Ezekieli 29 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 29:1-21

Unabii Dhidi Ya Misri

1Katika mwaka wa kumi, mwezi wa kumi, siku ya kumi na mbili, neno la Bwana likanijia kusema: 229:2 Yer 25:19; Isa 19:1-17; Yer 46:2; Eze 25:2; 30:1-26; 31:1-18“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Farao mfalme wa Misri na utabiri dhidi yake na dhidi ya Misri yote. 329:3 Yer 44:30; Za 68:30; Isa 27:1; Eze 32:2; Yer 46:8Nena, nawe useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Mimi ni kinyume nawe, Farao, mfalme wa Misri,

joka kubwa ulalaye katikati ya vijito vyako.

Unasema, “Mto Naili ni wangu mwenyewe;

niliufanya kwa ajili yangu mwenyewe.”

429:4 2Fal 19:28; Ay 41:2; Eze 38:4Lakini nitatia ndoana katika mataya yako

nami nitawafanya samaki wa vijito vyako

washikamane na magamba yako.

Nitakutoa katikati ya vijito vyako,

pamoja na samaki wote

walioshikamana na magamba yako.

529:5 Yer 7:33; 34:20; 8:2; Eze 31:13; 32:4-6; 39:4Nitakutupa jangwani,

wewe pamoja na samaki wote wa vijito vyako.

Utaanguka uwanjani,

nawe hutakusanywa au kuchukuliwa.

Nitakutoa uwe chakula

kwa wanyama wa nchi

na ndege wa angani.

629:6 2Fal 18:21; Isa 36:6Ndipo wale wote waishio Misri watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.

“ ‘Umekuwa fimbo ya tete kwa nyumba ya Israeli. 729:7 Yer 17:5; Eze 17:15-17; 2Fal 18:21; Isa 36:6Walipokushika kwa mikono yao, ulivunjika na kuchana mabega yao; walipokuegemea, ulivunjika na migongo yao ikateguka.

829:8 Eze 14:17; 25:13; 32:11-13“ ‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitaleta upanga juu yako na kuua watu wako na wanyama wao. 929:9 Eze 30:7-8, 13-19; Mit 16:18; Yer 46:8Misri itakuwa ukiwa na isiyolimwa wala kukaliwa na watu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.

“ ‘Kwa sababu ulisema, “Mto Naili ni wangu; mimi niliufanya,” 1029:10 Eze 30:6-12; Yer 21:13; Kut 3:22; Yer 46:19; Kut 14:2; Isa 18:1kwa hiyo mimi ni kinyume nawe na kinyume na vijito vyako, nami nitaifanya nchi ya Misri kuwa magofu na ukiwa isiyolimwa wala kukaliwa na watu kuanzia Migdoli hadi Aswani, hata kufikia mpakani wa Ethiopia. 1129:11 Eze 32:13Hakuna unyayo wa mtu au mnyama utakaopita ndani yake, wala hakuna yeyote atakayeishi humo kwa muda wa miaka arobaini. 1229:12 Yer 46:19; Eze 30:7; 34:10Nitaifanya nchi ya Misri ukiwa, miongoni mwa nchi zilizo ukiwa, nayo miji yake itabaki ukiwa miaka arobaini miongoni mwa miji iliyo magofu. Nami nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi nyingine.

1329:13 Isa 19:23; Yer 46:26“ ‘Lakini hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mwishoni mwa hiyo miaka arobaini, nitawakusanya Wamisri kutoka mataifa walikotawanywa. 1429:14 Isa 11:11; Eze 30:14; 17:14; Isa 19:22; Yer 46:26Nitawarudisha hao Wamisri kutoka kwenye kutekwa kwao na kuwaweka katika Pathrosi,29:14 Pathrosi ni Misri ya Juu. nchi ya baba zao. Huko watakuwa na ufalme usiokuwa na nguvu. 1529:15 Zek 10:11Utakuwa ufalme dhaifu kuliko zote na kamwe Misri haitajikweza tena juu ya mataifa mengine. Nitaufanya ufalme wake dhaifu sana kiasi kwamba kamwe hautatawala tena juu ya mataifa mengine. 1629:16 2Nya 32:10; Isa 20:5; Hos 8:13; Isa 30:2; Mao 4:17; Hes 5:15Misri haitakuwa tena tumaini la watu wa Israeli bali itakuwa kumbukumbu ya dhambi yao kwa kuigeukia kuomba msaada. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana Mwenyezi.’ ”

1729:17 Eze 30:20; 24:1; 40:1Katika mwaka wa ishirini na saba, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza, neno la Bwana likanijia, kusema: 1829:18 Yer 27:6; Law 13:40; Ay 1:20; Yer 39:1“Mwanadamu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliongoza jeshi lake kufanya kazi ngumu dhidi ya Tiro; kila kichwa kilipata upaa na kila bega likachunika. Lakini yeye na jeshi lake hawakupata malipo yoyote kutokana na muda wote aliongoza hiyo vita dhidi ya Tiro. 1929:19 Yer 43:10-13; Eze 32:11; Yer 27:6; Isa 19:4; Eze 26:5; 30:4, 10Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitaitia Misri mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye atachukua utajiri wa Misri. Atateka mateka na kuchukua nyara mali za Misri kama ujira kwa ajili ya jeshi lake. 2029:20 Isa 45:1; Yer 25; 9; Isa 43:3; 10:6-7Nimempa mfalme wa Babeli nchi ya Misri kuwa ujira kwa juhudi zake kwa sababu yeye na jeshi lake walifanya kwa ajili yangu, asema Bwana Mwenyezi.

2129:21 Lk 1:69; 1Sam 2:10; Za 132:17; Eze 33:22; 3:27; 24:27“Katika siku hiyo nitaifanya nyumba ya Israeli iwe na nguvu nami nitakifungua kinywa chako miongoni mwao. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.”

New Russian Translation

Иезекииль 29:1-21

Пророчество о Египте

1В десятом году, в двенадцатый день десятого месяца29:1 7 января 587 г. до н. э. было ко мне слово Господа:

2– Сын человеческий, обрати лицо к фараону, царю Египта, и пророчествуй против него и против всего Египта. 3Говори с ним и скажи: Так говорит Владыка Господь:

Я твой враг, фараон, царь Египта,

чудовищный крокодил, что в реках своих разлегся.

«Нил мой, – говоришь ты, –

я для себя его создал».

4Я продену крюк в твои челюсти,

и рыбу из рек твоих приклею к твоей чешуе.

Я тебя вытащу из твоих рек

с рыбой, прилипшей к твоей чешуе.

5Я брошу тебя в пустыню –

тебя и рыбу из твоих рек.

Ты упадешь в открытом поле –

не подберут тебя, не поднимут.

Я отдам тебя в пищу

земному зверью и небесным птицам.

6Тогда все жители Египта узнают, что Я – Господь.

Ты был посохом из тростника для дома Израиля. 7Когда они брались за тебя, ты расщеплялся и ранил им плечи; когда они опирались на тебя, ты ломался, и их ноги теряли устойчивость29:7 Так в одном из древних переводов; в еврейском тексте: «хранили устойчивость»..

8Поэтому так говорит Владыка Господь:

– Я наведу на тебя меч и истреблю твоих жителей и их скот. 9Египет станет безлюдной пустыней. Тогда они узнают, что Я – Господь. За то, что ты сказал: «Нил – мой; это я его создал», 10Я – твой враг и враг твоих рек. Я сделаю землю Египта мертвой пустыней от Мигдола до Сиены, до самой границы с Кушем. 11Не будет ступать по ней ни нога человека, ни нога животного; она будет необитаемой сорок лет. 12Я сделаю землю Египта пустыней среди опустошенных земель, и ее города будут безлюдными среди опустевших городов сорок лет. Я рассею египтян между другими народами и развею их по чужим землям.

13Ведь так говорит Владыка Господь:

– По прошествии сорока лет Я соберу египтян из народов, среди которых они были рассеяны. 14Я восстановлю и возвращу их в Верхний Египет29:14 Евр. «Патрос»; также в ст. 30:14., землю их предков. Они будут там слабым царством, 15самым слабым из царств, и никогда впредь не возвысятся над другими народами. Я так ослаблю их, что они не смогут впредь править народами. 16Египет больше не будет опорой для дома Израиля; он будет напоминанием людям о грехе, который они совершили, обращаясь к нему за помощью. Тогда они узнают, что Я – Владыка Господь.

Завоевание Египта Вавилоном

17В двадцать седьмом году, в первый день первого месяца29:17 26 апреля 571 г. до н. э. было ко мне слово Господне:

18– Сын человеческий, Навуходоносор, царь Вавилона, заставил свое войско немало потрудиться под Тиром: все головы оплешивели, все плечи натерты от непосильного труда. Но ни он, ни его войско ничего не получили от Тира в уплату за труды. 19Поэтому так говорит Владыка Господь: Я отдам Навуходоносору, царю Вавилона, землю Египта, и он захватит ее богатства. Он оберет и разграбит ее, чтобы заплатить войску. 20Я отдаю ему Египет в награду за труды, потому что он и его войско трудились для Меня, – возвещает Владыка Господь.

21В тот день Я выращу рог29:21 В древней ближневосточной литературе рог символизировал могущество. дому Израиля и открою среди них твои уста. Тогда они узнают, что Я – Господь.