Ezekieli 47 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 47:1-23

Mto Kutoka Hekaluni

147:1 Za 46:4; Ufu 22:1; Yoe 3:18; Isa 55:1Yule mtu akanirudisha mpaka kwenye ingilio la Hekalu, nami nikaona maji yakitoka chini ya kizingiti cha Hekalu yakitiririkia upande wa mashariki (kwa maana upande wa mbele wa Hekalu ulielekea mashariki). Maji yalikuwa yakitoka chini upande wa kusini wa Hekalu, kusini mwa madhabahu. 247:2 Eze 40:35Ndipo akanitoa nje kupitia lango la kaskazini na kunizungusha mpaka kwenye lango la nje linaloelekea mashariki, nayo maji yalikuwa yakitiririka kutoka upande wa kusini.

347:3 Eze 40:3; Ufu 11:1Mtu yule alipokwenda upande wa mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake, akapima dhiraa 1,00047:3 Dhiraa 1,000 ni sawa na mita 450. kisha akanipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kwenye vifundo vya miguu. 4Akapima dhiraa 1,000 nyingine na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika magotini. Akapima dhiraa nyingine 1,000 na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kiunoni. 547:5 Isa 11:9; Hab 2:14; Mwa 2:10Akapima tena dhiraa 1,000 nyingine, lakini wakati huu yalikuwa mto ambao sikuweza kuvuka, kwa kuwa maji yalikuwa na kina kirefu ambacho ni cha kuogelea, mto ambao hakuna mtu yeyote ambaye angeweza kuvuka. 647:6 Ufu 22:2; Isa 41:19Akaniuliza, “Je, mwanadamu, unaona hili?”

Kisha akanirudisha mpaka kwenye ukingo wa huo mto. 747:7 Eze 47:12; Ufu 22:2; Za 1:3; 92:12Nilipofika pale, nikaona idadi kubwa ya miti kila upande wa ule mto.

847:8 Ufu 17:15; Yos 3:16; Isa 41:18; Kum 3:17Akaniambia, “Haya maji yanatiririka kuelekea nchi ya mashariki na kushuka mpaka Araba,47:8 Araba hapa ina maana ya Bonde la Yordani. ambapo huingia Baharini. Yanapomwagikia kwenye hiyo Bahari,47:8 Bahari hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi. maji yaliyoko humo huponywa na kuwa safi. 947:9 Isa 12:3; Yn 4:14; 1Kor 15:45; Yn 7:37-38Popote mto huu uendapo kila kiumbe hai kinachoyaparamia hayo maji kitaishi, nako kutakuwa na samaki wengi mno, mara maji haya yafikapo huko. Maji hayo yatakuwa hai na kila kitu kitakachoishi kule mto uendako. 1047:10 Isa 19:8; Mt 4:19; Yos 15:62; Eze 26:5; Mt 13:47; Hes 34:6Wavuvi watasimama kando ya bahari, kuanzia En-Gedi hadi En-Eglaimu huko patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki. Samaki watakuwa wa aina nyingi, kama samaki wa Bahari Kuu47:10 Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania. 1147:11 Kum 29:23Lakini madimbwi yake na mabwawa yake hayatakuwa na maji yanayofaa kunywa, bali yatabakia kuwa maji ya chumvi. 1247:12 Mwa 2:9; Ufu 22:2; Yer 17:8; Ay 18:6; Eze 36:8Miti ya matunda ya kila aina itaota kwenye kingo zote mbili za mto huu. Majani yake hayatanyauka wala haitaacha kuwa na matunda katika matawi yake. Kila mwezi kutakuwa na matunda, kwa sababu maji yatokayo patakatifu yanaitiririkia. Matunda yake yatakuwa chakula na majani yake yatakuwa dawa.”

Mipaka Mipya Ya Nchi

1347:13 Hes 34:2-12; Yer 3:18; Mwa 48:5-16; 49:26Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “Hii ndiyo mipaka ambayo kwayo mtagawanya hiyo nchi kuwa urithi miongoni mwa hayo makabila kumi na mawili ya Israeli, pamoja na mafungu mawili ya Yosefu. 1447:14 Kum 1:8; Mwa 12:7; Eze 36:12Mtagawa kwa usawa miongoni mwao. Kwa sababu niliapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa baba zenu, nchi hii itakuwa urithi wenu.

1547:15 Eze 48:1; Hes 34:2-8“Huu ndio utakuwa mpaka wa hiyo nchi:

“Upande wa kaskazini utaanzia Bahari Kuu kwa njia ya Hethloni kupitia Lebo-Hamathi hadi maingilio ya Sedadi. 1647:16 2Sam 8:8; Hes 13:21; Yer 49:23; Amo 6:2Berotha na Sibraimu (ambao uko kwenye mpaka kati ya Dameski na Hamathi), hadi kufikia Haser-Hatikoni, ambao uko katika mpaka wa Haurani. 1747:17 Hes 34:9; Eze 48:1Hivyo mpaka utaendelea kuanzia Baharini hadi Hasar-Enoni, ukiambaa na mpaka wa kaskazini wa Dameski, pamoja na mpaka wa Hamathi upande wa kaskazini. Huu utakuwa ndio mpaka wa kaskazini.

1847:18 Eze 27:18Upande wa mashariki mpaka utapita kati ya Haurani na Dameski, kuambaa Yordani na kati ya Gileadi na nchi ya Israeli, hadi bahari ya mashariki47:18 Bahari ya mashariki hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi. na kufika Tamari. Huu utakuwa ndio mpaka wa mashariki.

1947:19 Mwa 15:18; Kum 32:51; Isa 27:12; Eze 48:28Upande wa kusini utaanzia Tamari hadi kufikia maji ya Meriba-Kadeshi, kisha utaambaa na Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu. Huu utakuwa ndio mpaka wa kusini.

2047:20 Hes 13:21; 34:6; Eze 48:1Upande wa magharibi, Bahari Kuu itakuwa ndio mpaka hadi kwenye sehemu mkabala na Lebo-Hamathi. Huu utakuwa ndio mpaka wa magharibi.

2147:21 Kum 24:19; Efe 2:19-22; Rum 10:12; Law 24:22; Mal 3:5; Efe 3:6; Isa 56:6-7“Mtagawanya nchi hii miongoni mwenu kufuatana na makabila ya Israeli. 2247:22 Mdo 2:5; Efe 2:19-22; Rum 10:12; Efe 3:6; Ufu 7:9-10; Gal 3:28; Kol 3:11Mtaigawanya kuwa urithi kwa ajili yenu na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwenu na ambao wana watoto. Wao watakuwa kwenu kama wenyeji wazawa wa Israeli, pamoja na ninyi watagawiwa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli. 2347:23 Kum 10:19Katika kabila lolote mgeni atakapoishi hapo ndipo mtakapompatia urithi wake,” asema Bwana Mwenyezi.

Swedish Contemporary Bible

Hesekiel 47:1-23

Tempelkällan

1Sedan förde han mig tillbaka till templets ingång. Jag såg att vatten flöt fram under templets tröskel österut; templets framsida vette åt öster. Vattnet strömmade ner under templets högra sida, söder om altaret. 2Sedan förde han mig ut genom den norra porten och ledde mig runt på utsidan till den östra porten. Där flödade vattnet fram från den södra sidan. 3Mannen gick sedan österut, med ett mätsnöre i sin hand, och mätte upp 500 meter. Han ledde mig genom vattnet, som nådde upp till fotknölarna. 4Han mätte upp ytterligare 500 meter och ledde mig genom vattnet, som nådde mig till knäna. Åter mätte han upp 500 meter och ledde mig genom vattnet, som nu nådde mig till midjan. 5Han mätte upp ytterligare 500 meter, och nu var där en flod som jag inte kunde vada över. Vattnet var så djupt att man måste simma. Det var en flod som ingen kunde vada över.

6Han sa till mig: ”Ser du, människa?” Sedan ledde han mig tillbaka till flodstranden. 7När jag kom tillbaka såg jag att det växte en mängd träd på båda sidor om floden. 8Han sa till mig: ”Detta vatten flyter mot den östra regionen, strömmar ner i Jordandalen och når sedan havet. När det sedan står stilla i havet blir vattnet friskt. 9Det ska vimla av levande varelser där floden rinner ut. Där ska finnas rikligt med fisk, för detta vatten flyter där och gör vattnet friskt. Allting lever där denna flod rinner ut. 10Fiskare ska stå utmed stränderna; från En-Gedi till En Eglajim ska det finnas platser där nät ligger på tork. Det ska bli lika rikt på olika slags fisk som Medelhavet. 11Men sump- och träskmarker kommer inte att bli friska, de ska lämnas för utvinning av salt. 12Alla slags fruktträd ska växa utmed flodens stränder. Deras löv ska aldrig vissna, och de ska alltid bära frukt. Varje månad ska det bli en ny skörd, för de får sitt vatten från helgedomen. Deras frukt ska vara till föda och löven till läkedom.”

Israels gränser

13Så säger Herren, Herren: ”Det här är de gränser som ni ska följa när ni fördelar landet mellan Israels tolv stammar, med två andelar åt Josef. 14I övrigt ska ni dela landet lika mellan dem, för jag har med upplyft hand svurit att ge det till era förfäder, och nu ska det bli er arvedel.

15Detta ska vara landets gräns:

Gränsen i norr ska sträcka sig från Medelhavet mot Hetlon och sedan vidare genom Levo-Hamat till Sedad, 16Berota och Sivrajim, som ligger på gränsen mellan Damaskus och Hamat, och slutligen till Hasar Hatikon på gränsen till Hauran. 17Gränsen sträcker sig alltså från havet till Hasar Enon vid Damaskus norra gräns och med Hamat längre upp i norr. Detta är gränsen i norr.

18Den östra gränsen börjar mellan Hauran och Damaskus, går längs Jordan mellan Gilead och Israels land, fram till Östra havet, ända till Tamar47:18 Egentligen ni ska mäta, vilket är mycket likt Tamar i grundtexten; översättningen här följer Peshitta m.fl. översättningar. Se även v. 19.. Detta är gränsen i öster.

19Den södra gränsen går från Tamar till källorna vid Merivat Kadesh och sedan längs gränsfloden47:19 Egyptens gränsflod, Jos 15:4. till Medelhavet. Detta är sydgränsen, i söder.

20I väster utgör Medelhavet gränsen, upp till en punkt mitt emot Levo-Hamat. Detta är gränsen i väster.

21Ni ska dela detta land mellan er, allt efter Israels stammar. 22Ni ska dela ut det genom lottkastning som arvedel åt er själva och åt de främlingar som bor och har fött barn bland er. Ni ska betrakta dem som infödda israeliter, och de ska tillsammans med er få en arvedel bland Israels stammar. 23Ni ska ge främlingen hans arvedel hos den stam där han bor, säger Herren, Herren.