Esta 10 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Esta 10:1-3

Ukuu Wa Mordekai

110:1 Za 72:10; 97:1Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali. 210:2 Es 8:15; Mwa 41:44Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi? 310:3 Dan 5:7; Mwa 41:40; Neh 2:10Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.

New International Reader’s Version

Esther 10:1-3

The Greatness of Mordecai

1King Xerxes required people all through his kingdom to bring gifts. King Xerxes required gifts from its farthest shores. 2All the king’s powerful and mighty acts are written down. That includes the whole story of how important Mordecai was. The king had given him a position of great honor. All these things are written in the official records of the kings of Media and Persia. 3The position of Mordecai the Jew was second only to the position of King Xerxes. Mordecai was the most important Jew. All the other Jews had the highest respect for him. That’s because he worked for the good of his people. And he spoke up for the benefit of all the Jews.