Ayubu 39 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 39:1-30

139:1 Kum 14:5“Je, wajua ni wakati gani mbuzi wa mlimani wanapozaa?

Je, watambua ni wakati gani kulungu jike azaapo mtoto wake?

239:2 Mwa 31:7-9Je, waweza kuhesabu miezi hadi wazaapo?

Je, unajua majira yao ya kuzaa?

3Wao hujiinamisha na kuzaa watoto wao;

utungu wa kuzaa unakoma.

4Watoto wao hustawi na kuongezeka nguvu nyikani;

huenda zao wala hawarudi tena.

539:5 Mwa 16:12; Ay 6:5“Ni nani aliyemwachia punda-mwitu awe huru?

Ni nani aliyezifungua kamba zake?

639:6 Za 107:34; Yer 2:24; 14:6; Hos 8:9Nimempa nchi isiyokaliwa na watu kuwa masikani yake,

nchi ya chumvi kuwa makao yake.

739:7 Ay 5:22; 3:18Huzicheka ghasia za mji,

wala hasikii kelele za mwendesha gari.

839:8 Isa 32:20Huzunguka vilimani kwa ajili ya malisho

na kutafuta kila kitu kibichi.

939:9 Hes 23:22; Kum 33:17“Je, nyati atakubali kukutumikia?

Atakaa karibu na hori lako usiku?

1039:10 Ay 41:13; Za 32:9Je, waweza kumfungia kwenye matuta kwa kamba?

Je, atalima mabonde nyuma yako?

1139:11 Ay 40:16; 41:12, 22; Za 147:10Je, utamtumainia kwa ajili ya nguvu zake nyingi?

Utamwachia yeye kazi zako nzito?

12Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani

kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?

1339:13 Zek 5:9“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha,

lakini hayawezi kulinganishwa

na mabawa na manyoya ya korongo.

14Huyataga mayai yake juu ya ardhi,

na kuyaacha yapate joto mchangani,

1539:15 2Fal 14:9bila kujali kuwa mguu waweza kuyaponda,

kwamba baadhi ya wanyama wa porini wanaweza kuyakanyaga.

1639:16 Ay 39:17; Mao 4:3Yeye huyafanyia makinda yake ukatili kama vile si yake;

hajali kwamba taabu yake inaweza ikawa bure,

1739:17 Ay 21:22; 39:16kwa kuwa Mungu hakumjalia hekima,

wala hakumpa fungu la akili njema.

1839:18 Ay 5:22Lakini akunjuapo mabawa yake kukimbia,

humcheka farasi pamoja na yeye aliyempanda.

1939:19 Ay 39:11“Je, wewe humpa farasi nguvu

au kuivika shingo yake manyoya marefu?

2039:20 Yoe 2:4-5; Ufu 9:7; Yer 8:16Je, wewe humfanya farasi aruke kama nzige,

akistaajabisha kwa tishio la mlio wake wa majivuno?

2139:21 Yer 8:6Huparapara bila woga, akizifurahia nguvu zake,

husonga mbele kukabiliana na silaha.

2239:22 Ay 5:22Huicheka hofu, haogopi chochote,

wala haukimbii upanga.

2339:23 Isa 5:28; Yer 5:16; Nah 3:3Podo hutoa sauti kando yake,

pamoja na mkuki unaongʼaa na fumo.

2439:24 Hes 10:9; Eze 7:14Bila woga na kwa ghadhabu huimeza nchi,

wala tarumbeta iliapo yeye hawezi kusimama.

2539:25 Yos 6:5; Yer 8:6; Amo 2:2Asikiapo sauti ya baragumu yeye hulia, ‘Aha!’

Hunusa harufu ya vita toka mbali,

sauti ya mtoa amri na ukelele wa vita.

26“Je, mwewe huruka kwa hekima yako

na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?

27Je, tai hupaa juu kwa amri yako

na kujenga kiota chake mahali pa juu?

28Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku;

majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.

29Kutoka huko hutafuta chakula chake;

macho yake hukiona kutoka mbali.

3039:30 Mt 24:28; Lk 17:37Makinda yake hujilisha damu,

na pale palipo na machinjo, ndipo yeye alipo.”

Japanese Contemporary Bible

ヨブ 記 39:1-30

39

1おまえは、野やぎがどのようにして子を産むのか

知っているか。その光景を見たことがあるか。

2-3それが身をかがめて子を産み落とし、

体内の重荷から解放されるまでに、

何か月みごもっているのか知っているか。

4野やぎの子らが野原で成長すると、

親のもとを離れ、二度と帰って来ない。

5だれが野ろばを野生にしたか。

6このわたしが、それを荒れ地に放ち、

住みかとして不毛の地を与えたのだ。

7野ろばはにぎやかな町を嫌い、

追い手の叫び声を聞くことをいやがる。

8山や丘が彼らの牧場だ。

彼らはそこで、ありとあらゆる緑の草を探す。

9野牛はおまえに素直に仕えるだろうか。

飼い葉おけのそばに寄って来るだろうか。

10おまえは野牛を使って畑を耕せるか。

野牛は馬鍬を引いてくれるだろうか。

11野牛は力が強いからといって、

おまえは頼りにするだろうか。

野牛に、どこで働くかを自由に決めさせるだろうか。

12野牛を使いに出したら、

打ち場から穀物を運んで来てくれるだろうか。

13だちょうは誇らし気にはばたくが、

母親の愛は持ち合わせていない。

14地面の上に産んだ卵を、砂に温めさせるだけだ。

15だれかに踏まれたり、

野獣につぶされたりするのを忘れている。

16まるで自分の子ではないかのように冷淡にあしらい、

死んでもいっこうに気にしない。

17わたしが知恵を奪ったからだ。

18ところが、だちょうはいったん跳びはねて走りだすと、

どんなに速い馬をも追い越す。

19おまえが馬に力を与えたのか。

風になびくたてがみを、その首につけたのか。

20馬をいなごのように跳びはねさせることができるか。

そのすさまじいいななきは、なかなかのものだ。

21-23馬は地面を前足でかき、自分の力を誇る。

いったん戦場に出ると何ものをも恐れず、

矢が雨あられと降って来ようと、

光る槍と投げ槍が飛んで来ようと逃げ出さない。

24戦闘ラッパが鳴り渡ると、前足で激しく地面をかき、

疾風のように敵陣へと駆けて行く。

25ラッパの鳴るたびにヒヒーンといななき、

遠くから戦いの匂いを嗅ぎつける。

ときの声と、命令を伝える指揮官の怒号を聞くと喜ぶ。

26おまえは、鷹がどのようにして高く舞い上がり、

南方をさして翼を広げるかを知っているか。

27鷲が崖の上に高くのぼって巣を作るのは、

おまえの指図によるのか。

28鷲は崖の上に住み、自然の要害を住みかとする。

29そこから、はるか遠くにいる獲物をうかがう。

30鷲は死んだ動物を見つけて運び、

ひなはその血を吸う。」