Ayubu 36 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 36:1-33

Elihu Atukuza Wema Wa Mungu

1Elihu akaendelea kusema:

2“Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha

kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.

336:3 Ay 4:17; 8:3Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali,

nami nitamhesabia haki Muumba wangu.

436:4 Ay 6:28; 13:6; 37:5, 16, 23; 32:17Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo;

mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.

536:5 Za 31:22; 69:33; Hes 23:19; Rum 11:29“Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu;

ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.

636:6 Ay 8:22; 4:10Hawaachi waovu waendelee kuishi,

bali huwapa walioteswa haki yao.

736:7 Za 34:15; 113:8; Mt 6:18; Isa 22:23Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki;

huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme

na kuwatukuza milele.

836:8 2Sam 3:34; 2Fal 23:33Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo,

wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,

936:9 Ay 15:25huwaonyesha yale waliyoyatenda,

kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.

1036:10 Ay 33:16; 2Fal 17:13; Ay 5:17Huwafanya wao kusikia maonyo,

na huwaagiza kutubu uovu wao.

1136:11 Kut 28:1; Hag 1:12; Isa 1; 19Kama wakitii na kumtumikia,

wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio,

na miaka yao katika utoshelevu.

1236:12 Law 26:38; Ay 15:22; 4:21; Efe 4:18Lakini wasiposikiliza,

wataangamia kwa upanga,

nao watakufa pasipo maarifa.

1336:13 Ay 15:12; Rum 2:5; Ay 5:2; 4:17; Amo 4:11“Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki;

hata anapowafunga, hawamwombi msaada.

1436:14 Kum 23:17Wanakufa wangali vijana,

miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.

1536:15 Ay 5:15; 2Kor 12:10; Ay 33:16; 34:33Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao,

na kuzungumza nao katika dhiki zao.

1636:16 Hos 2:14; Za 23:5; 78:19“Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki,

ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi,

hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.

1736:17 Ay 20:29; 22:11Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu;

hukumu na haki vimekukamata.

1836:18 Kut 23:8; Amo 5:12; Ay 34:33Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri;

usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.

1936:19 Za 49:6; Yer 9:23Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi

vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?

2036:20 Ay 34:20-25Usiutamani usiku uje,

ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.

2136:21 Ay 34:33; Za 66:18; Ebr 11:25Jihadhari usigeukie uovu,

ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.

2236:22 Isa 40:13; Rum 11:34“Mungu ametukuzwa katika nguvu zake.

Ni nani aliye mwalimu kama yeye?

2336:23 Ay 34:10, 13; Rum 11:33; Mwa 18:25; Kum 32:4Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake,

au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?

2436:24 1Nya 16:24; Za 35:27; 59:16; Ufu 15:3Kumbuka kuzitukuza kazi zake,

ambazo watu wamezisifu katika wimbo.

2536:25 Rum 1:20Wanadamu wote wameiona;

watu wanaikazia macho kwa mbali.

2636:26 1Kor 13:12; Mwa 21:33; Ebr 1:12Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu,

kupita ufahamu wetu!

Hesabu ya miaka yake haitafutiki.

2736:27 2Sam 1:21; Za 147:8“Yeye huvuta juu matone ya maji,

ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;

2836:28 Ay 22:11; Mt 5:45mawingu huangusha chini maji yake,

nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.

2936:29 Mit 8:28; Isa 40:22Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu,

jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.

3036:30 Kut 19:16; Yer 10:13; Hab 3:11; Isa 51:10; Za 18:12, 14; 97:4Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka,

naye huvifunika vilindi vya bahari.

3136:31 1Fal 17:1; Amo 4:7-8; Isa 30:23; Mdo 14:17Hivi ndivyo atawalavyo mataifa,

na kuwapa chakula kwa wingi.

3236:32 Ay 28:24; Za 18:14Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi,

na kuuagiza kulenga shabaha yake.

33Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja;

hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.36:33 Au: hutangaza kuja kwake.

O Livro

Job 36:1-33

1Disse ainda mais Eliú:

2“Deixa-me continuar, provar-te-ei aquilo que afirmo;

ainda não acabei de defender Deus!

3Dar-te-ei ilustrações sobre a justiça do meu Criador.

4Vou dizer-te a verdade, com toda a honestidade,

pois sou pessoa com largos conhecimentos.

5Deus é poderoso e, apesar disso,

não põe de parte ninguém!

6Não poupa a vida do ímpio,

mas faz justiça aos aflitos.

7Não desvia o olhar dos que são justos,

antes os honra, colocando-os sobre tronos reais, eternos.

8Se estão presos a grilhões,

e a aflição os atormenta,

9então dar-se-á ao trabalho de lhes indicar

as razões de tal situação, aquilo que fizeram de mal,

ou como se terão conduzido com altivez.

10Ajudá-los-á a ouvirem a sua instrução,

a fim de se desviarem dos seus pecados.

11Se o ouvirem e obedecerem,

então serão abençoados com prosperidade,

todo o tempo das suas vidas.

12Se, pelo contrário, lhe fecharem os ouvidos,

perecerão no meio das lutas,

morrerão em consequência da sua falta de bom senso.

13A verdade é que os ímpios colherão a ira de Deus;

mesmo agrilhoados, recusam-se a clamar por socorro.

14Acabarão por morrer novos,

como jovens entregues à prostituição36.14 O termo aqui refere-se a jovens e homens que praticavam a prostituição em templos pagãos..

15Mas ele livra o aflito da sua aflição

e isto faz com que o escutem!

16Também ele quer conduzir-te do meio da opressão,

para um lugar amplo, tranquilo e livre,

para a fartura da tua mesa cheia de gordura.

17Porém, acumulaste sobre ti mesmo o juízo dos ímpios;

por isso, a justiça e o castigo estão sobre a tua cabeça.

18Que a raiva não te leve a excessos,

nem te deixes seduzir pelas riquezas!

19Pensas, realmente, que se gritasses com força,

ou se te esforçasses muito, isso poria um fim ao teu aperto?

20Não desejes a noite

em que os povos se revoltam.

21Desvia-te do mal,

pois escolheste isso em vez do sofrimento.

22Repara, Deus é todo-poderoso!

Quem, melhor do que ele, sabe ensinar?

23Quem ousaria dizer-lhe o que deve fazer,

ou dizer-lhe: ‘Cometeste uma injustiça!’

24Portanto, engrandece-o pela sua obra,

que tem sido contada pelos homens.

25São coisas que toda a gente vê;

de longe os homens as contemplam.

26Deus é tão grande que ninguém pode pretender conhecê-lo.

Ninguém pode calcular os anos da sua existência.

27Ele concentra o vapor de água

e depois transforma-o em correntes de água,

28que as nuvens despejam em aguaceiros sobre os seres humanos.

29Poderá alguém entender perfeitamente o caminho das nuvens

e os trovões dentro delas?

30Vê como dispara os relâmpagos à sua volta

e como cobre os cimos das montanhas!

31Com a chuva alimenta os povos,

dando-lhes recursos em abundância.

32Enche as mãos com raios faiscantes;

lança cada um deles sobre um alvo certo.

33O trovão anuncia a sua chegada

e o rebanho pressente a chegada da tempestade!