Ezekieli 7 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 7:1-27

Mwisho Umewadia

1Neno la Bwana likanijia kusema: 27:2 Amo 8:2-10; Ufu 20:8; Mao 4:18“Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo kwa nchi ya Israeli: Mwisho! Mwisho umekuja juu ya pembe nne za nchi. 37:3 Eze 18:30; Mwa 6:13Sasa mwisho umekuja juu yenu nami nitamwaga hasira yangu dhidi yenu. Nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za kuchukiza. 47:4 Yer 13:14; Eze 5:11; 23:49Sitawaonea huruma wala sitawarehemu, hakika nitalipiza kwa ajili ya matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.

57:5 2Fal 21:12“Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Maafa! Maafa ambayo hayajasikiwa yanakuja. 67:6 Eze 39:8Mwisho umewadia! Mwisho umewadia! Umejiinua wenyewe dhidi yenu. Umewadia! 77:7 Sef 1:14; Mal 3:2; 1Pet 4:17; Ay 18:20; Isa 2:12; Amo 5:18-20; Eze 12:23Maangamizi yamekuja juu yenu, ninyi mnaoishi katika nchi. Wakati umewadia, siku imekaribia, kuna hofu kuu ya ghafula, wala si furaha, juu ya milima. 87:8 Hos 5:10; Nah 1:6; Eze 36:19; 14:19; 20:8, 21; 9:8; Isa 42:25Ninakaribia kumwaga ghadhabu yangu juu yenu na kumaliza hasira yangu dhidi yenu, nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za machukizo. 97:9 Yer 21:9; Isa 9:13; Eze 5:11; 22:31; Za 39:10Sitawaonea huruma wala sitawarehemu; nitawalipiza sawasawa na matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana ambaye huwapiga kwa mapigo.

107:10 Za 89:32; Isa 10:5“Siku imefika! Imewadia! Maangamizi yamezuka ghafula, fimbo imechanua majivuno yamechipua! 117:11 Yer 16:6; Sef 1:18; Isa 58:4; Za 55:9Jeuri imeinuka kuwa fimbo ya kuadhibu uovu, hakuna hata mmoja wa hao watu atakayeachwa, hata mmoja wa kundi lile, hakuna utajiri, hakuna chenye thamani. 127:12 Isa 5:13-14; Eze 30:3; Isa 24:2Wakati umewadia, siku imefika. Mnunuzi na asifurahi wala muuzaji asihuzunike, kwa maana ghadhabu iko juu ya kundi lote. 137:13 Law 25:24-25Muuzaji hatajipatia tena ardhi aliyoiuza wakati wote wawili wangali hai, kwa kuwa maono kuhusu kundi lote hayatatanguka. Kwa sababu ya dhambi zao, hakuna hata mmoja atakayeokoa maisha yake. 147:14 Ay 39:24; Yer 25:38Wajapopiga tarumbeta na kuweka kila kitu tayari, hakuna hata mmoja atakayekwenda vitani, kwa maana ghadhabu yangu iko juu ya kundi lote.

157:15 Kum 32:25; Yer 14:18; Mao 1:20; Eze 5:12; 33:27“Nje ni upanga, ndani ni tauni na njaa, wale walioko shambani watakufa kwa upanga, nao wale waliomo mjini njaa na tauni vitawala. 167:16 Mwa 8:8; Isa 59:11; 10:20; Ezr 9:15; Yer 9:19; 41:16; 42:17Wale wote watakaopona na kutoroka watakuwa milimani, wakiomboleza kama hua wa mabondeni, kila mmoja kwa sababu ya dhambi zake. 177:17 2Fal 19:26; Isa 13:7; Dan 6:5; Yer 43:7; Eze 21:7; 22:14Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji. 187:18 Isa 15:2-3; Amo 8:10; Za 55:5; Yer 6:26; 4:8; 49:3; 48:37Watavaa nguo ya gunia na kufunikwa na hofu. Nyuso zao zitafunikwa na aibu na nywele za vichwa vyao zitanyolewa. 197:19 Isa 42:25; Sef 1:18; Hos 4:5; Eze 3:20; Mit 11:4; Yoe 1:15; Eze 13:5; 14:3Watatupa fedha yao barabarani, nayo dhahabu yao itakuwa najisi. Fedha yao na dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana. Hawatashibisha njaa yao au kujaza matumbo yao kwa hiyo fedha wala dhahabu, kwa sababu imewaponza wajikwae dhambini. 207:20 Eze 5:11; 16:17; Yer 7:30; 10:3; Isa 2:20Walijivunia vito vyao vizuri na kuvitumia kufanya sanamu za machukizo na vinyago vya upotovu. Kwa hiyo nitavifanya vitu hivyo kuwa najisi kwao. 217:21 2Fal 24:13; Hes 14:3Nitavitia vyote mikononi mwa wageni kuwa nyara na kuwa vitu vilivyotekwa mikononi mwa watu waovu wa dunia, nao watavinajisi. 227:22 Yer 2:27; 19:13; Eze 39:23-24; Za 74:7-8Nitageuza uso wangu mbali nao, nao waovu wa dunia watapanajisi mahali pangu pa thamani, wanyangʼanyi watapaingia na kupanajisi.

237:23 2Fal 21:16; Isa 1:15; Za 10:8; Eze 11:6; 22:9; Mwa 6:11“Andaa minyororo, kwa sababu nchi imejaa umwagaji wa damu na mji umejaa udhalimu. 247:24 Mao 2:7; Eze 24:21; 28:7; 2Nya 7:20Nitaleta taifa ovu kuliko yote ili kumiliki nyumba zao, nitakomesha kiburi cha wenye nguvu na mahali pao patakatifu patatiwa unajisi. 257:25 Yer 6:14; 8:11; Eze 13:10-16Hofu ya ghafula itakapokuja, watatafuta amani, lakini haitakuwepo. 267:26 Kum 29:21; 31:17; Yer 4:20; 18:18; Amo 8:11; Mik 3:6; Mal 2:7-9; Isa 47:11; 3:11; Eze 18:20; Za 109:19Maafa juu ya maafa yatakuja, tetesi ya mabaya juu ya tetesi ya mabaya. Watajitahidi kupata maono kutoka kwa nabii, mafundisho ya sheria toka kwa kuhani yatapotea, vivyo hivyo shauri kutoka kwa wazee. 27Mfalme ataomboleza, mwana wa mfalme atavikwa kukata tamaa, nayo mikono ya watu wa nchi itatetemeka. Nitawashughulikia sawasawa na matendo yao na kwa kanuni zao wenyewe nitawahukumu. Ndipo watajua kwamba Mimi ndimi Bwana.”

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Езекиил 7:1-27

Предсказание конца для Исраила

1Было ко мне слово Вечного:

2– Смертный, так говорит Владыка Вечный земле исраильской: Конец! Конец пришёл на четыре края земли! 3Теперь тебе конец, и Я изолью Свой гнев на тебя. Я буду судить тебя по твоим поступкам и накажу за все твои омерзительные обычаи. 4Я не взгляну на тебя с жалостью и не пощажу; Я непременно накажу тебя за твоё поведение и омерзительные обычаи. Тогда вы узнаете, что Я – Вечный.

5Так говорит Владыка Вечный: Беда за бедой! Смотрите, идёт беда. 6Конец настал! Настал конец! Настиг он тебя. Смотрите, кто пришёл! 7Гибель пришла к тебе – к тебе, обитатель земли. Время настало, день близок; смятение, а не радость, царит на горах. 8Скоро Я изолью на тебя Свою ярость и обращу на тебя Свой гнев; Я буду судить тебя по твоим поступкам и накажу тебя за твои омерзительные обычаи. 9Я не взгляну на тебя с жалостью и не пощажу; Я воздам тебе по твоим поступкам и омерзительным обычаям. Тогда вы узнаете, что Я – Вечный, Который карает.

10Вот он, этот день! Он настал! Гибель пришла. Жезл расцвёл; гордыня дала ростки. 11Насилие выросло в жезл, чтобы сокрушить беззаконие; никого из них не останется; не останется ни довольства их, ни богатства, ни преимущества. 12Время настало, приблизился день. Да не радуется купивший, и продавший да не скорбит, потому что Мой гнев пылает на всё их множество. 13Продавший не вернёт земли, которую он продал, до конца своей жизни7:13 Здесь говорится о том, что народ больше не сможет надеяться на юбилейный год, когда всё проданное имущество должно вернуться к своему прежнему владельцу (см. Лев. 25:10, 13-17, 23-24)., потому что видение относится ко всему их множеству, и оно не будет упразднено. Из-за своих грехов никто из них не сохранит жизни. 14Пусть они трубят в трубы и готовятся: никто из них не выйдет на бой, потому что Мой гнев пылает на всё их множество.

15Снаружи – меч, внутри – мор и голод; те, кто в поле, погибнут от меча, а те, кто в городе, умрут от голода и мора. 16Все, кто уцелеет и спасётся, будут в горах, как голуби, изгнанные из долины; все они будут скорбно стонать, каждый из-за своих грехов. 17У всех руки опустятся, и у всех колени ослабнут, как вода. 18Они наденут рубище и будут объяты трепетом. На всех лицах будет написан стыд, головы у всех будут обриты. 19Они бросят своё серебро на улицах, а их золото станет считаться нечистым. Серебро и золото не смогут спасти их в день гнева Вечного. Люди не утолят ими голода и не наполнят желудок. Ведь золото и серебро стали им преградой и ввели их в грех. 20Из прекрасных украшений, которыми они гордились, они отлили омерзительные истуканы, свои гнусности. За это Я сделаю украшения нечистыми для них. 21Я отдам украшения в добычу чужеземцам, в наживу злодеям земли, и они осквернят их. 22Я отверну от них лицо, и они осквернят Моё сокровенное место7:22 Сокровенное место – это может быть либо храм, либо Иерусалим, либо весь Исраил.; грабители войдут туда и осквернят его.

23Готовь цепи, потому что страна полна кровавых преступлений, а город объят насилием. 24Я приведу худшие из народов, и они завладеют их домами; Я положу конец гордыне сильных, и их капища будут осквернены. 25Когда придёт ужас, они станут искать мира, но его не будет. 26Беда последует за бедой, и за слухами – новые слухи. Они будут просить от пророков видений; священнослужители перестанут преподавать Закон, и старейшины не найдут для вас советов. 27Царь будет скорбеть, вождь впадёт в отчаяние, и задрожат руки простонародья. Я поступлю с ними по их поступкам и стану судить их по их же правилам. Тогда они узнают, что Я – Вечный.