Ezra 1 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezra 1:1-11

Koreshi Asaidia Watu Kurudi Kutoka Uhamishoni

11:1 Yer 29:10-14; Zek 1:12-16; 2Nya 36:22-23; Ezr 5:13; 7:27; Yer 25:12; Law 26:42Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Bwana lililosemwa na nabii Yeremia, Bwana aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:

21:2 Amu 4:10; Isa 44:28; Ezr 5:13; Za 72:11“Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi:

“ ‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda. 31:3 Kum 3:24; 2Sam 22:32; Za 86:10; Dan 6:26; 1Kor 8:6; Isa 37:16; Mk 12:32Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha apande kwenda Yerusalemu katika Yuda na kujenga Hekalu la Bwana, Mungu wa Israeli, Mungu aliyeko huko Yerusalemu. 41:4 Isa 10:20-22; Hes 15:3; Za 116:17; Ezr 3:7; 4:3Nao watu wa mahali popote wale walionusurika wanapoishi sasa, watu hao wampe fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, mbali na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’ ”

51:5 2Nya 34:9; Neh 12:34; Hag 1:4; Flp 2:13; Mit 16:1Kisha viongozi wa jamaa ya Yuda na Benyamini na makuhani na Walawi kila mmoja ambaye moyo wake ulisukumwa na Mungu, akajiandaa kupanda ili kuijenga nyumba ya Bwana huko Yerusalemu. 6Majirani zao wote wakawasaidia vyombo vya fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, pia na zawadi za thamani, pamoja na sadaka zote za hiari. 71:7 2Fal 24:13; Ezr 5:14; 6:5; 2Nya 36:7; Yer 52:17-19Zaidi ya hayo, Mfalme Koreshi akavitoa vyombo vilivyokuwa mali ya Hekalu la Bwana, ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka Yerusalemu na kuviweka katika hekalu la mungu wake. 81:8 Ezr 5:14; Hag 1:1; 1Nya 3:18Koreshi mfalme wa Uajemi akavitoa kwa mkono wa Mithredathi mtunza hazina, aliyevihesabu mbele ya Sheshbaza mkuu wa Yuda.

9Hii ilikuwa ndio orodha ya vifaa:

masinia ya dhahabu yalikuwa 30masinia ya fedha yalikuwa 1,000vyetezo vya fedha vilikuwa 2910mabakuli ya dhahabu yalikuwa 30mabakuli ya fedha yanayofanana yalikuwa 410vifaa vingine vilikuwa 1,000.

11Kwa ujumla, kulikuwa na vyombo 5,400 vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza akavileta hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni Babeli kwenda Yerusalemu.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

以斯拉記 1:1-11

塞魯士下令猶太人回國

1波斯塞魯士元年,耶和華為要應驗祂藉耶利米所說的話,就感動波斯塞魯士,使他下詔通告全國:

2波斯塞魯士如此說,『天上的上帝耶和華已把天下萬國都賜給我,祂吩咐我在猶大耶路撒冷為祂建造殿宇。 3你們當中凡是耶和華的子民,都可以去猶大耶路撒冷,為住在耶路撒冷以色列的上帝耶和華建殿,願上帝與他們同在! 4凡留下不回國的人,無論住在哪裡,都要用金銀、財物和牲畜幫助同區那些將要回國的人,此外還要為耶路撒冷的上帝的殿獻上自願獻的禮物。』」

5於是,猶大便雅憫的族長、祭司和利未人——所有被上帝感動的人都準備上耶路撒冷重建耶和華的殿。 6他們周圍的人除了獻上自願獻的禮物外,還拿出銀器、金子、財物、牲畜和珍寶來支持他們。 7巴比倫尼布甲尼撒曾從耶路撒冷耶和華的殿裡帶回珍貴的器皿,放在自己神明的廟裡。波斯塞魯士將這些器皿取出來, 8派財政大臣米提利達如數交給猶大的首領設巴薩9三十個金盤、一千個銀盤、二十九把刀、 10三十個金碗、四百一十個次等銀碗及一千件其他器皿, 11共有五千四百件金銀器皿。被擄者從巴比倫耶路撒冷時,設巴薩把這些器皿一併帶去。