137:1 Za 38:10; Isa 15:5; Yer 4:19; Hab 3:16“Kwa hili moyo wangu unatetemeka,
nao unaruka kutoka mahali pake.
237:2 Za 18:13; 29:3-9Sikiliza! Sikiliza ngurumo ya sauti yake,
sauti ya ngurumo itokayo kinywani mwake.
337:3 2Sam 22:13; Za 18:14; Ay 36:32; Mt 24:27; Lk 17:24Huuachilia umeme wake wa radi chini ya mbingu yote
na kuupeleka hata miisho ya dunia.
437:4 1Sam 2:10; Kut 20:19Baada ya hayo huja sauti ya ngurumo yake;
Mungu hunguruma kwa sauti yake ya fahari.
Wakati sauti yake ingurumapo tena,
huuachilia umeme wake wa radi.
537:5 Ay 11:7-9Sauti ya Mungu hunguruma kwa namna za ajabu;
yeye hutenda mambo makuu kupita ufahamu wetu.
637:6 Kum 28:12; Ay 38:22; Mwa 7:4; Ay 36:27Huiambia theluji, ‘Anguka juu ya dunia,’
nayo manyunyu ya mvua, ‘Uwe mvua ya nguvu.’
737:7 Ay 12:14; Za 111:2; 109:27; 104:19-23Ili wanadamu wote aliowaumba wapate kujua kazi zake,
yeye humzuilia kila mtu shughuli zake.
837:8 Ay 28:26; 38:40; Za 104:22Wanyama hujificha;
hubakia kwenye mapango yao.
937:9 Za 50:3; 147:17Dhoruba hutoka katika chumba chake,
baridi hutoka katika upepo uendao kasi.
1037:10 Ay 38:29-30; Za 147:17Pumzi ya Mungu hutoa barafu,
eneo kubwa la maji huganda.
1137:11 Ay 26:8; 36:30; 28:26Huyasheheneza mawingu kwa maji,
naye husambaza umeme wake wa radi kupitia hayo.
1237:12 Za 147:16; 148:8; Ay 37:3Nayo mawingu huzungukazunguka pande zote kwa amri yake,
juu ya uso wa dunia yote,
kufanya lolote ayaamuruyo.
1337:13 Kut 9:22-23; 1Sam 12:17; Kut 9:18; 1Fal 18:45Huleta mawingu ili kuadhibu wanadamu,
au kuinyeshea dunia yake na kuonyesha upendo wake.
1437:14 Ay 32:10; 5:9“Ayubu, sikiliza hili;
nyamaza na uyafikiri maajabu ya Mungu.
1537:15 Ay 36:30, 32Je, unajua jinsi Mungu anavyoyaongoza mawingu,
na kufanya umeme wake wa radi utoe mwanga?
1637:16 Ay 36:29; 5:9; 36:4Je, wajua jinsi mawingu yanavyokaa yakiwa yametulia,
hayo maajabu yake yeye aliye mkamilifu katika maarifa?
1737:17 Mdo 27:13Wewe unayeshindwa na joto katika nguo zako
wakati nchi imenyamazishwa kimya bila upepo wa kusini,
1837:18 Mwa 1:1, 8; Ay 22:14; Kum 28:23; Za 104:2je, waweza kuungana naye katika kuzitandaza anga,
zilizo ngumu kama kioo cha shaba ya kuyeyushwa?
1937:19 Rum 8:26; Ay 13:18; 9:3“Tuambieni yatupasayo kumwambia;
hatuwezi kutayarisha shauri letu kwa sababu ya ujinga wetu.
20Je, aambiwe kwamba nataka kuongea?
Je, yuko mtu ambaye angeomba kumezwa?
2137:21 Amu 5:31; Mdo 22:1; 26:13Basi hakuna awezaye kulitazama jua,
jinsi linavyongʼaa angani,
upepo ukishafagia mawingu.
2237:22 Za 19:5; Kut 24:17Kutoka kaskazini yeye huja na fahari kuu;
Mungu huja katika utukufu wa kutisha.
2337:23 Ay 5:9; Rum 11:33; Ay 8:3; Yer 25:5; Mao 3:33Yeye Mwenyezi hatuwezi kumfikia, naye ametukuzwa katika uweza;
katika hukumu zake na haki yake kuu, hataonea.
2437:24 Mik 6:8; Mt 10:28; 11:25; Efe 5:15Kwa hiyo, wanadamu mheshimuni,
kwa kuwa yeye hamstahi yeyote anayejidhania kuwa ana hekima.”
1「因此我心戰慄,
在胸膛跳動。
2請仔細聽祂發出的雷聲,
聽祂口中發出的轟鳴。
3祂使閃電劃過整個天空,
亮光直照到地極。
4隨後雷聲隆隆,
祂發出威嚴之聲。
祂一發聲,雷電交加。
5上帝發出奇妙的雷聲,
我們無法測度祂偉大的作為。
6祂命雪降在大地,
令雨傾盆倒下,
7使人們停下工作,
以便世人都知道祂的作為。
8野獸躲進窩裡,
留在洞中。
9暴風從南天而來,
寒流由北方而至。
10上帝噓氣成冰,
使寬闊的水面凝結。
11祂使密雲佈滿水氣,
從雲端發出閃電。
12雲隨祂的指令旋轉,
在地面之上完成祂的吩咐,
13或為懲罰大地,
或為彰顯慈愛。
14「約伯啊,請留心聽,
要駐足沉思上帝的奇妙作為。
15你知道上帝如何發出命令,
使雲中電光閃爍嗎?
16你知道全知者的奇妙作為——
祂如何使雲彩飄浮嗎?
17南風吹來,大地沉寂時,
你就汗濕衣襟,你知道為何嗎?
18你能像祂那樣鋪展堅如銅鏡的穹蒼嗎?
19我們因愚昧而無法陳訴,
請指教我們如何與祂對話。
20我怎敢與祂對話?
豈有人自取滅亡?
21風吹散天空的雲後,
無人能仰視太陽的強光。
22北方出現金色的光芒,
上帝充滿可怕的威嚴。
23我們無法測度全能者,
祂充滿能力,無比正直公義,
不恃強凌弱。
24所以,人們都敬畏祂,
祂不看顧自以為有智慧的人。」