137:1 Za 38:10; Isa 15:5; Yer 4:19; Hab 3:16“Kwa hili moyo wangu unatetemeka,
nao unaruka kutoka mahali pake.
237:2 Za 18:13; 29:3-9Sikiliza! Sikiliza ngurumo ya sauti yake,
sauti ya ngurumo itokayo kinywani mwake.
337:3 2Sam 22:13; Za 18:14; Ay 36:32; Mt 24:27; Lk 17:24Huuachilia umeme wake wa radi chini ya mbingu yote
na kuupeleka hata miisho ya dunia.
437:4 1Sam 2:10; Kut 20:19Baada ya hayo huja sauti ya ngurumo yake;
Mungu hunguruma kwa sauti yake ya fahari.
Wakati sauti yake ingurumapo tena,
huuachilia umeme wake wa radi.
537:5 Ay 11:7-9Sauti ya Mungu hunguruma kwa namna za ajabu;
yeye hutenda mambo makuu kupita ufahamu wetu.
637:6 Kum 28:12; Ay 38:22; Mwa 7:4; Ay 36:27Huiambia theluji, ‘Anguka juu ya dunia,’
nayo manyunyu ya mvua, ‘Uwe mvua ya nguvu.’
737:7 Ay 12:14; Za 111:2; 109:27; 104:19-23Ili wanadamu wote aliowaumba wapate kujua kazi zake,
yeye humzuilia kila mtu shughuli zake.
837:8 Ay 28:26; 38:40; Za 104:22Wanyama hujificha;
hubakia kwenye mapango yao.
937:9 Za 50:3; 147:17Dhoruba hutoka katika chumba chake,
baridi hutoka katika upepo uendao kasi.
1037:10 Ay 38:29-30; Za 147:17Pumzi ya Mungu hutoa barafu,
eneo kubwa la maji huganda.
1137:11 Ay 26:8; 36:30; 28:26Huyasheheneza mawingu kwa maji,
naye husambaza umeme wake wa radi kupitia hayo.
1237:12 Za 147:16; 148:8; Ay 37:3Nayo mawingu huzungukazunguka pande zote kwa amri yake,
juu ya uso wa dunia yote,
kufanya lolote ayaamuruyo.
1337:13 Kut 9:22-23; 1Sam 12:17; Kut 9:18; 1Fal 18:45Huleta mawingu ili kuadhibu wanadamu,
au kuinyeshea dunia yake na kuonyesha upendo wake.
1437:14 Ay 32:10; 5:9“Ayubu, sikiliza hili;
nyamaza na uyafikiri maajabu ya Mungu.
1537:15 Ay 36:30, 32Je, unajua jinsi Mungu anavyoyaongoza mawingu,
na kufanya umeme wake wa radi utoe mwanga?
1637:16 Ay 36:29; 5:9; 36:4Je, wajua jinsi mawingu yanavyokaa yakiwa yametulia,
hayo maajabu yake yeye aliye mkamilifu katika maarifa?
1737:17 Mdo 27:13Wewe unayeshindwa na joto katika nguo zako
wakati nchi imenyamazishwa kimya bila upepo wa kusini,
1837:18 Mwa 1:1, 8; Ay 22:14; Kum 28:23; Za 104:2je, waweza kuungana naye katika kuzitandaza anga,
zilizo ngumu kama kioo cha shaba ya kuyeyushwa?
1937:19 Rum 8:26; Ay 13:18; 9:3“Tuambieni yatupasayo kumwambia;
hatuwezi kutayarisha shauri letu kwa sababu ya ujinga wetu.
20Je, aambiwe kwamba nataka kuongea?
Je, yuko mtu ambaye angeomba kumezwa?
2137:21 Amu 5:31; Mdo 22:1; 26:13Basi hakuna awezaye kulitazama jua,
jinsi linavyongʼaa angani,
upepo ukishafagia mawingu.
2237:22 Za 19:5; Kut 24:17Kutoka kaskazini yeye huja na fahari kuu;
Mungu huja katika utukufu wa kutisha.
2337:23 Ay 5:9; Rum 11:33; Ay 8:3; Yer 25:5; Mao 3:33Yeye Mwenyezi hatuwezi kumfikia, naye ametukuzwa katika uweza;
katika hukumu zake na haki yake kuu, hataonea.
2437:24 Mik 6:8; Mt 10:28; 11:25; Efe 5:15Kwa hiyo, wanadamu mheshimuni,
kwa kuwa yeye hamstahi yeyote anayejidhania kuwa ana hekima.”
1“因此我心战栗,
在胸膛跳动。
2请仔细听祂发出的雷声,
听祂口中发出的轰鸣。
3祂使闪电划过整个天空,
亮光直照到地极。
4随后雷声隆隆,
祂发出威严之声。
祂一发声,雷电交加。
5上帝发出奇妙的雷声,
我们无法测度祂伟大的作为。
6祂命雪降在大地,
令雨倾盆倒下,
7使人们停下工作,
以便世人都知道祂的作为。
8野兽躲进窝里,
留在洞中。
9暴风从南天而来,
寒流由北方而至。
10上帝嘘气成冰,
使宽阔的水面凝结。
11祂使密云布满水气,
从云端发出闪电。
12云随祂的指令旋转,
在地面之上完成祂的吩咐,
13或为惩罚大地,
或为彰显慈爱。
14“约伯啊,请留心听,
要驻足沉思上帝的奇妙作为。
15你知道上帝如何发出命令,
使云中电光闪烁吗?
16你知道全知者的奇妙作为——
祂如何使云彩飘浮吗?
17南风吹来,大地沉寂时,
你就汗湿衣襟,你知道为何吗?
18你能像祂那样铺展坚如铜镜的穹苍吗?
19我们因愚昧而无法陈诉,
请指教我们如何与祂对话。
20我怎敢与祂对话?
岂有人自取灭亡?
21风吹散天空的云后,
无人能仰视太阳的强光。
22北方出现金色的光芒,
上帝充满可怕的威严。
23我们无法测度全能者,
祂充满能力,无比正直公义,
不恃强凌弱。
24所以,人们都敬畏祂,
祂不看顾自以为有智慧的人。”