Ayubu 36 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 36:1-33

Elihu Atukuza Wema Wa Mungu

1Elihu akaendelea kusema:

2“Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha

kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.

336:3 Ay 4:17; 8:3Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali,

nami nitamhesabia haki Muumba wangu.

436:4 Ay 6:28; 13:6; 37:5, 16, 23; 32:17Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo;

mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.

536:5 Za 31:22; 69:33; Hes 23:19; Rum 11:29“Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu;

ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.

636:6 Ay 8:22; 4:10Hawaachi waovu waendelee kuishi,

bali huwapa walioteswa haki yao.

736:7 Za 34:15; 113:8; Mt 6:18; Isa 22:23Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki;

huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme

na kuwatukuza milele.

836:8 2Sam 3:34; 2Fal 23:33Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo,

wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,

936:9 Ay 15:25huwaonyesha yale waliyoyatenda,

kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.

1036:10 Ay 33:16; 2Fal 17:13; Ay 5:17Huwafanya wao kusikia maonyo,

na huwaagiza kutubu uovu wao.

1136:11 Kut 28:1; Hag 1:12; Isa 1; 19Kama wakitii na kumtumikia,

wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio,

na miaka yao katika utoshelevu.

1236:12 Law 26:38; Ay 15:22; 4:21; Efe 4:18Lakini wasiposikiliza,

wataangamia kwa upanga,

nao watakufa pasipo maarifa.

1336:13 Ay 15:12; Rum 2:5; Ay 5:2; 4:17; Amo 4:11“Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki;

hata anapowafunga, hawamwombi msaada.

1436:14 Kum 23:17Wanakufa wangali vijana,

miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.

1536:15 Ay 5:15; 2Kor 12:10; Ay 33:16; 34:33Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao,

na kuzungumza nao katika dhiki zao.

1636:16 Hos 2:14; Za 23:5; 78:19“Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki,

ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi,

hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.

1736:17 Ay 20:29; 22:11Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu;

hukumu na haki vimekukamata.

1836:18 Kut 23:8; Amo 5:12; Ay 34:33Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri;

usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.

1936:19 Za 49:6; Yer 9:23Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi

vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?

2036:20 Ay 34:20-25Usiutamani usiku uje,

ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.

2136:21 Ay 34:33; Za 66:18; Ebr 11:25Jihadhari usigeukie uovu,

ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.

2236:22 Isa 40:13; Rum 11:34“Mungu ametukuzwa katika nguvu zake.

Ni nani aliye mwalimu kama yeye?

2336:23 Ay 34:10, 13; Rum 11:33; Mwa 18:25; Kum 32:4Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake,

au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?

2436:24 1Nya 16:24; Za 35:27; 59:16; Ufu 15:3Kumbuka kuzitukuza kazi zake,

ambazo watu wamezisifu katika wimbo.

2536:25 Rum 1:20Wanadamu wote wameiona;

watu wanaikazia macho kwa mbali.

2636:26 1Kor 13:12; Mwa 21:33; Ebr 1:12Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu,

kupita ufahamu wetu!

Hesabu ya miaka yake haitafutiki.

2736:27 2Sam 1:21; Za 147:8“Yeye huvuta juu matone ya maji,

ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;

2836:28 Ay 22:11; Mt 5:45mawingu huangusha chini maji yake,

nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.

2936:29 Mit 8:28; Isa 40:22Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu,

jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.

3036:30 Kut 19:16; Yer 10:13; Hab 3:11; Isa 51:10; Za 18:12, 14; 97:4Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka,

naye huvifunika vilindi vya bahari.

3136:31 1Fal 17:1; Amo 4:7-8; Isa 30:23; Mdo 14:17Hivi ndivyo atawalavyo mataifa,

na kuwapa chakula kwa wingi.

3236:32 Ay 28:24; Za 18:14Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi,

na kuuagiza kulenga shabaha yake.

33Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja;

hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.36:33 Au: hutangaza kuja kwake.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Аюб 36:1-33

Заключительная речь Элиху

1Элиху продолжил:

2– Подожди немного, и я покажу тебе,

что мне есть что ещё сказать в пользу Аллаха.

3Я начну рассуждения издалека;

своему Творцу справедливость воздам.

4Поистине, нет в моих словах лжи;

совершенный в познаниях перед тобой.

5Аллах могуществен, но людей Он не презирает;

силой разума Он могуч.

6Не позволяет Он жить злодеям

и даёт права угнетённым.

7От праведных Он не отводит глаз;

с царями на престол их возводит

и возвышает навеки.

8А если люди цепями скованы

и томятся в узах беды,

9Он говорит им об их делах –

как в гордыне они согрешили.

10Он урок им преподаёт

и велит им в грехах раскаяться.

11Если послушаются и станут Ему служить,

то окончат они свои дни в благополучии

и в радости – свои годы.

12А если они не послушаются,

то переправятся через реку смерти

и умрут без знания.

13Сердца безбожников полны гнева;

не взмолятся о помощи, даже когда Он заковывает их в цепи.

14Они умирают молодыми,

как храмовые блудники36:14 Храмовые блудники – имеются в виду мужчины, занимавшиеся культовой проституцией, которая была неотъемлемой частью весьма распространённых в те дни языческих культов плодородия (см. Втор. 23:17-18)..

15Но страдающих Он избавляет через страдание

и слышит их в беде.

16И тебя бы Он вывел из тесноты

на просторную волю, где нет преград,

и лакомой снедью твой стол был бы полон.

17Но ты одержим судом над злодеями;

суд с приговором к тебе близки.

18Берегись, чтобы богатство не соблазнило тебя

и внушительный выкуп тебя не испортил.

19Спасёт ли твоё богатство тебя от беды,

вся сила твоя спасёт ли?

20Не желай прихода той ночи,

когда народы покидают этот мир.

21Берегись, не склоняйся к нечестию;

ты за это бедой испытуем.

22Аллах велик в Своём могуществе.

Есть ли учитель, подобный Ему?

23Кто пути Ему предписал

или сказал Ему: «Ты не прав»?

24Помни о том, чтобы возвеличивать дела Его,

о которых люди поют;

25видели их все люди,

издавна удивлялись им.

26Аллах велик, мы не в силах Его познать;

непостижимо число Его лет.

27Он собирает капли воды

и обращает их в дождь.

28Облака изливают влагу,

и обильные ливни идут на людей.

29Кто в силах постичь движение туч

и грохот грозы из Его шатра?

30Вот Он молнии мечет вокруг Себя

и затворяет истоки бездны.

31Так Он властвует над народами36:31 Или: «питает народы».

и даёт в изобилии пищу.

32В руках Своих Он держит молнию

и велит ей, кого поразить.

33Гром возвещает о буре;

даже скот чувствует её приход36:33 Или: «Гром возвещает Его приход; Он пылает гневом на беззаконие»..