Ezekieli 10 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 10:1-22

Utukufu Unaondoka Hekaluni

110:1 Kut 23:10; Eze 1:22; Ufu 4:2-3; Mwa 3:24Nikatazama, nikaona juu ya ile nafasi iliyokuwa juu ya vichwa vya wale makerubi kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi. 210:2 Eze 1:15; 9:2; Ufu 8:5; 2Sam 22:9Bwana akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, “Ingia katikati ya yale Magurudumu yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako makaa ya mawe ya moto kutoka katikati ya makerubi na uyatawanye juu ya mji.” Nilipokuwa nikiangalia, akaingia ndani.

3Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani. 410:4 Kut 24:16; Eze 44:4; 1:28Kisha utukufu wa Bwana ukainuka kutoka juu ya wale makerubi ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Wingu likajaza Hekalu, nao ukumbi ukajawa na mngʼao wa utukufu wa Bwana. 510:5 Ay 40:9; Eze 1:24; 3:15Sauti ya mabawa ya wale makerubi ingeweza kusikika mpaka kwenye ukumbi wa nje, kama sauti ya Mungu Mwenyezi10:5 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). wakati anapoongea.

610:6 Dan 7:9Bwana alipomwamuru yule mtu aliyevaa nguo za kitani akisema, “Chukua moto toka katikati ya magurudumu, kutoka katikati ya makerubi,” yule mtu aliingia ndani akasimama pembeni mwa gurudumu. 710:7 Eze 5:4Ndipo mmoja wa wale makerubi akanyoosha mkono wake kwenye moto uliokuwa katikati yao. Akachukua baadhi ya moto na kuutia mikononi mwa yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani, naye akaupokea akatoka nje. 810:8 Eze 1:8(Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)

910:9 Kut 28:20; Eze 1:15-21; 24:6Nikatazama, nikaona magurudumu manne kando ya makerubi, moja kando ya kila kerubi. Magurudumu hayo yalimetameta kama kito cha zabarajadi. 10Kule kuonekana kwake, yote manne yalifanana kila gurudumu lilikuwa kama linazunguka ndani ya lingine. 1110:11 Eze 1:17Yalipozunguka, yalikwenda kokote katika pande nne walikoelekea wale makerubi. Magurudumu hayakugeuka wakati makerubi yalipokwenda. Makerubi walikwenda upande wowote kichwa kilikoelekea pasipo kugeuka walipokuwa wakienda. 1210:12 Ufu 4:6-8; Eze 1:15-21; 24:6Miili yao yote, pamoja na migongo yao, mikono na mabawa yao yote yalikuwa yamejaa macho kabisa kama yalivyokuwa yale magurudumu yao manne. 13Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.” 1410:14 1Fal 7:36; Eze 41:19; Dan 9:21; Ufu 4:7Kila mmoja wa wale makerubi alikuwa na nyuso nne: Uso mmoja ulikuwa kama vile wa kerubi, uso wa pili ulikuwa wa mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na uso wa nne ulikuwa wa tai.

1510:15 Isa 6:2; Eze 1:3-5; Za 137:1Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari. 1610:16 Eze 1:19Wakati makerubi walipokwenda, magurudumu yaliyoko kando yao yalikwenda na wakati makerubi walipotanda mabawa yao wapate kupaa juu kutoka ardhi, magurudumu yale hayakuondoka pembeni mwao. 1710:17 Eze 1:20-21; 3:13Makerubi yaliposimama kimya, nayo pia yalitulia kimya, nao makerubi yalipoinuka juu, magurudumu nayo yaliinuka juu pamoja nao, kwa sababu roho ya vile viumbe hai ilikuwa ndani yake.

1810:18 Za 78:60; 18:10; Eze 7:20-22; 1Sam 4:21Kisha utukufu wa Bwana ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi. 1910:19 Eze 11:1-22; 43:4Nilipokuwa nikitazama, makerubi yakatanda mabawa yao na kuinuka kutoka ardhini, nao walipokuwa wakienda, yale magurudumu yakaenda pamoja nao. Wakasimama kwenye ingilio la lango la mashariki la nyumba ya Bwana, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ukawa juu yao.

2010:20 Eze 1:1-8Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi. 2110:21 Eze 1:6, 8Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu. 2210:22 Eze 1:10, 12Nyuso zao zilifanana kama zile nilizokuwa nimeziona kando ya Mto Kebari. Kila mmoja alikwenda mbele moja kwa moja.

Swedish Contemporary Bible

Hesekiel 10:1-22

Keruberna och Herrens härlighet

1Jag såg att på valvet över kerubernas10:1 ff. Det är inte alltid klart när keruberna ska uppfattas i plural- eller singularform i denna syn. I detta kapitel identifieras de med de fyra varelserna i första kapitlet. huvuden var gjort av något safirliknande, något som liknade en tron. 2Herren sa till mannen i linnekläderna: ”Gå in mellan hjulen under keruben, fyll dina händer med brinnande kol och sprid ut dem över staden.” Jag såg honom gå.

3Keruberna stod söder om templet när mannen gick in, och ett moln uppfyllde den inre förgården. 4Sedan höjde sig Herrens härlighet från keruben och flyttade sig till templets tröskel. Templet fylldes av molnet, och förgården var full av glansen från Herrens härlighet. 5Ljudet av kerubernas vingar hördes ut till den yttre förgården. Det var som Gud den Väldiges röst när han talar.

6När han befallde mannen i linnekläderna att ta eld som fanns mellan hjulen, mellan keruberna, gick han in och ställde sig vid ett av hjulen. 7Keruben sträckte ut sin hand till elden som brann mellan keruberna, tog av den och lade i händerna på mannen i linnekläder, som tog elden och gick ut. 8Under kerubernas vingar syntes något som liknade människohänder.

9Jag såg bredvid keruberna fyra hjul, ett vid var och en av dem. Hjulen gnistrade som krysolit. 10Alla fyra såg likadana ut, varje hjul tycktes vara inuti ett annat hjul. 11De kunde gå i alla fyra riktningarna utan att vända sig när de gick. Keruberna gick i den riktning dit huvudet vände sig, och de vände sig inte när de gick.10:11 Tanken kan också vara att keruberna gick i samma riktning som den främste av dem, om ordet ”huvud” tolkas som någon sorts ledarroll. 12Hela deras kropp, rygg, händer och vingar, liksom deras fyra hjul, var helt och hållet fulla av ögon. 13Jag hörde att dessa hjul kallades för hjulverk. 14Var och en av keruberna hade fyra ansikten, det första ansiktet var en kerubs10:14 Jfr 1:10. Hur kerubernas ansikten exakt ska uppfattas och hur skillnaderna ska tolkas kan man bara spekulera om., det andra en människas, det tredje ett lejons och det fjärde en örns ansikte.

15Keruberna höjde sig. Det var samma varelser som jag hade sett vid floden Kevar. 16När keruberna gick, gick också hjulen bredvid dem. Och när keruberna lyfte sina vingar för att höja sig över jorden, vände inte hjulen bort från deras sida. 17När de stod stilla, stod hjulen också stilla, och när de höjde sig, höjde sig hjulen med dem, för varelsernas ande fanns i hjulen.

18Sedan flyttade sig Herrens härlighet från templets tröskel och stannade över keruberna. 19Keruberna lyfte sina vingar och höjde sig över jorden. Jag såg på, och när de gav sig iväg, följde hjulen med dem. De stannade vid ingången till den östra porten av Herrens hus. Och Israels Guds härlighet var över dem.

20Det var samma varelser som jag hade sett under Israels Gud vid floden Kevar, och jag förstod att de var keruber. 21Var och en hade fyra ansikten och fyra vingar och under vingarna något som liknade människohänder. 22Deras ansikten var likadana som de som jag hade sett vid floden Kevar, och de gick var och en rakt fram.