Ezekieli 3 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 3:1-27

13:1 Eze 2:8, 9Naye akaniambia, “Mwanadamu, kula kile kilichoko mbele yako, kula huu ukurasa wa kitabu, kisha uende ukaseme na nyumba ya Israeli.” 23:2 Hes 11:25; Amu 13:25; Neh 9:30Ndipo nikafungua kinywa changu, naye akanilisha ule ukurasa wa kitabu.

33:3 Yer 15:16; Za 19:10; Ufu 10:9-10; Za 19:10Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, kula ukurasa huu wa kitabu ninaokupa ujaze tumbo lako.” Kwa hiyo nikaula, ulikuwa mtamu kama asali kinywani mwangu.

4Kisha akaniambia, “Mwanadamu, sasa nenda katika nyumba ya Israeli ukaseme nao maneno yangu. 53:5 Isa 28:11; Yn 1:2Hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli. 63:6 Yn 3:5-10; Mt 11:21-23Sikukutuma kwa mataifa mengi yenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu ambao maneno yao hutayaelewa. Hakika ningekutuma kwa watu hao, wangekusikiliza. 73:7 Isa 48:4; Yn 15:20-23; Yer 7:27; Eze 2:4Lakini nyumba ya Israeli haitakusikiliza kwa kuwa hawako radhi kunisikiliza mimi, kwa kuwa nyumba yote ya Israeli ni wenye vipaji vya nyuso vigumu na mioyo ya ukaidi. 83:8 Yer 1:18; 15:20Tazama nimefanya uso wako mgumu dhidi ya nyuso zao na kipaji cha uso wako kigumu dhidi ya vipaji vya nyuso zao. 93:9 Isa 50:7; 48:4; Mik 3:8; Eze 2:6; 4:6; Yer 5:3Kama vile almasi ilivyo ngumu kuliko gumegume, ndivyo nilivyokifanya kipaji cha uso wako. Usiwaogope wala usiwahofu, ijapokuwa ni nyumba ya kuasi.”

103:10 Ay 22:22Naye akaniambia, “Mwanadamu, sikiliza kwa makini na uyatie moyoni mwako maneno yote nitakayosema nawe. 113:11 Eze 43:5; Mdo 8:39; Eze 8:3Kisha nenda kwa watu wa taifa lako walio uhamishoni, ukaseme nao. Waambie, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenyezi asemavyo,’ kwamba watasikiliza au hawatasikiliza.”

123:12 Eze 3:14; 8:3; 43:5Ndipo Roho akaniinua, nikasikia sauti kubwa nyuma yangu ya ngurumo. (Utukufu wa Bwana na utukuzwe katika mahali pa makao yake!) 133:13 Eze 1:24; 10:5, 16-17; 1:15Ilikuwa ni sauti ya mabawa ya wale viumbe hai yakisuguana moja kwa jingine, sauti kama ya ngurumo. 143:14 1Fal 18:12; Isa 8:11; Eze 37:1Ndipo Roho aliponiinua na kunipeleka mbali. Nikaenda nikiwa na uchungu na hasira moyoni mwangu, nao mkono wa Bwana ukiwa juu yangu. 153:15 Mwa 50:10; Ay 2:13Nikafika kwa wale watu waliokuwa uhamishoni huko Tel-Abibu karibu na Mto Kebari. Nikakaa miongoni mwao kwa muda wa siku saba, nikiwa nimejawa na mshangao.

Onyo Kwa Israeli

163:16 Yer 42:7Mwishoni mwa hizo siku saba neno la Bwana likanijia kusema: 173:17 Isa 52:8; Yer 6:17; Wim 5:7; Eze 11:4; Yer 1:17; Isa 58:1“Mwanadamu, nimekufanya uwe mlinzi wa nyumba ya Israeli, kwa hiyo sikia neno nisemalo, ukawape onyo litokalo kwangu. 183:18 Eze 33:6; Rum 1:16; Mwa 2:17; Yn 8:21Nimwambiapo mtu mwovu, ‘Hakika utakufa,’ na wewe usipomwonya mtu huyo au kumshauri aache njia zake mbaya ili kuokoa maisha yake, huyo mtu mwovu atakufa katika dhambi yake na damu yake nitaidai mkononi mwako. 193:19 2Fal 17:13; 1Tim 4:14-16; Za 7:12; Yer 42:16; Eze 14:14-20; Mdo 18:6Lakini ukimwonya mtu mwovu naye akakataa kuacha uovu wake na njia zake mbaya, atakufa katika dhambi yake, lakini wewe utakuwa umejiokoa nafsi yako.

203:20 2Pet 2:20; Za 125:5; Eze 18:24; Yer 34:16; Isa 8:14; Law 26:37“Tena, mtu mwenye haki akiacha haki yake na kutenda maovu, nami nikaweka kikwazo mbele yake mtu huyo atakufa. Kwa kuwa hukumwonya, atakufa katika dhambi yake. Mambo ya haki aliyotenda, hayatakumbukwa, damu yake nitaidai mkononi mwako. 213:21 Mdo 20:31; Rum 2:7Lakini ukimwonya mwenye haki asitende dhambi na akaacha kutenda dhambi, hakika ataishi kwa sababu alipokea maonyo na utakuwa umejiokoa nafsi yako.”

223:22 Eze 8:4; Mdo 9:6Mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu huko, naye akaniambia, “Simama uende mpaka sehemu tambarare, nami nitasema nawe huko.” 233:23 Mwa 17:3; Eze 1:28Kwa hiyo niliinuka nikaenda mpaka mahali pa tambarare. Utukufu wa Bwana ulikuwa umesimama huko, kama utukufu ule niliouona kando ya Mto Kebari, nami nikaanguka kifudifudi.

243:24 Eze 2:2; Yer 15:17Ndipo Roho akaja ndani yangu akanisimamisha kwa miguu yangu. Akasema nami akaniambia: “Nenda ukajifungie ndani ya nyumba yako. 253:25 Eze 4:8Nawe, ee mwanadamu, watakufunga kwa kamba, watakufunga ili usiweze kutoka na kuwaendea watu. 263:26 Eze 33:22; Hos 4:4; Eze 24:27; Za 22:15; Eze 2:5Nitaufanya ulimi wako ushikamane kwenye kaa la kinywa chako, ili uwe kimya usiweze kuwakemea, wajapokuwa ni nyumba ya kuasi. 273:27 Eze 24:27; 29:21; Ufu 22:11; Eze 12:3; 33:22Lakini nitakaposema nawe, nitafungua kinywa chako nawe utawaambia, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo.’ Yeyote atakayesikiliza na asikilize, na yeyote atakayekataa na akatae; kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi.

New International Reader’s Version

Ezekiel 3:1-27

1The Lord said to me, “Son of man, eat what is in front of you. Eat this scroll. Then go and speak to the people of Israel.” 2So I opened my mouth. And he gave me the scroll to eat.

3Then he said to me, “Son of man, eat this scroll I am giving you. Fill your stomach with it.” So I ate it. And it tasted as sweet as honey in my mouth.

4Then he said to me, “Son of man, go to the people of Israel. Give them my message. 5I am not sending you to people who speak another language that is hard to learn. Instead, I am sending you to the people of Israel. 6You are not being sent to many nations whose people speak other languages that are hard to learn. You would not be able to understand them. Suppose I had sent you to them. Then they certainly would have listened to you. 7But the people of Israel do not want to listen to you. That is because they do not want to listen to me. All the Israelites are very stubborn. 8But I will make you just as stubborn as they are. 9I will make you very brave. So do not be afraid of them. Do not let them terrify you, even though they refuse to obey me.”

10He continued, “Son of man, listen carefully. Take to heart everything I tell you. 11Go now to your own people who were brought here as prisoners. Speak to them. Tell them, ‘Here is what the Lord and King says.’ Speak to them whether they listen or not.”

12Then the Spirit of the Lord lifted me up. I heard a loud rumbling sound behind me. The sound was made when the glory of the Lord rose up. It rose up from the place it had been standing. 13The sound was made by the wings of the living creatures. They were brushing against one another. The sound was also made by the wheels beside them. It was a loud rumbling sound. 14Then the Spirit lifted me up and took me away. My spirit was bitter. I was very angry. The power of the Lord was on me. 15I came to my people who had been brought as prisoners to Tel Aviv. It was near the Kebar River. I went to where they were living. There I sat among them for seven days. I was very sad and scared about everything that had happened.

The Lord Has Appointed Ezekiel to Warn Israel

16After seven days, a message from the Lord came to me. 17The Lord said, “Son of man, I have appointed you as a prophet to warn the people of Israel. So listen to my message. Give them a warning from me. 18Suppose I say to a sinful person, ‘You can be sure you will die.’ And you do not warn them. You do not try to get them to change their evil ways in order to save their life. Then that sinful person will die because they have sinned. And I will hold you responsible for their death. 19But suppose you do warn that sinful person. And they do not turn away from their sin or their evil ways. Then they will die because they have sinned. But you will have saved yourself.

20“Or suppose a godly person turns away from their godliness and does what is evil. And suppose I put something in their way that will trip them up. Then they will die. Since you did not warn them, they will die for their sin. The godly things that person did will not be remembered. And I will hold you responsible for their death. 21But suppose you do warn a godly person not to sin. And they do not sin. Then you can be sure that they will live because they listened to your warning. And you will have saved yourself.”

22The power of the Lord was on me. He said, “Get up. Go out to the plain. I will speak to you there.” 23So I got up and went out to the plain. The glory of the Lord was standing there. It was just like the glory I had seen by the Kebar River. So I fell with my face toward the ground.

24Then the Spirit of the Lord came into me. He raised me to my feet. He said to me, “Go, son of man. Shut yourself inside your house. 25Some people will tie you up with ropes. So you will not be able to go out among your people. 26I will make your tongue stick to the roof of your mouth. Then you will be silent. You will not be able to correct them. That’s because they always refuse to obey me. 27But later I will speak to you. I will open your mouth. Then you will tell them, ‘Here is what the Lord and King says.’ Those who listen will listen. And those who refuse to listen will refuse. They always refuse to obey me.