140:1 Ay 5:8; 13:3; 13:3; 9:15; 9:3; 11:8; 33:13Bwana akamwambia Ayubu:
240:2 Rum 9:20“Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha?
Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”
3Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
440:4 Ay 42:6; Amu 18:19; Ay 29:9; Ezr 9:6; Zek 2:13“Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe?
Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.
540:5 Ay 9:3; 9:15Nimesema mara moja, lakini sina jibu;
naam, nimesema mara mbili,
lakini sitasema tena.”
640:6 Kut 14:21; Ay 38:1Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
740:7 Ay 38:3“Jikaze kama mwanaume;
nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
840:8 Ay 15:25; Rum 3:3; Za 51:4“Je, utabatilisha hukumu yangu?
Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
940:9 2Nya 32:8; Za 98:1; Kut 20:19; Za 29:3-4Je, una mkono kama wa Mungu,
nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
1040:10 Za 29:1-2; 45:3; 93:1; 96:6; 104:1; 145:5Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari,
nawe uvae heshima na enzi.
1140:11 Nah 1:6; Sef 1:18; Za 18:27; Isa 32:19Fungulia ukali wa ghadhabu yako,
mtafute kila mwenye kiburi umshushe,
1240:12 Za 52:5; 1Pet 5:5; Dan 5:20; Mal 4:3; Lk 18:14mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze,
waponde waovu mahali wasimamapo.
1340:13 Hes 16:31-34; Ay 4:9Wazike wote mavumbini pamoja;
wafunge nyuso zao kaburini.
1440:14 Kut 15:6; Isa 63:5Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia
kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.
1540:15 Ay 9:9; Isa 11:7; 65:25“Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi,40:15 Huyu alikuwa mnyama wa nyakati za zamani ambaye hajulikani hasa ni gani.
niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe,
anayekula majani kama ngʼombe.
1640:16 Ay 39:11; 41:9Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake,
uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!
1740:17 Ay 41:15Mkia wake hutikisika kama mwerezi;
mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
1840:18 Ay 41:12; Isa 11:4; 49:2Mifupa yake ni bomba za shaba,
maungo yake ni kama fito za chuma.
1940:19 Za 40:5; Isa 27:1Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu,
lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.
2040:20 Za 104:14, 26Vilima humletea yeye mazao yake,
nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.
2140:21 Mwa 41:2; Za 68:30; Isa 35:7; Ay 8:11Hulala chini ya mimea ya yungiyungi,
katika maficho ya matete kwenye matope.
2240:22 Za 1:3; Isa 44:4Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake;
miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
23Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu;
yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.
2440:24 2Fal 19:28; Isa 37:29Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho,
au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?
Première réponse de Job à Dieu
1L’Eternel demanda alors à Job :
2Celui qui intente un procès ╵au Tout-Puissant ╵a-t-il à critiquer ?
Celui qui conteste avec Dieu ╵a-t-il quelque chose à répondre ?
3Job répondit alors à l’Eternel :
4Je suis trop peu de chose, ╵que te répliquerais-je ?
Je mets donc la main sur la bouche.
5J’ai parlé une fois, ╵je ne répondrai plus.
Et j’ai même insisté ╵une deuxième fois, ╵je n’ajouterai rien.
Second discours de Dieu
Dieu évoque l’hippopotame et le crocodile
6Alors, du sein de la tempête, ╵l’Eternel dit à Job :
7Mets ta ceinture comme un brave,
je vais te poser des questions ╵et tu m’enseigneras.
8Veux-tu vraiment prétendre ╵que je ne suis pas juste ?
Veux-tu me condamner ╵pour te justifier ?
9As-tu un bras ╵tel que celui de Dieu ?
Ta voix peut-elle ╵égaler mon tonnerre ?
10Va te parer ╵d’honneur et de grandeur
et revêts-toi ╵de splendeur et de gloire40.10 Voir Ps 96.6 ; 104.1 ; 111.3. !
11Répands les flots ╵de ton indignation
et, d’un regard, ╵courbe tous les hautains !
12Que ton regard ╵les fasse plier tous,
les criminels, ╵écrase-les sur place !
13Dans la poussière, ╵va les enfouir ensemble !
Enferme-les ╵dans la nuit du tombeau !
14Alors, moi-même ╵je te rendrai hommage,
car ta victoire ╵sera due à ta main.
15Regarde donc l’hippopotame40.15 La plupart des interprètes identifient l’animal dont il est question ici à l’hippopotame du Nil, décrit aux v. 16-24 dans un langage poétique et hyperbolique. : ╵je l’ai fait comme toi.
Comme le bœuf, ╵il se nourrit de l’herbe.
16Vois quelle force ╵réside dans sa croupe !
Quelle vigueur ╵dans ses muscles des flancs !
17Sa queue, il la raidit, ╵solide comme un cèdre.
Et les tendons ╵sont tressés dans ses cuisses.
18Ses os ressemblent ╵à des barreaux de bronze,
son ossature ╵à des barres de fer.
19C’est le chef-d’œuvre ╵de Dieu, son créateur
qui lui impose ╵le respect par le glaive.
20Les monts produisent son fourrage,
là où s’ébattent ╵les animaux sauvages.
21Il dort sous les lotus,
sous le couvert ╵des roseaux du marais.
22Il est couvert ╵par l’ombre des lotus,
les peupliers l’entourent ╵près des cours d’eau.
23Si la rivière se déchaîne, ╵il ne s’en émeut pas.
Si le Jourdain ╵se jette dans sa gueule, ╵il reste néanmoins serein.
24Va-t-on le prendre ╵à face découverte
et l’entraver ╵en lui perçant le mufle ?
25Iras-tu prendre ╵avec ton hameçon ╵le crocodile40.25 Voir note 3.8. ?
Vas-tu lier ╵sa langue avec ta ligne ?
26Lui mettras-tu ╵un jonc dans les naseaux ?
Perceras-tu ╵d’un crochet sa mâchoire ?
27Et t’adressera-t-il ╵de nombreuses supplications ?
Te dira-t-il ╵des gentillesses ?
28Conclura-t-il ╵une alliance avec toi ?
Le prendras-tu ╵pour serviteur à vie ?
29Joueras-tu avec lui ╵comme avec un oiseau ?
Le lieras-tu ╵pour amuser tes filles ?
30Des associés ╵le mettront-ils en vente ?
Le partageront-ils ╵entre des commerçants ?
31Vas-tu cribler ╵de dards sa carapace ?
Vas-tu barder ╵sa tête de harpons ?
32Attaque-le
et tu te souviendras ╵de ce combat, ╵tu n’y reviendras plus !