Ayubu 40 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 40:1-24

140:1 Ay 5:8; 13:3; 13:3; 9:15; 9:3; 11:8; 33:13Bwana akamwambia Ayubu:

240:2 Rum 9:20“Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha?

Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”

3Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:

440:4 Ay 42:6; Amu 18:19; Ay 29:9; Ezr 9:6; Zek 2:13“Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe?

Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.

540:5 Ay 9:3; 9:15Nimesema mara moja, lakini sina jibu;

naam, nimesema mara mbili,

lakini sitasema tena.”

640:6 Kut 14:21; Ay 38:1Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:

740:7 Ay 38:3“Jikaze kama mwanaume;

nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.

840:8 Ay 15:25; Rum 3:3; Za 51:4“Je, utabatilisha hukumu yangu?

Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?

940:9 2Nya 32:8; Za 98:1; Kut 20:19; Za 29:3-4Je, una mkono kama wa Mungu,

nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?

1040:10 Za 29:1-2; 45:3; 93:1; 96:6; 104:1; 145:5Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari,

nawe uvae heshima na enzi.

1140:11 Nah 1:6; Sef 1:18; Za 18:27; Isa 32:19Fungulia ukali wa ghadhabu yako,

mtafute kila mwenye kiburi umshushe,

1240:12 Za 52:5; 1Pet 5:5; Dan 5:20; Mal 4:3; Lk 18:14mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze,

waponde waovu mahali wasimamapo.

1340:13 Hes 16:31-34; Ay 4:9Wazike wote mavumbini pamoja;

wafunge nyuso zao kaburini.

1440:14 Kut 15:6; Isa 63:5Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia

kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.

1540:15 Ay 9:9; Isa 11:7; 65:25“Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi,40:15 Huyu alikuwa mnyama wa nyakati za zamani ambaye hajulikani hasa ni gani.

niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe,

anayekula majani kama ngʼombe.

1640:16 Ay 39:11; 41:9Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake,

uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!

1740:17 Ay 41:15Mkia wake hutikisika kama mwerezi;

mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.

1840:18 Ay 41:12; Isa 11:4; 49:2Mifupa yake ni bomba za shaba,

maungo yake ni kama fito za chuma.

1940:19 Za 40:5; Isa 27:1Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu,

lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.

2040:20 Za 104:14, 26Vilima humletea yeye mazao yake,

nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.

2140:21 Mwa 41:2; Za 68:30; Isa 35:7; Ay 8:11Hulala chini ya mimea ya yungiyungi,

katika maficho ya matete kwenye matope.

2240:22 Za 1:3; Isa 44:4Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake;

miti mirefu karibu na kijito humzunguka.

23Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu;

yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.

2440:24 2Fal 19:28; Isa 37:29Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho,

au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?

Japanese Contemporary Bible

ヨブ 記 40:1-24

40

1主はさらに続けました。

2「おまえはまだ全能者と口論したいか。

それとも降参するか。

神を批判する者よ、答えてみよ。」

3ヨブは主に答えました。

4「私は何の値打ちもない者です。

どうして答えることができましょう。

口に手をあてて黙り込むだけです。

5私は語りすぎました。」

6主は再びつむじ風の中から、ヨブに語りかけました。

7「さあ、男らしく立ち上がり、

戦いに備えて身を引き締めなさい。

そして、わたしの質問に答えるのだ。

8おまえは自分の正しさを主張しようとして、

わたしのさばきを信用せず、

わたしを罪人呼ばわりするのか。

9おまえは神のように強く、

神のような大声で雷鳴をとどろかせることができるか。

10そうだとしたら、

おまえの尊厳と威光を身にまとえばよい。

11おまえの怒りを吐き出し、

思い上がった者の上にまき散らすのだ。

12横柄な者をひと目でへりくだらせ、

悪者をその場で踏みにじれ。

13彼らをちりの中に沈め、死者の牢獄につなげ。

14それができたら、自分の力で自分を救えると

おまえが言っていることを正しいと認めよう。

15河馬を見よ。

わたしはおまえを造ったように、河馬も造った。

河馬は牛のように草を食べる。

16がっしりした腰と腹の筋肉を見よ。

17尾は杉のようにたれ、

ももの筋はしっかり編み合わせてある。

18背骨は真鍮の管のようにまっすぐ伸び、

肋骨は鉄の棒のようだ。

19河馬は、わたしが造ったものの中でも

飛びきり凶暴だ。

河馬を手なずけたいと思ったら、鋭い剣が必要だ。

20山々は最高の食べ物をそれに差し出す。

河馬は山々の野獣を餌として食べる。

21河馬は葦の茂みに隠れた蓮の下に横たわる。

22蓮がこれを覆い、川のほとりの柳がこれを囲む。

23河馬は川が荒れ狂っても騒がず、

水嵩の増したヨルダン川が押しかぶさっても動じない。

24だれも、不意に襲って捕まえることができない。

鼻に輪をつけ、引きずることもできない。