Danieli 1 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Danieli 1:1-21

Mafunzo Ya Danieli Huko Babeli

11:1 Yer 28:4; 35:11; 46:2; 2Nya 36:6; 2Fal 24:1Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja akazingira Yerusalemu kwa jeshi. 21:2 2Nya 36:7; Yer 27:19; Zek 5:5-11; 2Fal 24:13Bwana akamtia Yehoyakimu mfalme wa Yuda mkononi mwa Nebukadneza, pamoja na baadhi ya vyombo kutoka Hekalu la Mungu. Hivi akavichukua hadi kwenye hekalu la mungu wake huko Shinari, naye akaviweka nyumbani ya hazina ya mungu wake.

31:3 2Fal 20:18; Isa 39:7; Amu 8:18; Mdo 7:20-22; Mwa 39:6; Ezr 4:7Kisha mfalme akamwagiza Ashpenazi, mkuu wa maafisa wa mfalme, kumletea baadhi ya Waisraeli kutoka jamaa ya mfalme na kutoka jamaa kuu, 4vijana wanaume wasio na dosari mwilini, wenye sura nzuri, wanaoonyesha kipaji katika kila aina ya elimu, wenye ufahamu mzuri, wepesi kuelewa, na waliofuzu kuhudumu katika jumba la kifalme. Alikuwa awafundishe lugha na maandiko ya Wakaldayo. 51:5 Es 2:5-6, 9Mfalme akawaagizia kiasi cha chakula na divai ya kila siku kutoka meza ya mfalme. Walikuwa wafundishwe kwa miaka mitatu, na hatimaye waingie kwenye utumishi wa mfalme.

61:6 Eze 14:14; Dan 2:17-25Baadhi ya hawa vijana walitoka Yuda: nao ni Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria. 71:7 Dan 5:12; 10:1; Isa 39:7; Dan 3:12; 2:49; 2:26Mkuu wa maafisa akawapa majina mapya: Danieli akamwita Belteshaza, Hanania akamwita Shadraki, Mishaeli akamwita Meshaki, na Azaria akamwita Abednego.

81:8 Mwa 39:21; Mit 16:7; 1Fal 8:50; Eze 4:13-14Lakini Danieli alikusudia kuwa hatajitia unajisi kwa chakula cha mfalme na divai, naye akamwomba mkuu wa maafisa ruhusa ili asijinajisi kwa njia hii. 91:9 Mwa 39:21; Mit 16:7; 1Fal 8:50Basi Mungu alikuwa amemfanya huyo mkuu wa maafisa kuonyesha upendeleo na huruma kwa Danieli, 101:10 Ufu 2:10lakini huyo mkuu wa maafisa akamwambia Danieli, “Ninamwogopa bwana wangu mfalme, aliyeagizia chakula na kinywaji chenu. Kwa nini aone nyuso zenu zikiwa mbaya kuliko za vijana wengine wa rika lenu? Mfalme atakata kichwa changu kwa sababu yenu.”

11Ndipo Danieli akamwambia mlinzi aliyeteuliwa na huyo mkuu wa maafisa kuwasimamia Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria, 121:12 Ufu 2:10“Tafadhali wajaribu watumishi wako kwa siku kumi. Usitupe chochote ila nafaka na mboga za majani1:12 Nafaka na mboga za majani, yaani zeroimu kwa Kiebrania, ina maana ya aina za ngano na shayiri, na jamii ya kunde kama maharagwe, dengu, choroko, n.k. tule, na maji ya kunywa. 13Baadaye ulinganishe sura zetu na vijana wanaokula chakula cha mfalme, ukawatendee watumishi wako kulingana na unachoona.” 141:14 Mhu 2:26; Yak 1:5; Dan 2:19, 30; 7:1; 8:1Basi akakubali jambo hili, akawajaribu kwa siku kumi.

151:15 Kut 23:25Mwisho wa zile siku kumi, walionekana kuwa na afya na kunawiri zaidi kuliko yeyote kati ya wale vijana waliokula chakula cha mfalme. 16Hivyo mlinzi wao akaondoa chakula chao na divai yao waliopangiwa kula na kunywa, akawapa nafaka na mboga za majani badala yake.

171:17 1Fal 3:12; Ay 12:13; Mhu 2:26; Dan 2:23; Kol 1:9; Dan 5:11; Mdo 7:22Mungu akawapa hawa vijana wanne maarifa na ufahamu wa kila aina ya maandiko na elimu. Naye Danieli aliweza kufahamu maono na aina zote za ndoto.

18Mwisho wa muda uliowekwa na mfalme kuwaingiza kwake, mkuu wa maafisa akawaleta mbele ya Mfalme Nebukadneza. 191:19 Mwa 41:46Mfalme akazungumza nao, akaona hakuna aliyelingana na Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria. Hivyo wakaingia katika utumishi wa mfalme. 201:20 Es 2:15; Eze 28:3; Mwa 41:8; 1Fal 4:30; Dan 4:18; 2:13; 6:3Katika kila jambo la hekima na ufahamu kuhusu kile mfalme alichowauliza, aliwaona bora mara kumi zaidi kuliko waganga na wasihiri wote katika ufalme wake wote.

211:21 Dan 6:28; 2Nya 36:22; Dan 10:1Naye Danieli akabaki huko mpaka mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi.

Persian Contemporary Bible

دانيال 1:1‏-21

دانيال در دربار نبوكدنصر

1‏-2در سال سوم سلطنت يهوياقيم پادشاه يهودا، نبوكدنصر پادشاه بابل با سپاهيان خود به اورشليم حمله كرد و آن را محاصره نمود. خداوند اجازه داد كه او يهوياقيم را به اسارت گيرد و ظروف مقدس خانهٔ خدا را غارت كند. او كسانی را كه اسير كرده بود با خود به معبد خدای خويش در بابل برد و ظروف را در خزانهٔ معبد گذاشت.

3‏-4نبوكدنصر به وزير دربار خود اشفناز دستور داد از ميان شاهزادگان و اشراف‌زادگان يهودی اسير شده، چند تن را انتخاب كند و زبان و علوم بابلی را به آنان ياد دهد. اين افراد می‌بايست جوانانی باشند بدون نقص عضو، خوش‌قيافه، با استعداد، تيزهوش و دانا، تا شايستگی خدمت در دربار را داشته باشند. 5پادشاه مقرر داشت كه در طول سه سال تعليم و تربيت ايشان، هر روز از خوراكی كه او می‌خورد و شرابی كه او می‌نوشيد به آنان بدهند و پس از پايان سه سال، آنها را به خدمت او بياورند.

6در بين افرادی كه انتخاب شدند، چهار جوان از قبيلهٔ يهودا به اسامی دانيال، حننيا، ميشائيل و عزريا بودند، 7كه وزير دربار نامهای جديد بابلی به آنها داد. او دانيال را بلطشصر، حننيا را شدرک، ميشائيل را ميشک و عزريا را عبدنغو ناميد.

8ولی دانيال تصميم گرفت از خوراک و شرابی كه از طرف پادشاه به ايشان داده می‌شد نخورد، زيرا باعث می‌گرديد او شرعاً نجس شود. پس، از وزير دربار خواهش كرد غذای ديگری به او دهد. 9هر چند خدا دانيال را در نظر وزير دربار عزت و احترام بخشيده بود، 10ولی او از تصميم دانيال ترسيد و گفت: «وقتی پادشاه كه خوراک شما را تعيين كرده است، ببيند كه شما از ساير جوانان هم سن خود لاغرتر و رنگ‌پريده‌تر هستيد ممكن است دستور دهد سرم را از تن جدا كنند!»

11دانيال اين موضوع را با مأموری كه وزير دربار برای رسيدگی به وضع دانيال، حننيا، ميشائيل و عزريا گمارده بود در ميان گذاشت 12و پيشنهاد كرد برای امتحان، ده روز فقط حبوبات و آب به آنها بدهد، 13و بعد از اين مدت آنان را با جوانان ديگر كه از خوراک پادشاه می‌خورند مقايسه كند و آنگاه در مورد خوراک آنها نظر دهد. 14آن مأمور موافقت كرد و به مدت ده روز ايشان را امتحان نمود.

15وقتی مهلت مقرر به سر رسيد، دانيال و سه رفيق او از جوانان ديگر كه از خوراک پادشاه می‌خوردند سالمتر و قويتر بودند. 16پس مأمور وزير دربار از آن به بعد به جای خوراک و شراب تعيين شده، به آنان حبوبات می‌داد.

17خداوند به اين چهار جوان چنان درک و فهمی بخشيد كه ايشان توانستند تمام علوم و حكمت آن زمان را بياموزند. از اين گذشته او به دانيال توانايی تعبير خوابها و رؤياها را نيز عطا فرمود.

18وقتی مهلتی كه پادشاه برای تعليم و تربيت آن جوانان تعيين كرده بود به پايان رسيد، وزير دربار ايشان را به حضور پادشاه آورد. 19نبوكدنصر با هر يک از آنها گفتگو كرد. دانيال، حننيا، ميشائيل و عزريا از بقيه بهتر بودند؛ پس پادشاه ايشان را به خدمت گماشت. 20پادشاه هر مسئله‌ای را كه مطرح می‌كرد، حكمت و دانايی اين چهار جوان را در پاسخ دادن به آن، ده مرتبه بيش از حكمت تمام جادوگران و منجمان آن ديار می‌يافت.

21دانيال تا هنگام فتح بابل به دست کوروش پادشاه، همچنان در دربار خدمت می‌كرد.