Ezekieli 10 – NEN & NTLR

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 10:1-22

Utukufu Unaondoka Hekaluni

110:1 Kut 23:10; Eze 1:22; Ufu 4:2-3; Mwa 3:24Nikatazama, nikaona juu ya ile nafasi iliyokuwa juu ya vichwa vya wale makerubi kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi. 210:2 Eze 1:15; 9:2; Ufu 8:5; 2Sam 22:9Bwana akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, “Ingia katikati ya yale Magurudumu yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako makaa ya mawe ya moto kutoka katikati ya makerubi na uyatawanye juu ya mji.” Nilipokuwa nikiangalia, akaingia ndani.

3Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani. 410:4 Kut 24:16; Eze 44:4; 1:28Kisha utukufu wa Bwana ukainuka kutoka juu ya wale makerubi ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Wingu likajaza Hekalu, nao ukumbi ukajawa na mngʼao wa utukufu wa Bwana. 510:5 Ay 40:9; Eze 1:24; 3:15Sauti ya mabawa ya wale makerubi ingeweza kusikika mpaka kwenye ukumbi wa nje, kama sauti ya Mungu Mwenyezi10:5 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). wakati anapoongea.

610:6 Dan 7:9Bwana alipomwamuru yule mtu aliyevaa nguo za kitani akisema, “Chukua moto toka katikati ya magurudumu, kutoka katikati ya makerubi,” yule mtu aliingia ndani akasimama pembeni mwa gurudumu. 710:7 Eze 5:4Ndipo mmoja wa wale makerubi akanyoosha mkono wake kwenye moto uliokuwa katikati yao. Akachukua baadhi ya moto na kuutia mikononi mwa yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani, naye akaupokea akatoka nje. 810:8 Eze 1:8(Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)

910:9 Kut 28:20; Eze 1:15-21; 24:6Nikatazama, nikaona magurudumu manne kando ya makerubi, moja kando ya kila kerubi. Magurudumu hayo yalimetameta kama kito cha zabarajadi. 10Kule kuonekana kwake, yote manne yalifanana kila gurudumu lilikuwa kama linazunguka ndani ya lingine. 1110:11 Eze 1:17Yalipozunguka, yalikwenda kokote katika pande nne walikoelekea wale makerubi. Magurudumu hayakugeuka wakati makerubi yalipokwenda. Makerubi walikwenda upande wowote kichwa kilikoelekea pasipo kugeuka walipokuwa wakienda. 1210:12 Ufu 4:6-8; Eze 1:15-21; 24:6Miili yao yote, pamoja na migongo yao, mikono na mabawa yao yote yalikuwa yamejaa macho kabisa kama yalivyokuwa yale magurudumu yao manne. 13Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.” 1410:14 1Fal 7:36; Eze 41:19; Dan 9:21; Ufu 4:7Kila mmoja wa wale makerubi alikuwa na nyuso nne: Uso mmoja ulikuwa kama vile wa kerubi, uso wa pili ulikuwa wa mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na uso wa nne ulikuwa wa tai.

1510:15 Isa 6:2; Eze 1:3-5; Za 137:1Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari. 1610:16 Eze 1:19Wakati makerubi walipokwenda, magurudumu yaliyoko kando yao yalikwenda na wakati makerubi walipotanda mabawa yao wapate kupaa juu kutoka ardhi, magurudumu yale hayakuondoka pembeni mwao. 1710:17 Eze 1:20-21; 3:13Makerubi yaliposimama kimya, nayo pia yalitulia kimya, nao makerubi yalipoinuka juu, magurudumu nayo yaliinuka juu pamoja nao, kwa sababu roho ya vile viumbe hai ilikuwa ndani yake.

1810:18 Za 78:60; 18:10; Eze 7:20-22; 1Sam 4:21Kisha utukufu wa Bwana ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi. 1910:19 Eze 11:1-22; 43:4Nilipokuwa nikitazama, makerubi yakatanda mabawa yao na kuinuka kutoka ardhini, nao walipokuwa wakienda, yale magurudumu yakaenda pamoja nao. Wakasimama kwenye ingilio la lango la mashariki la nyumba ya Bwana, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ukawa juu yao.

2010:20 Eze 1:1-8Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi. 2110:21 Eze 1:6, 8Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu. 2210:22 Eze 1:10, 12Nyuso zao zilifanana kama zile nilizokuwa nimeziona kando ya Mto Kebari. Kila mmoja alikwenda mbele moja kwa moja.

Nouă Traducere În Limba Română

Ezechiel 10:1-22

Slava lui Dumnezeu părăsește Templul

1M‑am uitat și iată că pe întinderea1 Vezi nota de la 1:22. care se afla deasupra capetelor heruvimilor se vedea ceva ca o piatră de safir1 Sau: lapislazuli. care semăna la înfățișare cu un tron. 2El i‑a vorbit bărbatului îmbrăcat în haine de in și a zis: „Intră între roțile de sub heruvimi! Umple‑ți apoi mâinile cu cărbunii aprinși care sunt între heruvimi și împrăștie‑i peste cetate!“ Și el a intrat înaintea ochilor mei.

3În acest timp, heruvimii stăteau în partea de sud3 Lit.: dreaptă; în vremea aceea, în Orient punctele cardinale erau determinate de poziția cu fața spre răsărit, nu spre nord. a Casei, iar norul umpluse curtea interioară. 4Atunci slava Domnului s‑a ridicat dintre heruvimi și s‑a oprit deasupra pragului Casei. Norul a umplut Casa și strălucirea slavei Domnului a umplut curtea. 5Zgomotul făcut de aripile heruvimilor se auzea până în curtea exterioară și era asemenea glasului Dumnezeului cel Atotputernic5 Ebr.: El‑Șadai când vorbește.

6Atunci i‑a poruncit bărbatului îmbrăcat în haine de in, zicând: „Ia cărbuni aprinși dintre roți, dintre heruvimi!“ Acesta s‑a dus și s‑a oprit lângă roți. 7Atunci unul dintre heruvimi a întins mâna spre focul care era între ei, a luat cărbuni și i‑a pus în palma celui cu haine de in. Acesta i‑a luat și a ieșit. 8Undeva, sub aripile heruvimilor, se vedea forma unei mâini de om.

9M‑am uitat și iată că în apropierea heruvimilor erau patru roți, o roată în apropierea unui heruvim și o roată în apropierea următorului heruvim. Înfățișarea roților era ca strălucirea unei pietre de crisolit. 10Cele patru roți aveau aceeași înfățișare, fiecare având aspectul unei roți care se afla în mijlocul altei roți. 11Când mergeau, ele se puteau deplasa în toate cele patru direcții fără să se rotească în mers, căci, încotro era îndreptat capul fiecărui heruvim, într-acolo mergeau și ele, fără să se rotească în mers. 12Tot trupul heruvimilor, inclusiv spatele, mâinile, aripile și roțile – cele patru roți ale lor – era plin de ochi de jur împrejur. 13Cât despre roțile lor, ele au fost numite, în auzul meu, roți mișcătoare. 14Fiecare heruvim avea patru fețe: prima față era de heruvim, a doua față era de om, a treia față era de leu, iar a patra față era de vultur.

15Apoi heruvimii s‑au ridicat. Erau aceleași ființe vii pe care le văzusem la râul Chebar. 16Când mergeau heruvimii, mergeau și roțile alături de ei, iar când își ridicau aripile ca să se înalțe de la pământ, roțile rămâneau tot în apropierea lor. 17Când se opreau, se opreau și ele; când mergeau, mergeau și ele, căci duhul ființelor vii era în ele.

18Slava Domnului a părăsit pragul Casei și s‑a oprit deasupra heruvimilor. 19Apoi, înaintea ochilor mei, heruvimii și‑au ridicat aripile și s‑au înălțat de la pământ. Când au ieșit ei, au plecat și roțile împreună cu ei. S‑au oprit la intrarea porții dinspre răsărit a Casei Domnului, slava Dumnezeului lui Israel fiind sus, deasupra lor.

20Erau aceleași ființe vii pe care le văzusem stând sub Dumnezeul lui Israel, la râul Chebar, și mi‑am dat seama că sunt heruvimi. 21Fiecare avea câte patru fețe, câte patru aripi și ceva de forma unor mâini omenești sub aripi. 22Înfățișarea fețelor lor era aceeași cu a fețelor pe care le văzusem la râul Chebar; aveau aceeași înfățișare și fiecare mergea în partea în care avea îndreptată fața.