Ayubu 41 – NEN & LCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 41:1-34

141:1 Za 104:26; Isa 27:1“Je, waweza kumvua Lewiathani41:1 Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. kwa ndoano ya samaki,

au kufunga ulimi wake kwa kamba?

241:2 Isa 37:29; Eze 19:4; Isa 30:28Waweza kupitisha kamba puani mwake,

au kutoboa taya lake kwa kulabu?

341:3 1Fal 20:31Je, ataendelea kukuomba umhurumie?

Atasema nawe maneno ya upole?

441:4 Kut 21:6Je, atafanya agano nawe ili umtwae

awe mtumishi wako maisha yake yote?

5Je, utamfuga na kumfanya rafiki kama ndege,

au kumfunga kamba kwa ajili ya wasichana wako?

6Je, wafanyabiashara watabadilishana bidhaa kwa ajili yake?

Watamgawanya miongoni mwa wafanyao biashara?

741:7 Ay 40:24Je, waweza kuijaza ngozi yake kwa vyuma vyenye ncha kali,

au kichwa chake kwa mkuki wa kuvulia samaki?

841:8 Ay 3:8Kama ukiweka mkono wako juu yake,

utavikumbuka hivyo vita na kamwe hutarudia tena!

941:9 Ay 40:16Tumaini lolote la kumtiisha ni kujidanganya;

kule kumwona tu kunamwangusha mtu chini.

1041:10 Ay 3:8; 2Nya 20:6; Ufu 6:17; 1Kor 10:22Hakuna yeyote aliye mkali athubutuye kumchokoza.

Ni nani basi awezaye kusimama dhidi yangu?

1141:11 Ay 34:33; Yos 3:11; Rum 11:35; Mdo 4:24; Mwa 14:19; Kum 10:14Ni nani mwenye madai dhidi yangu ili nipate kumlipa?

Kila kitu kilicho chini ya mbingu ni mali yangu.

1241:12 Ay 40:18; 39:11“Sitashindwa kunena juu ya maungo yake,

nguvu zake na umbo lake zuri.

1341:13 Ay 30:11; 39:10Ni nani awezaye kumvua gamba lake la nje?

Ni nani awezaye kumsogelea na lijamu?

1441:14 Za 22:13Nani athubutuye kuufungua mlango wa kinywa chake,

kilichozungukwa na meno yake ya kutisha pande zote?

1541:15 Ay 40:17Mgongo wake una safu za ngao

zilizoshikamanishwa imara pamoja;

16kila moja iko karibu sana na mwenzake,

wala hakuna hewa iwezayo kupita kati yake.

17Zimeunganishwa imara kila moja na nyingine;

zimengʼangʼaniana pamoja wala haziwezi kutenganishwa.

1841:18 Ay 40:17Akipiga chafya mwanga humetameta;

macho yake ni kama mionzi ya mapambazuko.

1941:19 Dan 10:6Mienge iwakayo humiminika kutoka kinywani mwake;

cheche za moto huruka nje.

2041:20 Za 18:8Moshi hufuka kutoka puani mwake,

kama kutoka kwenye chungu kinachotokota kwa moto wa matete.

2141:21 Ay 4:9; Isa 11:4; 10:17; Yer 4:4Pumzi yake huwasha makaa ya mawe,

nayo miali ya moto huruka kutoka kinywani mwake.

2241:22 Ay 39:11Nguvu hukaa katika shingo yake;

utisho hutangulia mbele yake.

23Mikunjo ya nyama yake imeshikamana imara pamoja;

iko imara na haiwezi kuondolewa.

2441:24 Mt 18:6Kifua chake ni kigumu kama mwamba,

kigumu kama jiwe la chini la kusagia.

2541:25 Ay 39:20; 3:8Ainukapo, mashujaa wanaogopa;

hurudi nyuma mbele yake anapokwenda kwa kishindo.

2641:26 Ay 8:18; 40:24Upanga unaomfikia haumdhuru,

wala mkuki au mshale wala fumo.

2741:27 Ay 41:29Chuma hukiona kama unyasi,

na shaba kama mti uliooza.

2841:28 Za 91:5Mishale haimfanyi yeye akimbie;

mawe ya kombeo kwake ni kama makapi.

2941:29 Ay 41:27; 5:22Rungu kwake huwa kama kipande cha jani kavu;

hucheka sauti za kugongana kwa mkuki.

3041:30 Isa 28:27; Amo 1:3; Isa 41:15Sehemu zake za chini kwenye tumbo

zina menomeno na mapengo kama vigae vya chungu,

zikiacha mburuzo kwenye matope

kama chombo chenye meno cha kupuria.

3141:31 1Sam 2:14; Eze 32:2Huvisukasuka vilindi kama sufuria kubwa ichemkayo,

na kukoroga bahari kama chungu cha marhamu.

32Anapopita nyuma yake huacha mkondo unaometameta;

mtu angedhani vilindi vilikuwa na mvi.

3341:33 Ay 40:19Hakuna chochote duniani kinacholingana naye:

yeye ni kiumbe kisicho na woga.

3441:34 Ay 28:8Yeye huwatazama chini wale wote wenye kujivuna;

yeye ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.”

Luganda Contemporary Bible

Yobu 41:1-34

Amaanyi ga Lukwata

141:1 Yob 3:8; Zab 104:26; Is 27:1“Oyinza okusikayo lukwata n’eddobo,

oba okusiba olulimi lwayo n’omuguwa?

241:2 Is 37:29Oyinza okuyingiza omuguwa mu nnyindo zaayo,

oba okuwummula oluba lwayo n’eddobo?

3Eneekwegayirira ng’ekusaba nti, ogikwatirwe ekisa?

Eneeyogera naawe mu bigambo ebigonvu?

441:4 Kuv 21:6Eneekola naawe endagaano

ogitwale ekuweereze obulamu bwayo bwonna?

5Onoozannya nayo nga bw’ozannya n’akanyonyi,

oba okugisiba n’olukoba ng’agisibira bawala bo?

6Abasuubuzi banaagiramuza,

oba banaagibala ng’ekyamaguzi?

7Oyinza okuvuba eddiba lyayo n’olijjuza amalobo,

oba omutwe okugufumita n’amafumu agafumita ebyennyanja?

8Bw’oligissaako engalo zo ekirivaamu tolikyerabira,

toliddayo kukikola!

9Essuubi lyonna ery’okugiwangula ffu,

okugirabako obulabi kimalamu amaanyi.

1041:10 a Yob 3:8 b Yer 50:44Teri n’omu mukambwe nnyo asobola kugyaŋŋanga.

Kale, ani oyo asobola okuyimirira mu maaso gange?

1141:11 a Bar 11:35 b Kuv 19:5; Ma 10:14; Zab 24:1; 50:12; 1Ko 10:26Ani alina kye yali ampoze musasule?

Byonna ebiri wansi w’eggulu byange.

12“Ku bikwata ku mikono n’ebigere byayo siisirike,

amaanyi gaayo n’ekikula kyayo bya ssimbo.

13Ani ayinza okugiggyako eddiba lyayo ery’oku ngulu?

Ani ayinza okuyuza ekizibaawo kyayo eky’amaliba abiri?

14Ani ayinza okuggula enzigi z’akamwa kaayo?

Amannyo gaayo geetooloddwa entiisa.

15Omugongo gwe gujjudde enkalala z’engabo

ezisibiddwa okumukumu.

16Zonna zisibaganye nga tewali mpewo weeyita.

17Zakwatagana,

ziri ku zinnaazo era tezisobola kwawulibwa.

1841:18 Yob 3:9Bw’eyasimula, ebimyanso bijja,

n’amaaso gaayo gali nga enjuba ng’egwa.

19Mu kamwa kaayo muvaamu ebiriro ebyaka.

Kavaamu ensasi ez’omuliro.

20Mu nnyindo zaayo muvaamu omukka

ng’ogwentamu eyeesera eri ku muliro ogw’emmuli ezaaka.

2141:21 a Is 40:7 b Zab 18:8Omukka oguva mu nnyindo zaayo

gukoleeza Amanda.

22Mu nsingo yaayo mulimu amaanyi,

n’entiisa eri mu maaso gaayo.

23Emiwula gy’ennyama yaayo gyegasse;

gikutte nnyo era tegisobola kwenyeenya.

24Ekifuba kyayo kigumu ng’olwazi,

kigumu ng’olubengo.

25Bwesituka ab’amaanyi batya.

Badduka olw’okubwatuka kwayo.

26Ekitala bwe kigituukako tekirina kye kiyinza kumukolako,

oba ffumu, oba omuwunda wadde akasaale akasongovu.

27Emenya ebyuma gy’obeera nti ekutulakutula bisasiro,

ebyo ebikomo ebimenyaamenya ng’emiti emivundu.

28Akasaale tekayinza kugiddusa,

amayinja ag’envumuulo gaba nga biti gy’eri.

29Embukuuli nayo eri ng’ebisusunku gy’eri.

Esekerera amafumu agakasukibwa.

3041:30 Is 41:15Amagalagamba g’oku lubuto lwayo gali ng’engyo z’ensuwa.

Bwe yeekulula mu bitosi ebeera ng’ekyuma ekiwuula.

31Ereetera obuziba bw’ennyanja okuba ng’entamu eyeesera.

Ennyanja n’eba ng’entamu y’omuzigo ogufumbibwa.

32Mu mazzi mw’eyise, erekamu ekkubo ery’amayengo ameeru;

ne kireeta n’ekirowoozo nti obuziba bulina envi.

3341:33 Yob 40:19Tewali kigyenkana ku nsi;

ekitonde ekitatya.

3441:34 Yob 28:8Enyooma buli kisolo.

Ye kabaka w’abo bonna ab’amalala.”