and twelve.2.18 Jorah: also called, Hariph 19The children of Hashum, two hundred twenty and three. 20The children of Gibbar, ninety and five.2.20 Gibbar: also called, Gibeon 21The children of Beth-lehem, an hundred twenty and three. 22The men of Netophah, fifty and six. 23The men of Anathoth, an hundred twenty and eight. 24The children of Azmaveth, forty and two.2.24 Azmaveth: also called, Beth-azmaveth 25The children of Kirjath-arim, Chephirah, and Beeroth, seven hundred and forty and three. 26The children of Ramah and Gaba, six hundred twenty and one. 27The men of Michmas, an hundred twenty and two. 28The men of Beth-el and Ai, two hundred twenty and three. 29The children of Nebo, fifty and two. 30The children of Magbish, an hundred fifty and six. 31The children of the other Elam, a thousand two hundred fifty and four. 32The children of Harim, three hundred and twenty. 33The children of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred twenty and five.2.33 Hadid: or, Harid, as it is in some copies 34The children of Jericho, three hundred forty and five. 35The children of Senaah, three thousand and six hundred and thirty.

36¶ The priests: the children of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred seventy and three. 37The children of Immer, a thousand fifty and two. 38The children of Pashur, a thousand two hundred forty and seven. 39The children of Harim, a thousand and seventeen.

40¶ The Levites: the children of Jeshua and Kadmiel, of the children of Hodaviah, seventy and four.2.40 Hodaviah: also called, Judah or Hodevah

41¶ The singers: the children of Asaph, an hundred twenty and eight.

42¶ The children of the porters: the children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of Akkub, the children of Hatita, the children of Shobai, in all an hundred thirty and nine.

43¶ The Nethinims: the children of Ziha, the children of Hasupha, the children of Tabbaoth, 44The children of Keros, the children of Siaha, the children of Padon,2.44 Siaha: also called, Sia 45The children of Lebanah, the children of Hagabah, the children of Akkub, 46The children of Hagab, the children of Shalmai, the children of Hanan,2.46 Shalmai: also called, Shamlai 47The children of Giddel, the children of Gahar, the children of Reaiah, 48The children of Rezin, the children of Nekoda, the children of Gazzam, 49The children of Uzza, the children of Paseah, the children of Besai, 50The children of Asnah, the children of Mehunim, the children of Nephusim,2.50 Nephusim: also called, Nephishesim 51The children of Bakbuk, the children of Hakupha, the children of Harhur, 52The children of Bazluth, the children of Mehida, the children of Harsha,2.52 Bazluth: also called, Bazlith 53The children of Barkos, the children of Sisera, the children of Thamah, 54The children of Neziah, the children of Hatipha.

55¶ The children of Solomon’s servants: the children of Sotai, the children of Sophereth, the children of Peruda,2.55 Peruda: also called, Perida 56The children of Jaalah, the children of Darkon, the children of Giddel, 57The children of Shephatiah, the children of Hattil, the children of Pochereth of Zebaim, the children of Ami.2.57 Ami: also called, Amon 58All the Nethinims, and the children of Solomon’s servants, were three hundred ninety and two. 59And these were they which went up from Tel-melah, Tel-harsa, Cherub, Addan, and Immer: but they could not shew their father’s house, and their seed, whether they were of Israel:2.59 Addan: also called, Addon2.59 seed: or, pedigree 60The children of Delaiah, the children of Tobiah, the children of Nekoda, six hundred fifty and two.

61¶ And of the children of the priests: the children of Habaiah, the children of Koz, the children of Barzillai; which took a wife of the daughters of Barzillai the Gileadite, and was called after their name: 62These sought their register among those that were reckoned by genealogy, but they were not found: therefore were they, as polluted, put from the priesthood.2.62 were they…: Heb. they were polluted from the priesthood 63And the Tirshatha said unto them, that they should not eat of the most holy things, till there stood up a priest with Urim and with Thummim.2.63 Tirshatha: or, governor

64¶ The whole congregation together was forty and two thousand three hundred and threescore, 65Beside their servants and their maids, of whom there were seven thousand three hundred thirty and seven: and there were among them two hundred singing men and singing women. 66Their horses were seven hundred thirty and six; their mules, two hundred forty and five; 67Their camels, four hundred thirty and five; their asses, six thousand seven hundred and twenty.

68¶ And some of the chief of the fathers, when they came to the house of the LORD which is at Jerusalem, offered freely for the house of God to set it up in his place: 69They gave after their ability unto the treasure of the work threescore and one thousand drams of gold, and five thousand pound of silver, and one hundred priests’ garments. 70So the priests, and the Levites, and some of the people, and the singers, and the porters, and the Nethinims, dwelt in their cities, and all Israel in their cities.