Danieli 4 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Danieli 4:1-37

Ndoto Ya Nebukadneza Ya Mti

14:1 Dan 3:4; 6:25Mfalme Nebukadneza,

Kwa kabila za watu, mataifa na watu wa kila lugha, wanaoishi katika ulimwengu wote:

Mafanikio yawe kwenu sana!

24:2 Dan 3:26; Za 74:9Ni furaha yangu kuwaambia kuhusu ishara za miujiza na maajabu ambayo Mungu Aliye Juu Sana amenifanyia.

34:3 Za 105:27; Dan 6:25-27; 2:44Ishara zake ni kuu aje,

na maajabu yake yana nguvu aje!

Ufalme wake ni ufalme wa milele;

enzi yake hudumu kutoka kizazi hadi kizazi.

44:4 Za 30:6; Isa 32:9Mimi, Nebukadneza, nilikuwa nyumbani katika jumba langu la kifalme, nikiwa ninaishi kwa raha na hali ya kufanikiwa. 54:5 Dan 2:1, 28; Za 4:4; Mwa 41:8; Ay 3:26; Dan 5:6; 2:3Niliota ndoto iliyoniogopesha. Nilipokuwa nimelala kitandani mwangu, njozi na maono yaliyopita mawazoni mwangu vilinitisha. 64:6 Dan 2:2Hivyo nikaagiza kwamba watu wote wenye hekima wa Babeli waletwe mbele yangu kunifasiria ndoto yangu. 74:7 Mwa 41:8; Isa 44:25; Dan 2:2, 10Walipokuja waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi, niliwaambia ndoto yangu, lakini hawakuweza kunifasiria. 84:8 Mwa 41:38; Dan 5:11-14; 1:7Mwishoni, Danieli alikuja mbele yangu nikamweleza hiyo ndoto. (Danieli anaitwa Belteshaza, kwa jina la mungu wangu, nayo roho ya miungu mitakatifu inakaa ndani yake.)

94:9 Dan 2:48; 5:11-12Nilisema, “Belteshaza, mkuu wa waganga, ninajua kuwa roho ya miungu mitakatifu iko ndani yako, wala hakuna siri iliyo ngumu kwako. Hii ndiyo ndoto yangu, nifasirie. 104:10 Za 4:4; Eze 31:3-4Haya ndiyo maono niliyoona nilipokuwa nimelala kitandani mwangu: Nilitazama, na mbele yangu ulisimama mti katikati ya nchi. Ulikuwa mrefu sana. 114:11 Eze 19:11; 31:5Mti ule ulikua, ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga; ulionekana mpaka miisho ya dunia. 124:12 Eze 17:23; Mt 13:32; Mao 4:20Majani yake yalikuwa ya kupendeza, matunda yake yalikuwa mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Chini ya kivuli chake wanyama wa kondeni walipata hifadhi, na ndege wa angani waliishi katika matawi yake. Kila kiumbe kililishwa kutokana na mti huo.

134:13 Dan 8:13; Kum 33:2; Dan 7:1“Katika maono niliyoyaona nikiwa nimelala kitandani mwangu, nilitazama, na mbele yangu alikuwepo mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni. 144:14 Mt 3:10; Dan 5:20; Ay 24:20; Eze 31:2Akaita kwa sauti kubwa: ‘Kateni mti huu, myafyeke matawi yake; yaondoeni majani yake na kuyatawanya matunda yake. Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege waondoke kutoka matawi yake. 15Lakini acheni kisiki chake na mizizi, kikiwa kimefungwa kwa chuma na shaba, kibaki ardhini, kwenye majani ya kondeni.

“ ‘Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, naye aachwe aishi pamoja na wanyama miongoni mwa mimea ya dunia. 16Akili yake na ibadilishwe kutoka ile ya mwanadamu na apewe akili ya mnyama, mpaka nyakati saba zipite juu yake.

174:17 Za 83:18; Rum 13:1; Mt 23:12; Dan 11:21; Za 83:18; Yer 27:5-7; Za 103:19“ ‘Uamuzi huu umetangazwa na walinzi, hukumu imetangazwa na watakatifu, ili walio hai wajue kuwa Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme zote za wanadamu, naye humpa yeyote amtakaye na kumtawaza juu yake hata yeye aliye mnyonge sana miongoni mwa wanadamu.’

184:18 Mwa 41:8; Dan 5:8, 15; 1:20; Mwa 41:38; Dan 1:20“Hii ndiyo ndoto niliyoipata mimi, Mfalme Nebukadneza. Sasa Belteshaza, niambie maana yake, kwa maana hakuna hata mmoja wa wenye hekima katika ufalme wangu anayeweza kunifasiria. Bali wewe waweza, kwa sababu roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.”

Danieli Anafasiri Ndoto

194:19 Mwa 41:15; Dan 10:16-17; 2Sam 18:32; Mwa 41:8; 40:12; Dan 7:15, 28; 8:27Ndipo Danieli (aliyeitwa pia Belteshaza) alipofadhaika sana kwa muda, nayo mawazo yake yakamtia hofu. Basi mfalme akasema, “Belteshaza, usiruhusu ndoto wala maana yake kukutia hofu.”

Belteshaza akamjibu, “Bwana wangu, laiti ndoto hii ingehusu adui zako, na maana yake iwahusu watesi wako! 20Mti uliouona, uliokua ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga na kuonekana duniani kote, 214:21 Eze 31:6ukiwa na majani ya kupendeza na matunda mengi, ukitoa chakula kwa wote, na ukiwapa hifadhi wanyama wa kondeni na kuwa mahali pa viota katika matawi yake kwa ajili ya ndege wa angani. 224:22 2Sam 12:7; Yer 27:7; Dan 2:37-38; Ay 20:5; Dan 5:18-19Ee mfalme, wewe ndiwe ule mti! Umekuwa mkubwa na mwenye nguvu, nao ukuu wako umekua mpaka kufika juu angani, nayo mamlaka yako yameenea mpaka miisho ya dunia.

234:23 Dan 8:13; 5:21; Eze 31:3-4“Ee mfalme, wewe ulimwona mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni na kusema, ‘Ukateni mti na kuuangamiza, lakini kiacheni kisiki kikiwa kimefungwa kwa chuma na kwa shaba, kwenye majani ya kondeni, wakati mizizi yake inabaki ardhini. Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, mwacheni aishi kama wanyama pori mpaka nyakati saba zipite juu yake.’

244:24 Ay 40:12; Yer 40:2; Ay 34:19; Isa 46:10-11; Za 107:40“Ee mfalme, hii ndiyo tafsiri, na hii ni amri ya Aliye Juu Sana aliyoitoa dhidi ya bwana wangu mfalme: 254:25 Za 83:18; Yer 27:5; Dan 2:47; Ay 24:8; Dan 5:21; Za 83:18Wewe utafukuzwa mbali na wanadamu, nawe utaishi pamoja na wanyama pori; utakula manyasi kama ngʼombe, na kuloana kwa umande wa mbinguni. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye. 264:26 Dan 2:37; Lk 15:18Amri ya kuacha kisiki pamoja na mizizi yake inamaanisha kwamba ufalme wako utarejezwa kwako utakapokubali kwamba Mbingu ndizo zitawalazo. 274:27 Isa 55:6-7; Kum 24:13; 1Fal 21:29; Mdo 8:22; Za 41:3; Mit 28:13; Yer 29:7; Eze 18:22Kwa hiyo, ee mfalme, uwe radhi kupokea shauri langu: Acha dhambi zako kwa kutenda yaliyo haki, ukaache uovu wako, na uwe na huruma kwa walioonewa. Hivyo itawezekana baada ya hayo, mafanikio yako yakaendelea.”

Ndoto Inatimia

284:28 Hes 23:19; 2Sam 22:28; Dan 5:20Haya yote yalimpata Mfalme Nebukadneza. 29Miezi kumi na miwili baadaye, mfalme alipokuwa akitembea juu ya paa la jumba la kifalme la Babeli, 304:30 Mit 16:18; Isa 37:24-25; Hab 1:11; Isa 13:19; 10:13; Dan 5:20alisema, “Je, huu si Babeli mji mkuu nilioujenga kama makao ya kifalme, kwa uwezo wangu mkubwa, na kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?”

314:31 2Sam 22:28; Dan 5:20Maneno hayo yalikuwa bado katika midomo yake wakati sauti ilipokuja kutoka mbinguni, ikisema, “Mfalme Nebukadneza, hiki ndicho kilichoamriwa kwa ajili yako: Mamlaka yako ya ufalme yameondolewa kutoka kwako. 324:32 Ay 9:12Utafukuzwa mbali na wanadamu, ukaishi pamoja na wanyama pori, na utakula manyasi kama ngʼombe. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.”

334:33 Ay 20:5; Dan 5:20-21; Ay 24:8Papo hapo yale yaliyokuwa yamesemwa kuhusu Nebukadneza yakatimia. Alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ngʼombe. Mwili wake uliloweshwa kwa umande wa mbinguni mpaka nywele zake zikakua kama manyoya ya tai na kucha zake kama makucha ya ndege.

344:34 Dan 12:7; Ufu 4:10; Lk 1:33; Ay 12:20; Isa 37:16; Dan 6:26; Za 145:13; Dan 2:44; 5:21Mwisho wa huo wakati, mimi Nebukadneza, niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, nazo fahamu zangu zikanirudia. Ndipo nikamsifu Yeye Aliye Juu Sana, nikamheshimu na kumhimidi yeye aishiye milele.

Utawala wake ni utawala wa milele;

ufalme wake hudumu kutoka kizazi na kizazi.

354:35 Isa 40:17; Kum 21:8; Yon 1:14; Ay 9:4; Rum 9:20; Isa 14:24; 45:9; Za 115:3; 136:6; Kum 32:39; Dan 5:21Mataifa yote ya dunia

yanahesabiwa kuwa si kitu.

Hufanya kama atakavyo

kwa majeshi ya mbinguni,

na kwa mataifa ya dunia.

Hakuna anayeweza kuuzuia mkono wake

au kumwambia, “Umefanya nini wewe?”

364:36 Mit 22:4; Dan 5:18; Ay 42:12Wakati huo huo fahamu zangu ziliponirudia, nikarudishiwa heshima yangu na fahari yangu kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na wakuu wangu walikuja kunitafuta, nami nikarudishwa kwenye kiti changu cha ufalme hata nikawa mkuu kuliko mwanzoni. 374:37 Kum 32:4; Za 33:4-5; Kut 18:11; Mt 23:12; Kut 15:2; Za 18:27; 34:3; Ay 31:4; 40:11-12; Isa 13:11; Dan 5:23; Za 119:21Basi mimi, Nebukadneza, humhimidi, na humtukuza na kumsifu Mfalme wa mbinguni, kwa sababu kila kitu afanyacho ni haki, na njia zake zote ni adili. Nao waendao kwa kiburi anaweza kuwashusha.

Священное Писание

Даниял 4:1-34

1Я, Навуходоносор, был дома, у себя во дворце, в покое и изобилии. 2Но мне приснился сон, который испугал меня; образы и видения, что пришли ко мне, когда я лежал в своей постели, устрашили меня. 3И я повелел привести ко мне всех мудрецов Вавилона, чтобы они истолковали мне этот сон. 4Когда чародеи, волшебники, астрологи и колдуны пришли, я рассказал им свой сон, но они не смогли мне его истолковать. 5Наконец, ко мне пришёл Даниял, и я рассказал сон ему. (Его зовут Валтасисар, в честь моего бога, и дух святых богов4:5 Или: «святой, божественный дух»; также в ст. 6 и 15. пребывает в нём.)

6Я сказал:

– Валтасисар, глава чародеев, я знаю, что в тебе пребывает дух святых богов, и нет такой тайны, разгадка которой тебя бы затруднила. Выслушай мой сон; истолкуй его мне. 7Вот что мне приснилось, когда я лежал в своей постели: я посмотрел и увидел дерево огромной высоты, стоявшее посреди земли. 8Дерево выросло большим и сильным, вершиной оно касалось небес; его было видно до самых краёв земли. 9Листья его были прекрасны, плоды – изобильны, и на нём была пища для всех. Под ним находили пристанище полевые звери, а небесные птицы жили на его ветвях; от него кормилось всякое живое существо.

10В моём сне, когда я лежал в постели, я видел, как ангел, святой страж, сошёл с небес. 11Он громко воскликнул: «Срубите дерево и отсеките его ветви; оборвите его листья и разбросайте плоды. Пусть звери удалятся из-под него и птицы улетят с его ветвей. 12Но пень с корнями, скованный железом и бронзой, пусть останется в земле среди полевой травы. Пусть орошает его небесная роса, пусть он живёт со зверями среди земных растений. 13Пусть отойдёт от него человеческий разум и дастся ему разум звериный, пока не пройдёт семь лет4:13 Букв.: «семь времён»; также в ст. 20, 22 и 29.. 14Решение возвещено по приговору стражей, постановление дано по воле ангелов, чтобы познали живущие, что Высочайший властвует над царствами смертных, отдаёт их тому, кому пожелает, и ставит над ними даже последних между людьми».

15Таков сон, который приснился мне, царю Навуходоносору. Итак, Валтасисар, скажи мне его толкование, потому что никто из мудрецов моего царства не может мне его истолковать. Но ты можешь, потому что в тебе пребывает дух святых богов.

Даниял толкует сон

16Тогда Даниял (называемый также Валтасисаром) пришёл на время в крайнее замешательство и устрашился собственных мыслей.

И царь сказал:

– Валтасисар, пусть ни сон, ни его значение не пугают тебя.

Валтасисар ответил:

– Мой господин, твоим бы врагам этот сон, и твоим бы неприятелям его значение! 17Дерево, которое в твоём видении выросло большим и сильным, касалось вершиной небес и было видно всей земле, 18с прекрасными листьями и изобильными плодами, всех кормящее, дающее пристанище полевым зверям и гнездовья в своих ветвях небесным птицам, – 19это ты, о царь! Ты стал великим и сильным; твоё величие возросло и достигло небес, а владычество твоё простирается до краёв земли.

20Ты, царь, видел святого стража, спускающегося с небес и говорящего: «Срубите дерево и погубите его, но оставьте пень, сковав его железом и бронзой, среди полевой травы, и корни его пусть останутся в земле. Пусть его орошает небесная роса; пусть он живёт как дикие звери, пока не пройдёт семь лет».

21Вот толкование, о царь, и вот решение Высочайшего против господина моего царя: 22тебя прогонят от людей, и ты будешь жить с дикими зверями. Ты будешь есть траву, подобно волу, и тебя будет омывать небесная роса. Семь лет пройдёт, прежде чем ты признаешь, что Высочайший властвует над царствами смертных и отдаёт их, кому пожелает.

23Повеление оставить пень с корнями означает, что твоё царство будет возвращено тебе, когда ты признаешь, что Небеса правят всем. 24Поэтому пусть будет тебе угодно, о царь, принять мой совет: загладь свои грехи, творя правду, и свои беззакония – милосердием к притеснённым. Может быть, тогда твоё благоденствие и продолжится.

Исполнение сна

25Всё это и произошло с царём Навуходоносором. 26Двенадцать месяцев спустя, когда царь гулял по крыше4:26 Во времена Данияла крыши домов строились плоскими и использовались для различных целей. царского дворца в Вавилоне, 27он сказал:

– Разве не я воздвиг этот великий Вавилон, царскую столицу, своей могучей силой и во славу своего величия?

28Эти слова ещё были у него на устах, когда с небес раздался голос:

– Вот что определяется о тебе, царь Навуходоносор: твоя царская власть отнята у тебя. 29Тебя прогонят от людей, и ты будешь жить с дикими зверями и есть траву, подобно волу. Семь лет пройдёт, прежде чем ты признаешь, что Высочайший властвует над царствами людскими и отдаёт их, кому пожелает.

30И тотчас же сказанное о Навуходоносоре исполнилось. Его прогнали от людей, и он ел траву, подобно волу4:30 Навуходоносор страдал боантропией (формой ликантропии) – душевной болезнью, при которой человек воображает себя волом.. Его тело омывалось небесной росой до тех пор, пока его волосы не выросли длинными, как перья орла, а ногти не стали точно птичьи когти.

31В конце этого времени я, Навуходоносор, поднял взор к небу, и мой разум вернулся ко мне. Тогда я благословил Высочайшего; я восхвалил и восславил Его, живущего вечно.

Владычество Его – вечное;

царство Его – из поколения в поколение.

32Все обитатели земли

бессильны пред Ним.

Он поступает как хочет

с небесными силами

и обитателями земли.

Никто не властен удержать Его руку

или сказать Ему: «Что Ты сделал?»

33В то же время, когда вернулся ко мне мой разум, ко мне вернулись и царская слава, и честь, и величие. Мои советники и мои приближённые возвратились ко мне, вновь сделали меня царём, и я стал ещё более велик, чем прежде. 34Теперь я, Навуходоносор, хвалю, превозношу и славлю Царя небес, потому что всё, что Он делает, есть истина, и все Его пути праведны. А тех, кто ходит в гордыне, Он властен смирить.