Ezekieli 32 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 32:1-32

Maombolezo Kwa Ajili Ya Farao

132:1 Eze 31:1; 33:21Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likanijia, kusema: 232:2 2Sam 1:17; 2Nya 35:25; 2Fal 24:1; Nah 2:11-13; Ay 41:31; Eze 29:3; Ay 3:8; Eze 34:18; 2Sam 3:33“Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Farao mfalme wa Misri na umwambie:

“ ‘Wewe ni kama simba miongoni mwa mataifa,

wewe ni kama joka kubwa baharini,

unayevuruga maji kwa miguu yako

na kuchafua vijito.

332:3 Eze 12:13; Hab 1:15“ ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Nikiwa pamoja na wingi mkubwa wa watu

nitautupa wavu wangu juu yako,

nao watakukokota katika wavu wangu.

432:4 Isa 18:6; 1Sam 17:44-46; Eze 39:4-5; 31:12-13Nitakutupa nchi kavu

na kukuvurumisha uwanjani.

Nitawafanya ndege wote wa angani watue juu yako

na wanyama wote wa nchi

watajishibisha nyama yako.

532:5 Eze 31:12Nitatawanya nyama yako juu ya milima

na kujaza mabonde kwa mabaki yako.

632:6 Isa 34:3; Eze 29:5Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka

njia yote hadi milimani,

nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.

732:7 Yoe 3:15; Mt 24:29; Ufu 6:12; Isa 34:4; Eze 30:3; Yoe 2:2Nitakapokuzimisha, nitafunika mbingu

na kuzitia nyota zake giza;

nitalifunika jua kwa wingu,

nao mwezi hautatoa nuru yake.

832:8 Za 102:26; Ay 9:7; Yer 4:23; Yoe 2:10Mianga yote itoayo nuru angani

nitaitia giza juu yako;

nitaleta giza juu ya nchi yako,

asema Bwana Mwenyezi.

9Nitaifadhaisha mioyo ya mataifa mengi

nitakapokuangamiza miongoni mwa mataifa,

nikikuleta uhamishoni miongoni mwa nchi

ambazo haujapata kuzijua.

1032:10 Yer 46:10; Eze 26:16; Ufu 18:9-10; Isa 30:32; Eze 27:35; 30:9Nitayafanya mataifa mengi wakustaajabie,

wafalme wao watatetemeka

kwa hofu kwa ajili yako

nitakapotikisa upanga wangu mbele yao.

Siku ya anguko lako

kila mmoja wao atatetemeka

kila dakika kwa ajili ya maisha yake.

1132:11 Isa 19:4; Yer 46:26; Eze 21:19; 46:13; 29:19“ ‘Kwa kuwa hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Upanga wa mfalme wa Babeli

utakuja dhidi yako.

1232:12 Eze 28:7; 31:11-12Nitafanya makundi yako ya wajeuri kuanguka

kwa panga za watu mashujaa,

taifa katili kuliko mataifa yote.

Watakivunjavunja kiburi cha Misri,

nayo makundi yake yote

ya wajeuri yatashindwa.

1332:13 Eze 29:8-11Nitaangamiza mifugo yake yote

wanaojilisha kando ya maji mengi,

hayatavurugwa tena kwa mguu wa mwanadamu

wala kwato za mnyama

hazitayachafua tena.

14Kisha nitafanya maji yake yatulie

na kufanya vijito vyake

vitiririke kama mafuta,

asema Bwana Mwenyezi.

1532:15 Kut 7:5; Za 107:33-34; Kut 14:4; 18Nitakapoifanya Misri kuwa ukiwa

na kuiondolea nchi kila kitu

kilichomo ndani yake,

nitakapowapiga wote waishio humo,

ndipo watakapojua kuwa

Mimi ndimi Bwana.’

1632:16 Mwa 50:10; 2Sam 1:17; Eze 26:17; 19:1“Hili ndilo ombolezo watakalomwimbia. Binti za mataifa wataliimba, kwa kuwa Misri na makundi yake yote ya wajeuri wataliimba, asema Bwana Mwenyezi.”

17Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la Bwana likanijia kusema: 1832:18 Yer 1:10; Mik 1:8; Eze 26:20; 31:14-16; 32:1“Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni. 1932:19 Eze 28:10; 31:18Je, ninyi mnamzidi nani kwa uzuri? Shukeni chini! Nanyi mkalazwe pamoja na hao wasiotahiriwa! 2032:20 Za 28:3; Eze 31:17-18Wataanguka miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga. Upanga umefutwa, mwache aburutwe mbali pamoja na hao wajeuri wake wote. 2132:21 Isa 14:9; Eze 28:10Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’

2232:22 Eze 32:24, 26, 29, 30“Ashuru yuko huko pamoja na jeshi lake lote, amezungukwa na makaburi ya watu wake wote waliouawa, wale wote walioanguka kwa upanga. 2332:23 Isa 14:15; Nah 1:14Makaburi yao yako kwenye kina cha chini cha shimo na jeshi lake limelala kulizunguka kaburi lake. Wote waliokuwa wameeneza hofu kuu katika nchi ya walio hai wameuawa, wameanguka kwa upanga.

2432:24 Mwa 10:22; Yer 49:37; Ay 28:13; Eze 26:20“Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni. 2532:25 Eze 28:10; 28:10Kitanda kimetandikwa kwa ajili yake miongoni mwa waliouawa, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote ni watu wasiotahiriwa, wameuawa kwa upanga. Kwa sababu vitisho vyao vilienea katika nchi ya walio hai, wameichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni, nao wamewekwa miongoni mwa waliouawa.

2632:26 Mwa 10:2; Eze 27:13“Mesheki na Tubali wako humo, pamoja na makundi yao ya wajeuri wakiwa wameyazunguka makaburi yao. Wote hawakutahiriwa, wameuawa kwa upanga kwa sababu walieneza vitisho vyao katika nchi ya walio hai. 27Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai.

28“Wewe pia, ee Farao, utavunjwa nawe utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.

2932:29 Za 137:7; Eze 25:12-14; 35:15; Yer 49:7; Isa 34:5-15“Edomu yuko humo, wafalme wake wote na wakuu wake wote, ambao ijapokuwa wana nguvu, wamelazwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga. Wamelala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale washukao shimoni.

3032:30 Isa 14:31; Yer 25:26; Mwa 10:15; Eze 38:6; Yer 25:22; Eze 28:10; 28:8“Wakuu wote wa kaskazini na Wasidoni wote wako huko, wameshuka chini pamoja na waliouawa kwa aibu ijapokuwa kuna vitisho vilivyosababishwa na nguvu zao. Wamelala bila kutahiriwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga na kuchukua aibu yao pamoja na wale washukao chini shimoni.

3132:31 Eze 14:22; 31:16“Farao, yeye pamoja na jeshi lake lote, atakapowaona atafarijiwa kwa ajili ya makundi yake yote ya wajeuri, wale waliouawa kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi. 3232:32 Yer 44:30; Ay 3:14Ingawa nilimfanya Farao aeneze vitisho vyake katika nchi ya walio hai, Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri watalazwa miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi.”

Swedish Contemporary Bible

Hesekiel 32:1-32

Klagosång över farao

1I det tolfte året, på första dagen i tolfte månaden32:1 Den 3 mars 585 f.Kr. kom Herrens ord till mig: 2”Du människa, sjung en klagosång över farao, kungen av Egypten, och säg till honom:

’Du var som ett ungt lejon bland folken,

som ett odjur i havet.

Du for fram utmed dina floder,

rörde upp vattnet med dina fötter

och grumlade dess flöden.

3Så säger Herren, Herren:

Jag ska kasta mitt nät över dig,

en mängd av många folk,

och de ska dra upp dig i min trål.

4Jag ska kasta upp dig på land

och slunga iväg dig ut på marken.

Himlens fåglar ska slå ner på dig,

och markens djur ska äta sig mätta på dig.

5Jag ska sprida ut ditt kött bland bergen

och fylla dalarna med dina kvarlevor.

6Jag ska dränka jorden i flödet av ditt blod,

ända upp till bergen,

och fylla bäckarna med dig.

7När jag utplånar dig

ska jag täcka över himlen

och förmörka stjärnorna.

Jag ska gömma solen i moln,

och månen ska inte ge något sken.

8Alla ljus som lyser på himlen

ska jag förmörka för din skull,

jag ska låta mörker komma över ditt land, säger Herren, Herren.

9Jag ska låta en oro drabba många folk

när jag tillkännager din undergång bland folken,

i länder som du inte känner till.

10Jag ska låta många folk förfära sig över dig,

och deras kungar ska bäva av fasa för din skull

när jag svingar mitt svärd framför dem.

De ska ständigt frukta var och en för sitt liv när du faller.

11Så säger Herren, Herren:

Kungen av Babylonien ska drabba dig med sitt svärd.

12Jag ska låta din här falla för de mäktigas svärd,

för de grymmaste av alla folk.

De ska krossa Egyptens stolthet,

och hela dess här ska förgöras.

13Jag ska utrota all dess boskap vid de rikliga vattnen,

som aldrig mer ska röras upp av människofötter

eller grumlas av djurklövar.

14Jag ska låta deras vatten sjunka

och deras floder flyta som olja, säger Herren, Herren.

15När jag gör Egypten till en ödemark

och utplånar alla som finns där,

ska de inse att jag är Herren.’

16Detta är en klagosång som man ska sjunga. Kvinnorna bland folken32:16,18 Ordagrant: folkens/nationernas döttrar, eller möjligen är tanken att dessa döttrar/kvinnor är lika med folken/nationerna. ska sjunga den, över Egypten med hela dess här ska de sjunga den, säger Herren, Herren.”

Egypten och andra riken far ner till dödsriket

17I det tolfte året, på femtonde dagen i månaden, kom Herrens ord till mig: 18”Du människa, klaga över Egyptens här: Befall dem att fara ner till jorden, tillsammans med andra mäktiga nationers kvinnor, ner till dem som gått i graven. 19Vem överträffar du i skönhet? Gå ner! Lägg dig bland de oomskurna. 20De ska falla bland dem som dödats med svärd. Svärdet är draget. Släpa bort dem med hela hopen. 21De mäktiga ledarna talar ur dödsriket till honom och hans allierade: ’De oomskurna har kommit ner och ligger där, dödade med svärd.’

22Där ligger Assur med hela sin här, mitt bland gravarna av alla sina slagna som fallit för svärd. 23Deras gravar är där nere i djupet, hans här ligger runt omkring hans grav. Alla är de dräpta, fallna för svärd, dessa som spred skräck i de levandes land.

24Där ligger Elam med hela sin här runt omkring hans grav. Alla är de dräpta, fallna för svärd. Oomskurna for de ner i jordens djup, dessa som spred skräck i de levandes land. Nu får de bära skammen med de andra som farit ner i graven. 25Bland de dräpta fick han sin bädd, med hela sin här i gravarna runt omkring. Alla är de oomskurna, dräpta med svärd, de som spred skräck i de levandes land. Nu får de bära skammen med de andra som farit ner i graven. De ligger bland de dräpta.

26Där ligger Meshek och Tuval, med hela sin här i gravarna runt omkring. Alla är de oomskurna, dräpta med svärd, de som spred skräck i de levandes land. 27De ligger inte bland de fallna, oomskurna hjältarna, som med sina vapen for ner i dödsriket och som ligger med sina svärd under huvudet och sina sköldar32:27 Egentligen deras synder; översättningen följer en föreslagen rättelse, som sammanhanget tycks förutsätta. lagda över knotorna. De spred skräck i de levandes land.

28Också du ska krossas tillsammans med de oomskurna och ligga där bland dem som dräpts med svärd.

29Där ligger Edom med sina kungar och furstar, som trots sin makt ligger där med dem som dräpts med svärd. De ligger där tillsammans med de oomskurna, de som gått ner i graven.

30Där ligger alla furstarna från norr och alla från Sidon. De for ner bland de dräpta, trots den skräck de spred genom sin makt, och de kom på skam. De ligger där oomskurna tillsammans med dem som dräpts med svärd och bär skammen med dem som gått ner i graven.

31Farao ser dem och blir tröstad i sorgen över sin här. Farao och hela hans här är dräpta med svärd, säger Herren, Herren. 32Jag lät honom sprida skräck i de levandes land, men nu ska han och hela hans här ligga bland dem som dräpts med svärd, säger Herren, Herren.”