Ezekieli 8 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 8:1-18

Ibada Ya Sanamu Hekaluni

18:1 2Fal 6:32; Eze 14:1; 33:31; 40:1; 24:1Katika siku ya tano ya mwezi wa sita mwaka wa sita, baada ya kupelekwa uhamishoni nilipokuwa nimeketi katika nyumba yangu na wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu, mkono wa Bwana Mwenyezi ulikuja juu yangu. 28:2 Eze 1:4, 26-27; Dan 7:9Nikatazama, nikaona umbo mfano wa mwanadamu. Kutokana na kile kilichoonekana kuwa kiuno chake kuelekea chini alifanana na moto. Kuanzia kwenye kiuno kuelekea juu sura yake kama chuma kingʼaavyo kikiwa ndani ya moto. 38:3 Eze 3:12; 11:1; Kut 20:5; Kum 32:16; Yer 7:30; Kut 24:10; Eze 2:9Akanyoosha kitu kilichoonekana kama mkono, akaniinua kwa kushika nywele za kichwa changu. Roho akaniinua juu kati ya nchi na mbingu nikiwa katika maono ya Mungu akanichukua mpaka Yerusalemu, kwenye ingilio la lango la upande wa kaskazini ya ukumbi wa ndani, mahali iliposimama ile sanamu ichocheayo wivu. 48:4 Kut 24:16; Eze 1:28; 3:22Hapo mbele yangu palikuwa na utukufu wa Mungu wa Israeli, kama utukufu ule niliouona katika maono kule ua wa ndani.

58:5 Za 78:58-60; Yer 4:1; 32:34Kisha akaniambia, “Mwanadamu, tazama kuelekea kaskazini.” Hivyo nikatazama na kwenye ingilio upande wa kaskazini wa lango la madhabahu, nikaona sanamu hii ya wivu.

68:6 Eze 5:11; Kum 31:16; Hos 5:6Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, je, unaona yale wanayofanya, haya mambo ya machukizo kabisa nyumba ya Israeli wanayotenda hapa, ambayo yatanifanya niende mbali na mahali pangu patakatifu? Lakini utaona vitu ambavyo vinachukiza zaidi hata kuliko hivi.”

7Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani. 8Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango.

9Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone maovu na machukizo wanayofanya humu.” 108:10 Kum 4:15-18; Yer 16:18; Amu 17:4-5; Eze 23:14; Yer 44:4; Kut 20:4Hivyo nikaingia ndani na kutazama, nikaona kuta zote zimechorwa kila aina ya vitu vitambaavyo na ya wanyama wachukizao wa kila aina na sanamu zote za nyumba ya Israeli. 118:11 Hes 16:17; Yer 26:24; Law 10:1; Hes 16:17-35; Kut 3:16; Eze 11:1-2Mbele yao walisimama wazee sabini wa nyumba ya Israeli, naye Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja alikuwa na chetezo mkononi na moshi wa harufu nzuri ya uvumba ulikuwa unapanda juu.

128:12 2Fal 21:16; Za 10:11; Ay 22:13; Isa 29:15; Eze 9:9Akaniambia, “Mwanadamu, umeona wanayoyafanya wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mmoja kwenye sehemu yake mwenyewe ya kufanyia ibada za sanamu yake? Wao husema, ‘Bwana hatuoni, Bwana ameiacha nchi.’ ” 13Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”

148:14 Eze 11:12Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya Bwana, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi. 15Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”

168:16 Yoe 2:17; Kum 4:19; Ay 31:28; Mwa 1:16; Yer 2:27; Eze 40:6; 9:6Ndipo akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani wa nyumba ya Bwana, nako huko katika ingilio la Hekalu, kati ya baraza na madhabahu, walikuwepo wanaume wapatao ishirini na watano. Wakiwa wamelipa kisogo Hekalu la Bwana na kuelekeza nyuso zao upande wa mashariki, wakilisujudia jua huko mashariki.

178:17 Mwa 6:11; Ezr 9:6; Hes 11:33; 1Fal 14:9; Eze 16:2; 16:26Akaniambia, “Je, umeona hili mwanadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa nyumba ya Yuda kufanya machukizo wanayoyafanya hapa? Je, ni lazima pia waijaze nchi dhuluma na kuendelea siku zote kunikasirisha? Watazame wanavyonibania pua kana kwamba ninanuka! 188:18 Yer 13:14; 44:6; Eze 24:14; Isa 1:15; Mik 3:4; Mit 1:28; 1Sam 8:18; Isa 58:4; Eze 9:10Kwa hiyo nitashughulika nao kwa hasira, sitawaonea huruma wala kuwaachilia. Wajapopiga makelele masikioni mwangu, sitawasikiliza.”

Bibelen på hverdagsdansk

Ezekiels Bog 8:1-18

Folkets afgudsdyrkelse

1På den femte dag i den sjette måned i det sjette år af vores eksil i Babylonien opholdt jeg mig i mit hus sammen med en gruppe af Judas ledere. Da kom Guds kraft over mig, 2og jeg fik igen et syn. Jeg så en skikkelse, der så ud som et menneske. Fra hofterne og nedefter så han ud som flammende ild, og fra hofterne og opefter så han ud som glødende metal. 3Han rakte noget ligesom en hånd ud og greb mig i håret. Ånden løftede mig op i luften, så jeg svævede mellem himmel og jord, og jeg blev i synet ført til Jerusalem, til templets indre forgård, hvor der tæt ved den nordlige indgang var opstillet et stort afgudsbillede, som vakte Herrens vrede.

4Pludselig fyldte Guds stråleglans stedet på samme måde, som jeg tidligere havde set den i dalen, 5og han sagde til mig: „Du menneske, se mod nord!” Da jeg gjorde det, kunne jeg se det afskyelige afgudsbillede ved den nordlige indgang, tæt ved alteret. 6„Ser du, hvem de bringer deres ofre til?” fortsatte han. „Ser du, hvilke afskyelige handlinger Israels folk begår? På den måde jager de mig ud af mit eget tempel. Men du vil få endnu værre ting at se.”

7Så førte han mig hen til indgangen til den ydre forgård, og jeg kunne se et hul i muren.

8„Gør hullet større!” beordrede han, og da jeg gjorde det, opdagede jeg en dør til en stor sal.

9„Gå ind,” beordrede han, „så skal du se den ondskab, som går for sig derinde.” 10Så gik jeg ind gennem døren.

Indenfor så jeg, at væggene var fyldt med billeder af alle mulige urene dyr og afskyelige afguder. De var mejslet ind i væggen hele vejen rundt. 1170 af Israels ledere, deriblandt Ja’azanja, Shafans søn, stod hele vejen rundt foran billederne og tilbad dem hver med sit røgelseskar i hånden. En tyk sky af røgelse hang i luften. 12„Se hvordan de israelitiske ledere i hemmelighed tilbeder afguder i deres bedehuse,” sagde Herren. „De siger, at jeg ikke kan se dem, og at jeg har forladt landet og ladt dem i stikken. 13Men kom, så skal jeg vise dig noget, som er endnu værre.”

14Derefter førte han mig til den nordlige indgang til den ydre forgård, hvor der sad en flok kvinder og fejrede den årlige sørgehøjtid for afguden Tammuz.8,14 En frugtbarhedsgud, som mentes at dø hvert efterår og komme til live igen om foråret. 15„Er det ikke forfærdeligt at se på?” spurgte han. „Men kom, så skal jeg vise dig noget, som er endnu værre.”

16Så førte han mig ind i templets indre forgård. Og der, mellem alteret og forhallen ind til selve tempelbygningen, stod omkring 25 mænd8,16 De 25 repræsenterer de 24 præsteskifter plus ypperstepræsten, altså hele præstestanden. med ryggen til Herrens tempel. Med ansigtet vendt mod øst tilbad de solen!

17„Er det ikke forfærdeligt at se på?” spurgte han. „Ikke alene tilbeder Judas folk afguderne her lige foran mit tempel, men de fylder også hele landet med vold. Deres stinkende afgudsdyrkelse er ulidelig.8,17 Den sidste del af verset er uforståelig. 18Derfor får de min vrede at føle. Jeg vil ikke skåne dem eller vise nogen form for medlidenhed. Nej, om de så skriger om nåde, vender jeg det døve øre til.”