Ayubu 36 – NEN & NSP

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 36:1-33

Elihu Atukuza Wema Wa Mungu

1Elihu akaendelea kusema:

2“Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha

kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.

336:3 Ay 4:17; 8:3Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali,

nami nitamhesabia haki Muumba wangu.

436:4 Ay 6:28; 13:6; 37:5, 16, 23; 32:17Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo;

mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.

536:5 Za 31:22; 69:33; Hes 23:19; Rum 11:29“Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu;

ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.

636:6 Ay 8:22; 4:10Hawaachi waovu waendelee kuishi,

bali huwapa walioteswa haki yao.

736:7 Za 34:15; 113:8; Mt 6:18; Isa 22:23Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki;

huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme

na kuwatukuza milele.

836:8 2Sam 3:34; 2Fal 23:33Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo,

wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,

936:9 Ay 15:25huwaonyesha yale waliyoyatenda,

kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.

1036:10 Ay 33:16; 2Fal 17:13; Ay 5:17Huwafanya wao kusikia maonyo,

na huwaagiza kutubu uovu wao.

1136:11 Kut 28:1; Hag 1:12; Isa 1; 19Kama wakitii na kumtumikia,

wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio,

na miaka yao katika utoshelevu.

1236:12 Law 26:38; Ay 15:22; 4:21; Efe 4:18Lakini wasiposikiliza,

wataangamia kwa upanga,

nao watakufa pasipo maarifa.

1336:13 Ay 15:12; Rum 2:5; Ay 5:2; 4:17; Amo 4:11“Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki;

hata anapowafunga, hawamwombi msaada.

1436:14 Kum 23:17Wanakufa wangali vijana,

miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.

1536:15 Ay 5:15; 2Kor 12:10; Ay 33:16; 34:33Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao,

na kuzungumza nao katika dhiki zao.

1636:16 Hos 2:14; Za 23:5; 78:19“Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki,

ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi,

hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.

1736:17 Ay 20:29; 22:11Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu;

hukumu na haki vimekukamata.

1836:18 Kut 23:8; Amo 5:12; Ay 34:33Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri;

usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.

1936:19 Za 49:6; Yer 9:23Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi

vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?

2036:20 Ay 34:20-25Usiutamani usiku uje,

ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.

2136:21 Ay 34:33; Za 66:18; Ebr 11:25Jihadhari usigeukie uovu,

ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.

2236:22 Isa 40:13; Rum 11:34“Mungu ametukuzwa katika nguvu zake.

Ni nani aliye mwalimu kama yeye?

2336:23 Ay 34:10, 13; Rum 11:33; Mwa 18:25; Kum 32:4Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake,

au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?

2436:24 1Nya 16:24; Za 35:27; 59:16; Ufu 15:3Kumbuka kuzitukuza kazi zake,

ambazo watu wamezisifu katika wimbo.

2536:25 Rum 1:20Wanadamu wote wameiona;

watu wanaikazia macho kwa mbali.

2636:26 1Kor 13:12; Mwa 21:33; Ebr 1:12Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu,

kupita ufahamu wetu!

Hesabu ya miaka yake haitafutiki.

2736:27 2Sam 1:21; Za 147:8“Yeye huvuta juu matone ya maji,

ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;

2836:28 Ay 22:11; Mt 5:45mawingu huangusha chini maji yake,

nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.

2936:29 Mit 8:28; Isa 40:22Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu,

jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.

3036:30 Kut 19:16; Yer 10:13; Hab 3:11; Isa 51:10; Za 18:12, 14; 97:4Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka,

naye huvifunika vilindi vya bahari.

3136:31 1Fal 17:1; Amo 4:7-8; Isa 30:23; Mdo 14:17Hivi ndivyo atawalavyo mataifa,

na kuwapa chakula kwa wingi.

3236:32 Ay 28:24; Za 18:14Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi,

na kuuagiza kulenga shabaha yake.

33Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja;

hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.36:33 Au: hutangaza kuja kwake.

New Serbian Translation

Књига о Јову 36:1-33

1Елијуј је наставио овим речима:

2„Стрпи се мало да ти објасним,

још бих да ти нешто кажем о Богу.

3Знање ћу своје нашироко да изнесем,

зарад Саздатеља свога

праведност ћу да објасним.

4Стварно нема неистине у речима мојим,

пред тобом је човек беспрекорног знања.

5Гле! Бог је силан, не презире никог.

Он је силан, у науму велик!

6Он злотвора не оставља живог,

ојађеним удељује правду.

7Са праведног свој поглед не скида,

с царевима навек на престо их поставља

и они се уздижу високо.

8Ако су и ланцима оковани

и свезани конопцима јада,

9он им јавља шта су урадили,

о преступима којим се бахате.

10Он им ухо за прекор отвара,

позива их да се греха клоне.

11Буду ли га чули и њему служили,

у напретку дане своје проживеће

и године своје у милини.

12А ако не послушају,

мач ће их сасећи;

ишчезнуће без икаквог знања.

13Гнев навлаче људи срца безбожнога,

чак и за помоћ не преклињу кад их он везује.

14Док су млади душа им умире,

скончавају међу храмским блудницима.

15Невољника он невољом спасава

и ухо му тлачењем отвара.

16И тебе ће ишчупати из раља невоље на пространо место;

на место где зебње нема,

где је прострт сто крцат изобиљем.

17Али ти кипиш судом за злобнике,

обузет си и судом и правдом!

18Пази да те нико богатством не мами,

не дај да те заведе големи откуп.

19Хоће ли те из невоље избавити благо твоје

и сав труд снаге твоје?

20Не жуди за ноћи

када људе узимају из њихових кућа.36,20 Или: када народе одводе са свог места.

21Чувај се, злу се не приклањај,

јер то си и одабрао рађе него муку.

22Гле! Узвишен је Господ у сили својој!

Попут њега учитељ ко ли је?

23Ко ли му је пут његов наменио?

Каже ли му ико: ’Лоше си чинио’?

24Имај на уму да његово величаш дело

о коме певају људи.

25Сав га је људски род видео,

мотре га људи издалека.

26Јесте, узвишен је Бог, нама несазнатљив

и број година његових нам је недокучив!

27Јер он подиже капи воде

што из кише маглом росе,

28па људима обилно

из облака пљуште.

29Ко још разуме како се ваља облак

и како грми из куће његове?

30Ено, око себе он простире муњу своју

и покрива дубине мора!

31Он тиме влада народима

и даје обиље хране.

32Муњама пуни руке

па им нареди где ће да ударе.

33Грмљавина њихова га најављује,

али и стока када олуја стиже.