Danieli 9 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Danieli 9:1-27

Maombi Ya Danieli

19:1 Dan 5:31; Ezr 4:6Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario mwana wa Ahasuero (mzaliwa wa Umedi), ambaye alifanywa mtawala juu ya ufalme wa Babeli, 29:2 Yer 29:10; Zek 7:5; Yer 25:11-12; 2Nya 36:21katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, mimi Danieli nilielewa kutokana na Maandiko, kulingana na neno la Bwana alilopewa nabii Yeremia, kwamba ukiwa wa Yerusalemu ungetimizwa kwa miaka sabini. 39:3 2Sam 13:19; Neh 1:4; 2Nya 20:3; Yer 29:12; Dan 10:12; Yon 3:6Kwa hiyo nikamgeukia Bwana Mungu na kumsihi katika maombi na dua, katika kufunga, na kuvaa nguo ya gunia na kujipaka majivu.

49:4 Kum 7:9, 21; 1Fal 8:23, 30Nikamwomba Bwana Mungu wangu na kutubu:

“Ee Bwana, Mungu mkuu na unayetisha, anayeshika agano lake la upendo kwao wanaompenda na kutii maagizo yake, 59:5 Isa 53:6; Mao 1:20; Za 106:6; Mao 3:42; Ezr 9:6; Yer 8:14tumetenda dhambi na kufanya mabaya. Tumekuwa waovu na tumeasi; tumegeuka mbali na maagizo yako na sheria zako. 69:6 Yer 44:5; Yak 5:10; 2Fal 18:12; Ufu 10:7; 2Nya 36:16Hatukuwasikiliza watumishi wako manabii, ambao kwa jina lako walisema na wafalme wetu, wakuu wetu, baba zetu, na watu wote wa nchi.

79:7 Ezr 9:7; Za 44:15; Kum 4:27; Amo 9:9; Eze 39:23-24; Yer 24:9; Isa 42:6“Bwana, wewe ni mwenye haki, lakini siku hii ya leo tumefunikwa na aibu: tukiwa wanaume wa Yuda, na watu wa Yerusalemu, na Israeli yote, wote walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ulikotutawanya kwa sababu ya kukosa uaminifu kwako. 89:8 Neh 9:33; Yer 14; 20; Eze 16:63Ee Bwana, sisi na wafalme wetu, wakuu wetu na baba zetu tumefunikwa na aibu kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako. 99:9 Kut 34:7; Hes 14:18; Neh 9:17; Yer 14:7; Za 130:4; Yer 42:12; 2Sam 24:14Bwana Mungu wetu ni mwenye rehema na anayesamehe, hata ingawa tumefanya uasi dhidi yake. 109:10 2Fal 18:12; Ufu 10:7; 2Fal 17:13-15Hatukumtii Bwana Mungu wetu wala kuzishika sheria alizotupa kupitia kwa watumishi wake manabii. 119:11 Isa 1:4-7; Yer 8:5-10; Kum 27:15-26; Yer 2:29; 2Fal 22:16; Kum 11:26; 28:15; 2Fal 17:23Israeli yote imekosea sheria yako na kugeuka mbali, nao wamekataa kukutii.

“Kwa hiyo laana na viapo vya hukumu vilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, mtumishi wa Mungu, vimemiminwa juu yetu, kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako. 129:12 Isa 44:26; Yoe 2:2; Zek 1:6; 7:12; Mao 2:17; Yer 30:7; 4:23; Dan 12:1Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu na dhidi ya watawala wetu, kwa kuleta maafa makubwa juu yetu. Chini ya mbingu yote kamwe hapajatendeka kitu kama kile kilichotendeka kwa Yerusalemu. 139:13 Isa 9:13; Yer 2:30; Isa 31:1; Kum 4:29Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Mose, misiba hii yote imekuja juu yetu, lakini hatujaomba fadhili kwa Bwana Mungu wetu kwa kugeuka kutoka dhambi zetu na kuwa wasikivu katika kweli yake. 149:14 Yer 18:8; 44:27; Neh 9:33; Yer 32:23; Mwa 18:25; 2Nya 12:6; Yer 40:3Bwana hakusita kuleta maafa juu yetu, kwa maana Bwana Mungu wetu ni mwenye haki katika kila afanyalo; lakini hata hivyo hatujamtii.

159:15 Kut 3:20; Yer 32:21; Neh 9:10“Sasa, Ee Bwana Mungu wetu, ambaye uliwatoa watu wako Misri kwa mkono wenye nguvu, na ambaye umejifanyia Jina linalodumu mpaka leo, tumetenda dhambi, tumefanya mabaya. 169:16 Amu 5:11; Kut 15:17; Zek 8:2; Za 39:8; Eze 5:14; Isa 5:25Ee Bwana, wewe kwa kadiri ya matendo yako ya haki, ondoa hasira yako na ghadhabu yako juu ya Yerusalemu, mji wako, mlima wako mtakatifu. Dhambi zetu na maovu ya baba zetu yameifanya Yerusalemu na watu wako kitu cha kudharauliwa kwa wale wote wanaotuzunguka.

179:17 Hes 6:24-26; Za 80:19“Basi Mungu wetu, sasa sikia maombi na dua ya mtumishi wako. Ee Bwana, kwa ajili yako angalia kwa huruma ukiwa wa mahali pako patakatifu. 189:18 Za 80:14; Kum 28:10; Isa 37:17; Yer 7:10-12; 25:29; Lk 18:13Ee Mungu, tega sikio na ukasikie; fumbua macho yako ukaone ukiwa wa mji ule wenye Jina lako. Hatukutolei maombi yetu kwa sababu sisi tuna haki, bali kwa sababu ya rehema zako nyingi. 199:19 Za 44:23; 1Sam 12:22Ee Bwana, sikiliza! Ee Bwana, samehe! Ee Bwana, sikia na ukatende! Kwa ajili yako, Ee Mungu wangu, usikawie, kwa sababu mji wako na watu wako wanaitwa kwa Jina lako.”

Majuma Sabini

209:20 Za 145:18; Isa 58:9; Ezr 10:1Basi, nilipokuwa bado nikinena na kuomba, nikiungama dhambi yangu na dhambi ya watu wangu Israeli, na nikifanya maombi yangu kwa Bwana Mungu wangu kwa ajili ya mlima wake mtakatifu, 219:21 Dan 8:16; Lk 1:19; Kut 29:39wakati nilipokuwa bado katika maombi, Gabrieli, yule mtu niliyekuwa nimemwona katika maono hapo awali, alinijia kwa kasi karibu wakati wa kutoa dhabihu ya jioni. 229:22 Dan 7:16; 10:14; Amu 3:7Akanielimisha na kuniambia, “Danieli, sasa nimekuja kukupa akili na ufahamu. 239:23 Dan 10:19; Lk 1:24; Dan 10:11-12; Mt 24:15; Isa 65:24Mara ulipoanza kuomba, jibu lilitolewa, ambalo nimekuja kukupasha habari, kwa maana wewe unapendwa sana. Kwa hiyo, tafakari ujumbe huu na uelewe maono haya:

249:24 Isa 53:10; 56:1; Ebr 9:12; Isa 1:26“Majuma sabini yameamriwa kwa ajili ya watu wako na kwa ajili ya mji wako mtakatifu, ili kumaliza makosa, kukomesha dhambi, kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu, kuleta haki ya milele, kutia muhuri maono na unabii, na pia kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu sana.

259:25 Ezr 4:24; 6:15; Yn 4:25; 1Sam 13:14; Ezr 3:3“Ujue na kuelewa hili: Tangu kutolewa kwa amri ya kuutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu mpaka kuja kwa Mpakwa mafuta, aliye mtawala, kutakuwako majuma saba na majuma sitini na mawili. Barabara zitajengwa tena pamoja na mahandaki, lakini katika wakati wa taabu. 269:26 Isa 53:8; Mt 16:21; Isa 28:2; Nah 1:8; Dan 1:8; 11:10; Za 46:8; Zek 4:14; Hag 2:23Baada ya majuma sitini na mawili, Mpakwa Mafuta atakatiliwa mbali, wala hatabaki na kitu. Watu wa mtawala atakayekuja watauharibu mji pamoja na mahali patakatifu. Mwisho utakuja kama mafuriko: Vita vitaendelea mpaka mwisho, nao ukiwa umeamriwa. 279:27 Isa 10:22Mtawala huyo atathibitisha agano na watu wengi kwa juma moja. Katikati ya juma hilo atakomesha dhabihu na sadaka. Mahali pa dhabihu katika Hekalu atasimamisha chukizo la uharibifu, hadi mwisho ulioamriwa utakapomiminwa juu yake yeye aletaye uharibifu.”

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

但以理書 9:1-27

但以理為同胞禱告

1瑪代亞哈隨魯的兒子大流士被立為迦勒底國的王元年, 2即他統治的第一年,我但以理從經書上耶和華給耶利米先知的話得知,耶路撒冷必荒涼七十年。

3我便禁食,身披麻衣,頭蒙灰塵,向主上帝禱告祈求。 4我向我的上帝耶和華禱告、認罪,說:「主啊,你是偉大而可畏的上帝,你向那些愛你、遵守你誡命的人信守你的慈愛之約。 5我們犯罪作惡,行為邪惡叛逆,偏離你的誡命和典章, 6沒有聽從你的僕人——眾先知奉你的名向我們的君王、首領、先祖及國中百姓所說的話。 7主啊,你是公義的,我們今日滿面羞愧,我們猶大人和耶路撒冷的居民,以及因對你不忠而被驅散到遠近各地的以色列人都滿面羞愧。 8主啊,我們和我們的君王、首領、先祖因得罪了你而滿臉羞愧。 9雖然我們背叛了主——我們的上帝,祂卻有憐憫和饒恕之心。 10我們沒有聽從我們的上帝耶和華的話,沒有遵行祂藉祂的僕人——眾先知給我們頒佈的律法。 11以色列人都違背你的律法,偏離正道,不聽從你的話。你僕人摩西的律法書上所記載的咒詛和審判都落在了我們身上,因為我們得罪了你。 12你把大災難降在我們身上,應驗了你警告我們和我們官長的話。耶路撒冷遭遇的災禍普天之下從未有過。 13這一切災禍降在了我們身上,正如摩西律法書的記載。然而,我們的上帝耶和華啊,我們卻沒有離開罪惡,認識你的真理,以便懇求你施恩。 14所以耶和華決意使災禍降在我們身上,因為我們的上帝耶和華的一切作為都是公義的,我們卻沒有聽從祂的話。

15「主——我們的上帝啊,你曾用大能的手把你的子民領出埃及,使自己威名遠揚直到今日。我們卻犯罪作惡。 16主啊,你一向公義,求你不要向你的耶路撒冷城——你的聖山發烈怒。由於我們的罪惡和我們祖先的過犯,耶路撒冷和你的子民成了四圍鄰人嘲諷的對象。 17我們的上帝啊,求你垂聽僕人的禱告祈求,為你自己的緣故,笑顏垂顧你荒涼的聖所。 18我的上帝啊,求你側耳垂聽,睜眼眷顧我們荒涼的土地和屬於你名下的城。我們向你祈求,並非因為我們有什麼義行,乃是因為你充滿憐憫。 19主啊,求你垂聽!主啊,求你赦免!主啊,求你應允,立刻行動!我的上帝啊,為你自己的緣故,求你不要耽延,因為這城和這民都屬於你的名下。」

加百列解釋預言

20我繼續禱告,承認我和同胞以色列人的罪,為我上帝耶和華的聖山在祂面前祈求。 21我正禱告的時候,先前在異象中看見的那位加百列奉命疾飛而來。那是獻晚祭的時候。 22他向我解釋說:「但以理啊,我來是要使你有智慧和悟性。 23你剛開始祈求,就已賜下答覆,我是來告訴你的,因為你倍受眷愛。所以你要留意以下的信息,明白異象的意思。

24「已經為你的同胞和聖城定了七十個七,以終結叛逆,除掉罪惡,贖盡過犯,帶來永遠的公義,封住異象和預言,膏抹至聖所9·24 至聖所」或譯「至聖者」。25你要知道,也要明白,從重建耶路撒冷的命令發出,到受膏的君王來臨,其間有七個七加六十二個七。耶路撒冷城及其廣場和壕溝必得重建,且是在艱難時期。 26六十二個七之後,受膏者必被殺害,一無所有。另有一王要興起,他的臣民要毀滅這城和聖所。結局必如洪水沖來,戰爭將持續到末了,到處一片荒涼——這已經註定。 27那王必與許多人締結一七之久的盟約。一七之半,他必終止祭牲和供物,並且設立帶來毀滅的可憎之物,直到所定的結局臨到這惡者。」