Danieli 6 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Danieli 6:1-28

Danieli Katika Tundu La Simba

16:1 Dan 5:31; Es 1:1Ilimpendeza Dario kuteua wakuu 120 kutawala katika ufalme wake wote, 26:2 Dan 2:48-49; Mit 3:35; Dan 5:12-14; 1:20pamoja na wasimamizi watatu juu yao, ambao mmoja wao alikuwa Danieli. Wakuu walitoa hesabu kwa hao wasimamizi ili mfalme asipate hasara. 36:3 Es 10:3; Mwa 41:41; Mit 3:35; Dan 5:12-14; 1:20Basi Danieli alijidhihirisha, miongoni mwa wasimamizi na wakuu kwa sifa zake za kipekee hata mfalme akapanga kumweka juu ya ufalme wote. 46:4 Yer 20:10Walipofahamu hilo, wakuu na wasimamizi wakajaribu kutafuta sababu za kumshtaki Danieli kuhusu usimamizi wake wa shughuli za serikali, lakini hawakuweza kufanikiwa. Hawakuweza kupata kosa kwake, kwa sababu alikuwa mwaminifu, wala hakupatikana na upotovu au uzembe. 56:5 Mdo 24:13-16Mwishoni watu hawa walisema, “Kamwe hatutapata msingi wa mashtaka dhidi ya huyu Danieli isipokuwa iwe inahusiana na sheria ya Mungu wake.”

66:6 Neh 2:3; Dan 2:4Basi wasimamizi na wakuu wakaingia kwa mfalme kama kikundi wakasema, “Ee Mfalme Dario, uishi milele! 76:7 Dan 3:2; Za 59:3; 64:2-6; Dan 3:6Wasimamizi wa ufalme, wasaidizi, wakuu, washauri na watawala wote wamekubaliana kwamba mfalme atoe sheria na kukazia amri kuwa yeyote atakayetoa dua kwa mungu au mwanadamu yeyote katika muda huu wa siku thelathini zijazo, isipokuwa kwako wewe, ee mfalme, atupwe ndani ya tundu la simba. 86:8 Es 1:19Sasa, ee mfalme, toa amri na uiandike ili isiweze kubadilishwa: kulingana na sheria za Wamedi na Waajemi, ambazo haziwezi kubatilishwa.” 96:9 Dan 9:23; Eze 2:1; Dan 9:23Hivyo Mfalme Dario akaiweka amri hiyo katika maandishi.

106:10 1Fal 8:29; Mdo 5:29; Za 95:6; Mt 6:6Basi Danieli alipofahamu kuwa amri ile imetangazwa, alikwenda nyumbani kwenye chumba chake cha ghorofani ambako madirisha yalifunguka kuelekea Yerusalemu. Akapiga magoti na kuomba mara tatu kwa siku, akimshukuru Mungu wake kama alivyokuwa akifanya mwanzoni. 116:11 1Fal 8:48-50; Za 55:17; 1The 5:17-18Ndipo watu hawa wakaenda kama kikundi na kumkuta Danieli akiomba na kumsihi Mungu kwa ajili ya msaada. 126:12 Es 1:19; Dan 3:8-12Basi wakaenda kwa mfalme na kusema naye kuhusu amri ya mfalme: “Je, hukutangaza amri kwamba kwa muda huu wa siku thelathini zijazo mtu yeyote ambaye atamwomba mungu au mwanadamu yeyote isipokuwa wewe, ee mfalme, angetupwa ndani ya tundu la simba?”

Mfalme akajibu, “Amri ndivyo ilivyo, kulingana na sheria za Wamedi na Waajemi, ambazo haziwezi kubatilishwa.”

136:13 Eze 14:14; Dan 2:25; Es 3:8; Dan 3:12Ndipo wakamwambia mfalme, “Danieli, ambaye ni mmoja wa mahamisho kutoka Yuda, hakuheshimu, ee mfalme, wala hajali amri uliyoiweka kwa maandishi. Bado anaomba mara tatu kwa siku.” 146:14 Dan 3:13; Mk 6:26Wakati mfalme aliposikia hili, akahuzunika mno. Akakusudia kumwokoa Danieli, hivyo akafanya kila jitihada ya kumwokoa hadi jua likatua.

156:15 Es 8:8Ndipo wale watu wakamwendea mfalme kama kikundi na kumwambia, “Ee mfalme, kumbuka kwamba kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi, hakuna amri wala sheria ambayo mfalme ameitoa inayoweza kubadilishwa.”

166:16 Ay 5:19; 2Kor 1:10; Za 97:10; 37:39-40Basi mfalme akatoa amri, nao wakamleta Danieli, na wakamtupa ndani ya tundu la simba. Mfalme akamwambia Danieli, “Mungu wako unayemtumikia daima na akuokoe!”

176:17 Mt 27:66; Mao 3:536:17 Dan 4:3; 3:29Jiwe likaletwa na kuwekwa kwenye mdomo wa tundu, naye mfalme akalitia muhuri kwa pete yake mwenyewe pamoja na kwa pete za wakuu wake, ili hali ya Danieli isiweze kubadilishwa. 186:18 2Sam 12:17; Dan 3:10; Es 6:1; Dan 2:1Kisha mfalme akarudi kwenye jumba lake la kifalme, naye usiku kucha hakula chakula wala kutumia viburudisho alivyoletewa. Lakini hakuweza kulala.

19Asubuhi na mapema, mfalme akaondoka na kuharakisha kwenda kwenye tundu la simba. 206:20 Dan 3:17; Yer 32:17; Mwa 18:14Wakati alipokaribia lile tundu, akamwita Danieli kwa sauti ya uchungu, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai! Je, Mungu wako unayemtumikia daima, ameweza kukuokoa kwa simba?”

216:21 Neh 2:3; Dan 2:4; 3:9Danieli akajibu, “Ee mfalme, uishi milele! 226:22 Dan 3:23-28; Mwa 32:1; Za 91:11-13; Ebr 11:33; Mdo 12:11; 2Tim 4:17Mungu wangu alimtuma malaika wake, naye akafunga vinywa vya hawa simba. Hawajanidhuru, kwa sababu nilionekana sina hatia mbele zake. Wala kamwe sijafanya jambo lolote baya mbele yako, ee mfalme.”

236:23 Dan 3:27; Mk 16:18; Isa 12:2; 1Nya 5:20Mfalme akafurahi mno, naye akatoa amri Danieli atolewe kutoka kwa lile tundu. Danieli alipotolewa kutoka kwa lile tundu, hakukutwa na jeraha lolote, kwa sababu alikuwa amemtumaini Mungu wake.

246:24 Kum 19:18-19; Es 7:9-10; 2Fal 14:6; Isa 38:13; Kum 24:16; 2Fal 14:6Kwa amri ya mfalme, wale watu waliokuwa wamemshtaki Danieli kwa uongo waliletwa na kutupwa ndani ya lile tundu la simba, pamoja na wake zao na watoto wao. Nao kabla hawajafika chini kwenye sakafu ya lile tundu, simba wakawakamata na kusaga mifupa yao yote.

256:25 Dan 3:4; 4:1Kisha Mfalme Dario akawaandikia kabila zote za watu, mataifa, na watu wa kila lugha katika nchi yote:

“Ninyi na mstawi sana!

266:26 Dan 4:34; Es 8:17; Dan 2:44; Za 99:1-3; Yos 2:11; 3:10; Dan 12:7; Za 5:7; Dan 3:26; Yer 10:10; Ufu 1:18“Natoa amri hii, kwamba katika kila sehemu ya ufalme wangu, lazima watu wamwogope na kumheshimu Mungu wa Danieli.

“Kwa maana yeye ni Mungu aliye hai,

naye hudumu milele,

ufalme wake hautaangamizwa,

nao utawala wake hauna mwisho.

27Huponya na kuokoa;

hufanya ishara na maajabu

mbinguni na duniani.

Amemwokoa Danieli

kutoka nguvu za simba.”

286:28 2Nya 36:22; Dan 1:21; 5:1, 28Hivyo Danieli akastawi wakati wa utawala wa Dario, na utawala wa Koreshi Mwajemi.

New Russian Translation

Даниил 6:1-28

Заговор против Даниила

1Дарию было угодно поставить сто двадцать сатрапов, чтобы они управляли всем царством, 2а над ними – трех сановников, одним из которых был Даниил. Сатрапы должны были отчитываться перед ними, чтобы царю не было никакого ущерба. 3Скоро Даниил так отличился среди сатрапов и сановников своими исключительными качествами, что царь уже думал поставить его над всем царством. 4Тогда сановники и сатрапы стали искать предлог, чтобы обвинить Даниила в неверном ведении царских дел. Но это им не удалось, потому что он был верен, и за ним не находилось ни оплошности, ни вины. 5Наконец, эти люди сказали:

– Нам не найти предлога для обвинения этого Даниила, разве только в Законе его Бога.

6Тогда сановники и сатрапы пришли все вместе к царю и сказали:

– О царь Дарий, живи вечно! 7Все царские сановники, военачальники, сатрапы, советники и наместники согласны в том, что царю следует дать повеление и наложить запрет, чтобы всякого, кто станет в течение следующих тридцати дней молиться иному богу или человеку, кроме тебя, о царь, бросили бы в яму со львами. 8Итак, о царь, издай запрет и подпиши указ, чтобы его нельзя было изменить – по законам мидян и персов, которые не подлежат отмене. 9И царь Дарий подписал указ и запрет.

Даниил в яме со львами

10Когда Даниил узнал о том, что этот указ подписан, он пошел домой в верхнюю комнату, окна которой открывались в сторону Иерусалима. Три раза в день он опускался на колени и молился, славя своего Бога, как он делал это и прежде. 11А заговорщики пришли все вместе и нашли Даниила молящимся и просящим милости у Бога. 12Тогда они пошли к царю и говорили с ним о его царском запрете:

– Разве не ты подписал запрет, по которому того, кто в течение следующих тридцати дней будет молиться иному богу или человеку, кроме тебя, о царь, бросили бы в яму со львами?

Царь ответил:

– Это воистину так, по законам мидян и персов, которые не подлежат отмене.

13Тогда они сказали царю:

– Даниил, один из иудейских пленников, не слушается ни тебя, о царь, ни запрета, который ты подписал. Он по-прежнему молится три раза в день.

14Услышав это, царь был очень расстроен; он решил спасти Даниила и до захода солнца всячески пытался это сделать. 15Но заговорщики все вместе пришли к царю и сказали ему:

– Вспомни, о царь, что по закону мидян и персов никакой запрет или повеление, изданные царем, изменить нельзя.

16Тогда царь отдал приказ, и Даниила привели и бросили в яму со львами. Царь сказал Даниилу:

– Пусть твой Бог, Которому ты верно служишь, спасет тебя!

17Затем принесли камень и положили его на отверстие ямы, и царь запечатал его своей печатью и печатями приближенных, чтобы ничего из определенного о Данииле не изменилось. 18Потом царь вернулся во дворец и постился весь вечер; он отказался от развлечений, и сон бежал от него.

19При первом свете зари царь встал и поспешил к яме со львами. 20Приблизившись к яме, он позвал Даниила жалобным голосом:

– Даниил, слуга живого Бога, смог ли Бог, Которому ты верно служишь, избавить тебя от львов?

21Даниил ответил:

– О царь, живи вечно! 22Мой Бог послал ангела Своего, и замкнул пасти львов. Они не причинили мне вреда, потому что я оказался безвинным перед Ним. Да и пред тобой, о царь, я никогда не делал никакого зла.

23Царь был чрезвычайно рад за него и приказал вытащить Даниила из ямы. Когда Даниила вытащили из ямы, на нем не оказалось никаких ран, потому что он верил в своего Бога.

24По приказу царя обвинителей Даниила привели и бросили в яму со львами, вместе с их детьми и женами. И прежде чем они упали на дно ямы, львы схватили их и разгрызли все их кости.

25Тогда царь Дарий написал ко всем народам, племенам и людям всякого языка, живущим по всей земле:

«Да умножится ваше благополучие!

26Я издаю указ, чтобы в каждой части моего царства люди трепетали перед Богом Даниила и боялись Его.

Ведь Он – Бог живой,

вечно сущий;

царство Его не погибнет,

и власти Его не будет конца.

27Он избавляет и спасает;

творит знамения и чудеса

на небесах и на земле.

Он избавил Даниила

от силы львов».

28И Даниил преуспевал во времена царствования Дария и в царствование Кира Персидского6:28 Или: «Дария, то есть Кира Персидского».