Ezra 1 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezra 1:1-11

Koreshi Asaidia Watu Kurudi Kutoka Uhamishoni

11:1 Yer 29:10-14; Zek 1:12-16; 2Nya 36:22-23; Ezr 5:13; 7:27; Yer 25:12; Law 26:42Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Bwana lililosemwa na nabii Yeremia, Bwana aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:

21:2 Amu 4:10; Isa 44:28; Ezr 5:13; Za 72:11“Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi:

“ ‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda. 31:3 Kum 3:24; 2Sam 22:32; Za 86:10; Dan 6:26; 1Kor 8:6; Isa 37:16; Mk 12:32Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha apande kwenda Yerusalemu katika Yuda na kujenga Hekalu la Bwana, Mungu wa Israeli, Mungu aliyeko huko Yerusalemu. 41:4 Isa 10:20-22; Hes 15:3; Za 116:17; Ezr 3:7; 4:3Nao watu wa mahali popote wale walionusurika wanapoishi sasa, watu hao wampe fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, mbali na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’ ”

51:5 2Nya 34:9; Neh 12:34; Hag 1:4; Flp 2:13; Mit 16:1Kisha viongozi wa jamaa ya Yuda na Benyamini na makuhani na Walawi kila mmoja ambaye moyo wake ulisukumwa na Mungu, akajiandaa kupanda ili kuijenga nyumba ya Bwana huko Yerusalemu. 6Majirani zao wote wakawasaidia vyombo vya fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, pia na zawadi za thamani, pamoja na sadaka zote za hiari. 71:7 2Fal 24:13; Ezr 5:14; 6:5; 2Nya 36:7; Yer 52:17-19Zaidi ya hayo, Mfalme Koreshi akavitoa vyombo vilivyokuwa mali ya Hekalu la Bwana, ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka Yerusalemu na kuviweka katika hekalu la mungu wake. 81:8 Ezr 5:14; Hag 1:1; 1Nya 3:18Koreshi mfalme wa Uajemi akavitoa kwa mkono wa Mithredathi mtunza hazina, aliyevihesabu mbele ya Sheshbaza mkuu wa Yuda.

9Hii ilikuwa ndio orodha ya vifaa:

masinia ya dhahabu yalikuwa 30masinia ya fedha yalikuwa 1,000vyetezo vya fedha vilikuwa 2910mabakuli ya dhahabu yalikuwa 30mabakuli ya fedha yanayofanana yalikuwa 410vifaa vingine vilikuwa 1,000.

11Kwa ujumla, kulikuwa na vyombo 5,400 vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza akavileta hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni Babeli kwenda Yerusalemu.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以斯拉记 1:1-11

塞鲁士下令犹太人回国

1波斯塞鲁士元年,耶和华为要应验祂借耶利米所说的话,就感动波斯塞鲁士,使他下诏通告全国:

2波斯塞鲁士如此说,‘天上的上帝耶和华已把天下万国都赐给我,祂吩咐我在犹大耶路撒冷为祂建造殿宇。 3你们当中凡是耶和华的子民,都可以去犹大耶路撒冷,为住在耶路撒冷以色列的上帝耶和华建殿,愿上帝与他们同在! 4凡留下不回国的人,无论住在哪里,都要用金银、财物和牲畜帮助同区那些将要回国的人,此外还要为耶路撒冷的上帝的殿献上自愿献的礼物。’”

5于是,犹大便雅悯的族长、祭司和利未人——所有被上帝感动的人都准备上耶路撒冷重建耶和华的殿。 6他们周围的人除了献上自愿献的礼物外,还拿出银器、金子、财物、牲畜和珍宝来支持他们。 7巴比伦尼布甲尼撒曾从耶路撒冷耶和华的殿里带回珍贵的器皿,放在自己神明的庙里。波斯塞鲁士将这些器皿取出来, 8派财政大臣米提利达如数交给犹大的首领设巴萨9三十个金盘、一千个银盘、二十九把刀、 10三十个金碗、四百一十个次等银碗及一千件其他器皿, 11共有五千四百件金银器皿。被掳者从巴比伦耶路撒冷时,设巴萨把这些器皿一并带去。