Ezekieli 9 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 9:1-11

Waabudu Sanamu Wauawa

1Kisha nikamsikia akiita kwa sauti kubwa akisema, “Walete wasimamizi wa mji hapa, kila mmoja akiwa na silaha mkononi mwake.” 29:2 Dan 10:5; 12:6; Ufu 15:6; Eze 10:2; Law 16:4Nami nikaona watu sita wakija toka upande wa lango la juu, linalotazama kaskazini kila mmoja na silaha za kuangamiza mkononi mwake. Pamoja nao alikuwepo mtu aliyekuwa amevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande mmoja. Wakaingia ndani ya Hekalu wakasimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.

39:3 1Sam 4:21; Eze 10:4; 11:22Basi utukufu wa Mungu wa Israeli ukaondoka hapo juu ya makerubi, ulikokuwa umekaa, ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Ndipo Bwana akamwita yule mtu aliyevaa kitani safi aliyekuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja, 49:4 Mwa 4:15; 2Kor 1:22; Yer 7:29; Amo 6:6; Za 119:53; Kut 12:7; Yer 25:29akamwambia, “Pita katika mji wote wa Yerusalemu ukaweke alama juu ya vipaji vya nyuso za wale watu wanaohuzunika na kuomboleza kwa sababu ya machukizo yote yanayotendeka katika mji huu.”

59:5 Yer 13:14; Eze 5:11; Kut 32:27; Isa 13:18Nikiwa ninasikia, akawaambia wale wengine, “Mfuateni anapopita katika mji wote mkiua, pasipo huruma wala masikitiko. 69:6 Eze 8:11-16; Yer 25:29; 1Pet 4:17; Yer 7:32; Mwa 4:15; Kut 12:7Waueni wazee, vijana wa kiume na wa kike, wanawake na watoto, lakini msimguse mtu yeyote mwenye alama. Anzieni katika mahali pangu patakatifu.” Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya Hekalu.

79:7 Eze 6:7Ndipo akawaambia, “Linajisini Hekalu na mkazijaze kumbi zake maiti za wale waliouawa. Nendeni!” Kwa hiyo wakaenda wakaanza kuua watu mjini kote. 89:8 Yos 7:6; Hes 14:5; Amo 7:1-6; Eze 11:3; 7:8Wakati walikuwa wakiwaua watu, nami nilikuwa nimeachwa peke yangu, nikaanguka kifudifudi, nikapiga kelele nikisema, “Ee Bwana Mwenyezi! Je, utaangamiza mabaki yote ya Israeli, katika kumwagwa huku kwa ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”

99:9 Za 58:2; Hab 1:4; Ay 22:13; Eze 14:23; Isa 29:15; Eze 22:13Bwana akanijibu, “Dhambi ya nyumba ya Israeli na Yuda imekuwa kubwa mno kupita kiasi, nchi imejaa umwagaji damu na mjini kumejaa udhalimu. Kwani wamesema, ‘Bwana ameiacha nchi, Bwana hauoni.’ 109:10 Yer 13:14; Eze 22:29; Isa 22:5; Eze 23:49; 8:18; Isa 22:5Kwa hiyo sitawahurumia wala kuwaachilia lakini nitaleta juu ya vichwa vyao, yale waliyoyatenda.”

11Ndipo mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani safi na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja, akarudi na kutoa taarifa akisema, “Nimefanya kama ulivyoniagiza.”

Bibelen på hverdagsdansk

Ezekiels Bog 9:1-11

Afgudsdyrkerne dræbes

1Så hørte jeg Herren råbe med tordenrøst: „Kom her, I mænd, som jeg har udvalgt til bødler, og tag jeres våben med.”

2Da kom der seks mænd ind gennem den nordlige port i den ydre forgård, alle med våben i hånden. Desuden var der en, som var klædt i linned og bar nogle skriveredskaber. De gik alle hen og tog opstilling ved bronzealteret foran indgangen til templet, 3-4og Israels Guds stråleglans løftede sig fra sin sædvanlige plads over keruberne og stod nu ved templets indgang. „Gå gennem Jerusalems gader,” råbte Herren til manden med skriveredskaberne, „og sæt et mærke på panden af alle dem, som græder og sukker over al den synd, de ser omkring sig.”

5Derefter hørte jeg Herren sige til de andre mænd: „Følg efter ham og dræb alle, som ikke har et mærke på panden. Skån ingen, vis ingen barmhjertighed. 6Dræb unge såvel som gamle, kvinder såvel som børn. Kun dem, som har et mærke på panden, må I ikke slå ihjel. Begynd her ved templet.” Så begyndte de med at slå de 70 ledere ihjel.

7„Fyld forgården med ligene af de dræbte,” fortsatte han, „også selv om det gør templet urent. Derefter skal I gå ud i byen.” Da de 70 ledere var slået ihjel, fortsatte mændene ud i byen.

8Da de var gået, kastede jeg mig ned med ansigtet mod jorden og udbrød: „Åh, Gud Herre, er du så vred, at du vil udslette hele Israels folk?”

9„Både Nordriget og Sydriget har begået utrolige synder,” svarede han. „Landet er fuldt af uretfærdighed og mord. De påstår, at jeg ikke opdager noget, og at jeg har forladt mit land og mit folk. 10Derfor vil jeg ikke skåne dem eller vise medlidenhed. De skal komme til at betale for al deres ondskab og afgudsdyrkelse.”

11Manden, som var klædt i linned og havde skriveredskaber, kom kort efter tilbage og sagde: „Jeg har fuldført den opgave, du gav mig.”