Elifazi Anazungumza: Ayubu Ametenda Dhambi
14:1 Mwa 36:11; Ay 15:1; 22:1Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:
24:2 Yer 4:19; 20:9; Ay 32:20“Kama mtu akithubutu kuzungumza nawe,
kutakukasirisha?
Lakini ni nani awezaye
kujizuia asiseme?
34:3 Sef 3:16; Hos 6:3; Ebr 12:12; Kum 32:2; Ay 29:23; 26:2; Za 71:9; Isa 13:7; 35:3Fikiri jinsi ambavyo umewafundisha watu wengi,
jinsi ambavyo umeitia nguvu
mikono iliyokuwa dhaifu.
44:4 Yer 31:8; Ay 16:5; 29:16, 25; Isa 1:17; 35:3; Ebr 12:12Maneno yako yamewategemeza wale waliojikwaa;
umeyatia nguvu magoti yaliyokuwa dhaifu.
54:5 Rut 1:13; Za 38:2; Ay 6:14; Mit 24:10; Lk 4:23Lakini sasa hii taabu imekujia wewe,
nawe unashuka moyo;
imekupiga wewe,
nawe unafadhaika.
64:6 Mwa 6:9; Za 71:5; Mit 3:26; Ay 1:1; 1Fal 18:19Je, kumcha Mungu kwako hakupaswi kuwa
ndiyo matumaini yako
na njia zako kutokuwa na lawama
ndilo taraja lako?
74:7 Za 41:12; 91:9-10; 37:25; 2Pet 2:9; Mit 12:21; Ay 5:11; 36:7; Mt 19:23“Fikiri sasa: Ni mtu yupi asiye na hatia ambaye aliwahi kuangamia?
Ni wapi wanyofu waliwahi kuangamizwa?
84:8 Amu 14:18; Gal 6:7-8; Hos 8:7; Za 7:14; Yos 1:9; Ay 5:3; 15:17; 5:6; 15:35; Mt 11:18Kwa jinsi ambavyo mimi nimechunguza,
wale walimao ubaya
na wale hupanda uovu,
huvuna hayo hayo hayo.
94:9 Kut 15:10; 2The 2:8; Law 26:38; Isa 25:7; Ay 41:21; 40:13Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa;
kwa mshindo wa hasira zake huangamia.
104:10 Ay 38:15; 29:17; Za 22:13; 17:12; 22:21; Mt 28:15Simba anaweza kunguruma na kukoroma,
lakini bado meno ya simba mkubwa huvunjika.
114:11 Kum 28:41; Mit 30:14; Ay 5:4; Za 34:10; 58:6; Ay 27:14; 29:17Simba anaweza kuangamia kwa kukosa mawindo,
nao wana wa simba jike hutawanyika.
124:12 Ay 26:14; 33:14; 32:13; 12:23; Yer 9:23; Za 78:59“Neno lililetwa kwangu kwa siri,
masikio yangu yakasikia mnongʼono wake.
134:13 Ay 33:15Katikati ya ndoto za kutia wasiwasi wakati wa usiku,
hapo usingizi mzito uwapatapo wanadamu,
144:14 Dan 10:8; Hab 3:16; Ay 21:6; Za 48:6; 55:5; 119:120, 161; Yer 5:22; 2Kor 7:15hofu na kutetemeka kulinishika
na kufanya mifupa yangu yote itetemeke.
154:15 Za 104:4; Mt 14:26; Ebr 1:14; Dan 5:6; 7:15, 28; 10:8Kuna roho aliyepita mbele ya uso wangu,
nazo nywele za mwili wangu zikasimama.
164:16 1Fal 19:12Yule roho akasimama,
lakini sikuweza kutambua kilikuwa kitu gani.
Umbo fulani lilisimama mbele ya macho yangu,
kukawa na ukimya kisha nikasikia sauti:
174:17 Za 143:2; Mdo 17:24; Mal 2:10; Mit 20:9; Ay 9:2; 8:3; 10:3; 14:4; 15:14; 13:18; Mhu 7:20; Isa 51:13‘Je, binadamu aweza kuwa mwadilifu kuliko Mungu?
Je, mtu aweza kuwa safi kuliko Muumba wake?
184:18 Ay 25:5; 21:22; 5:4; 1Pet 2:4; Ebr 1:14Kama Mungu hawaamini watumishi wake,
kama yeye huwalaumu malaika zake kwa kukosea,
194:19 Isa 64:8; 2Kor 4:7; 2Pet 2:4; Mwa 2:7ni mara ngapi zaidi wale waishio katika nyumba
za udongo wa mfinyanzi,
ambazo misingi yake ipo mavumbini,
ambao wamepondwa kama nondo!
204:20 Za 89:47; 90:5-6; Yak 4:14; Ay 14:2, 20; 15:33; 20:7Kati ya mawio na machweo
huvunjwa vipande vipande;
bila yeyote kutambua,
huangamia milele.
214:21 Ay 8:22; Isa 38:12; Mit 5:23; Yn 8:24; Yer 9:3Je, kamba za hema yao hazikungʼolewa,
hivyo hufa bila hekima?’
以利法的責難
1提幔人以利法回答說:
2「若有人向你進言,
你會厭煩嗎?
可是,誰能忍住不說呢?
3你曾教導許多人,
使無力的手強壯。
4你的話使人免於跌倒,
你使顫抖的膝硬朗。
5但現在苦難一來,
你便灰心喪膽;
災禍來臨,
你便驚慌失措。
6你敬畏上帝還沒有信心嗎?
你行為純全還沒有盼望嗎?
7你想一想,
哪有無辜的人滅亡?
哪有正直的人遭殃?
8據我所見,
播惡收惡,
種禍得禍。
9他們被上帝的氣息所毀,
被上帝的怒氣所滅。
10獅子咆哮,猛獅吼叫,
壯獅的牙齒被敲掉。
11雄獅因無食而死,
母獅的幼崽離散。
12「有信息暗暗地傳給我,
一聲低語傳入我耳中。
13夜間人們沉睡的時候,
在攪擾思緒的異象中,
14恐懼襲來,
令我戰慄不已,
全身發抖。
15有靈從我臉上拂過,
使我毛骨悚然。
16那靈停住,
我無法辨認其模樣。
眼前出現一個形狀,
寂靜中聽見有聲音說,
17『在上帝面前,世人豈算得上公義?
在創造主面前,凡人豈算得上純潔?
18連上帝的僕人都無法令祂信任,
連祂的天使都被祂找出過錯,
19更何況源自塵土、
住在土造的軀殼裡、
脆弱如蛾的世人呢?
20早晚之間,他們便被毀滅,
永遠消逝,無人察覺。
21他們帳篷的繩索被拔起,
他們毫無智慧地死去。』