Ezekieli 26 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 26:1-21

Unabii Dhidi Ya Tiro

126:1 Eze 24:1; 29:1; 30:20Mwaka wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likanijia kusema: 226:2 Yos 19:29; 2Sam 5:11; Eze 25:3; Yoe 3:4-6“Mwanadamu, kwa sababu Tiro amesema kuhusu Yerusalemu, ‘Aha! Lango la kwenda kwa mataifa limevunjika, nayo milango yake iko wazi mbele yangu, sasa kwa kuwa amekuwa magofu nitastawi.’ 326:3 Isa 5:30; Yer 50:42; 51:42Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na wewe, ee Tiro, nami nitaleta mataifa mengi dhidi yako, kama bahari inayovurumisha mawimbi yake. 426:4 Isa 23:1, 11; Amo 1:10Watavunja kuta za Tiro na kuibomoa minara yake, nitakwangua udongo wake na kuufanya mwamba mtupu. 526:5 Eze 27:32; Hes 14:3; Eze 29:19; Mt 4:19-21; Eze 47:10; Zek 9:2-4Itakuwa huko katikati ya bahari patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki, kwa maana nimenena, asema Bwana Mwenyezi. Atakuwa nyara kwa mataifa, 626:6 Eze 25:5nayo makao yake huko bara yataangamizwa kwa upanga. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.

726:7 Yer 27:6; Ezr 7:12; Dan 2:37; Nah 2:3-4; Eze 23:24“Kwa maana hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kutoka kaskazini nitamleta dhidi ya Tiro Mfalme Nebukadneza wa Babeli, mfalme wa wafalme, akiwa na farasi na magari ya vita, wapanda farasi na jeshi kubwa. 826:8 Yer 6:6; 33:4; Eze 21:22; 2Sam 20:15Atayaharibu makao yako huko bara kwa upanga, ataweka jeshi kukuzingira, atakuzingira mpaka kwenye kuta za ngome zako na kuinua ngao zake dhidi yako. 926:9 Eze 21:22Ataelekeza mapigo ya vyombo vyake vya kubomolea dhidi ya kuta zako na kubomoa minara yako kwa silaha zake. 1026:10 Yer 4:13; 46:9; Eze 23:24Farasi zake zitakuwa nyingi sana kiasi kwamba utafunikwa na mavumbi watakayotimua. Kuta zako zitatikisika kwa mshindo wa farasi wa vita, magari makubwa na magari ya vita wakati aingiapo malango yako kama watu waingiao mji ambao kuta zake zimebomolewa kote.

1126:11 Isa 5:28; Yer 43:13; Isa 26:5“Kwato za farasi zake zitakanyaga barabara zako zote, atawaua watu wako kwa upanga na nguzo zako zilizo imara zitaanguka chini. 1226:12 Yer 4:7; Hab 1:8; Isa 23:8; Eze 27:3-27Watateka utajiri wako na kuchukua nyara bidhaa zako, watazivunja kuta zako na kuzibomoa nyumba zako nzuri, watatupa baharini mawe yako, mbao zako na kifusi chako. 1326:13 Yer 7:34; Za 137:2; Isa 14:11; Ay 30:31; Ufu 18:22; Hos 2:11Nitakomesha kelele za nyimbo zako, na uimbaji wako wa kinubi kamwe hautasikika tena. 1426:14 Ay 12:14; Mal 1:4Nitakufanya mwamba mtupu, nawe utakuwa mahali pa kutandazia nyavu za kuvulia samaki. Kamwe hutajengwa tena, kwa maana Mimi Bwana nimenena, asema Bwana Mwenyezi.

1526:15 Isa 41:5; Eze 27:35; Yer 49:21; Ay 24:12“Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo kwa Tiro: ‘Je, nchi za pwani hazitatetemeka kwa kishindo cha anguko lako, wakati majeruhi wanapolia kwa maumivu makali na wakati mauaji yanaendelea ndani yako? 1626:16 Ay 8:22; Hos 11:10; Isa 3:26; Eze 32:10; Kut 26:36; Ay 2:8-13; Law 26:32Ndipo wakuu wote wa mataifa ya pwani watashuka kutoka kwenye viti vyao vya enzi na kuweka kando majoho yao na kuvua nguo zao zilizotariziwa. Wakiwa wamevikwa hofu kuu, wataketi chini ardhini, wakiwa wanatetemeka kila dakika na wakikustajabia. 1726:17 Eze 19:1; Isa 14:12Ndipo wao watakuombolezea na kukuambia:

“ ‘Tazama jinsi ulivyoharibiwa,

ee mji uliokuwa na sifa,

wewe uliyekaliwa na mabaharia!

Ulikuwa na nguvu kwenye bahari,

wewe na watu wako;

wote walioishi huko,

uliwatia hofu kuu.

1826:18 Isa 23:5; 41:5; Za 46:6; Yer 49:21; Eze 27:35Sasa nchi za pwani zinatetemeka

katika siku ya anguko lako;

visiwa vilivyomo baharini

vinaogopa kwa kuporomoka kwako.’

1926:19 Isa 8:7-8; Mwa 7:11“Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitakapokufanya uwe mji wa ukiwa, kama miji isiyokaliwa tena na watu, nitakapoleta vilindi vya bahari juu yako na maji yake makuu yatakapokufunika, 2026:20 Amo 9:2; Yon 2:2-6; Ay 28:13; Isa 14:9-10; Eze 32:18; Ay 28:13; Hes 16:30ndipo nitakapokushusha chini pamoja na wale washukao shimoni, kwa watu wa kale, nami nitakufanya uishi katika pande za chini za nchi kama katika magofu ya kale, pamoja na wale washukao shimoni, nawe hutarudi au kurejea kwenye makao yako katika nchi ya walio hai. 2126:21 Yer 20:4; Ufu 18:21; Za 37:36; Yer 51:64; Dan 11:19Nitakufikisha mwisho wa kutisha wala hutakuwepo tena. Watu watakutafuta, lakini kamwe hutaonekana tena, asema Bwana Mwenyezi.”

New Russian Translation

Иезекииль 26:1-21

Пророчество о Тире

1В одиннадцатом году, в первый день месяца26:1 587 (586) г. до н. э., было ко мне слово Господне:

2– Сын человеческий, за то, что Тир сказал об Иерусалиме: «Вот! Врата народов разрушены; распахнуты для меня. Он опустошен, и теперь я буду благоденствовать», 3Владыка Господь говорит: «Я твой противник, Тир. Я подниму против тебя многие народы, подобно тому, как море вздымает волны. 4Они сломают стены Тира и разрушат его башни, а Я вымету из Тира развалины и сделаю его голой скалой. 5Посреди моря он станет местом, где раскидывают рыбацкие сети, потому что Я так сказал, – возвещает Владыка Господь. – Он будет разграблен народами, 6а его селения на земле будут преданы мечу. Тогда они узнают, что Я – Господь».

7Ведь так говорит Владыка Господь: Смотрите, Я веду с севера на Тир Навуходоносора26:7 Евр.: «Невухадреццар» – вариант имени Навуходоносор; также в других местах книги., царя Вавилона, царя царей, с конями и колесницами, всадниками и огромным, могучим войском. 8Он опустошит твои селения на земле мечом. Он возведет против тебя осадные валы, сделает насыпь у твоих стен и обратит против тебя щиты. 9Он прикажет бить в твои стены таранами и разрушить твои башни кирками. 10Его коней будет так много, что поднятая ими пыль покроет тебя. Твои стены дрогнут от топота его боевых коней, повозок и колесниц, когда он войдет в твои ворота, как входят в город, стены которого были пробиты. 11Копыта его коней будут попирать твои улицы. Он перебьет твоих жителей мечом, и твои мощные колонны рухнут на землю. 12Твои богатства разграбят, твои товары расхитят. Твои стены сломают, роскошные дома разрушат, а камни, дерево и мусор бросят в море. 13Я положу конец твоим шумным песням, и музыка твоих арф смолкнет. 14Я сделаю тебя голой скалой; ты станешь местом, где раскидывают рыбацкие сети. Ты никогда не будешь вновь отстроен, потому что Я, Господь, так сказал, – возвещает Владыка Господь.

15Так говорит Тиру Владыка Господь:

– Неужели побережье не вздрогнет от шума твоего падения, когда застонут раненые, когда в тебе пойдет резня? 16Тогда властители побережья сойдут с престолов, сбросят мантии и снимут расшитые одежды. Охваченные трепетом, они будут сидеть на земле, вздрагивая каждый миг и ужасаясь твоей доле. 17Они поднимут о тебе плач; они скажут тебе:

«Как сгинул ты, славный город,

мореходами населенный!

Ты был силою на морях,

ты и твои горожане,

что наводили страх

на всех его обитателей.

18Ныне, в день твоего падения

содрогаются берега;

острова, что на море,

ужасаются твоей гибели».

19Так говорит Владыка Господь:

– Когда Я сделаю тебя опустошенным городом, подобным тем городам, где никто больше не живет, когда Я сомкну над тобой океанскую бездну, и ее великие воды покроют тебя, 20тогда Я сведу тебя с теми, кто спускается в пропасть, к тем, кто жил в древности. Я поселю тебя в нижнем мире, среди вековечных развалин, с теми, кто спускается в пропасть, чтобы ты больше не был населен и не занял места26:20 Так в одном из древних переводов; в нормативном еврейском тексте: «населен, и Я дам красоту». на земле живых. 21Я пошлю тебе страшный конец, и тебя не станет. Тебя будут искать, но не найдут, – возвещает Владыка Господь.