Ayubu 34 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 34:1-37

Elihu Anatangaza Haki Ya Mungu

1Kisha Elihu akasema:

234:2 Ay 32:10“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima;

nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.

334:3 Ay 12:11Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno

kama vile ulimi uonjavyo chakula.

434:4 1The 5:21Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa,

nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.

534:5 Ay 33:9; 6:29; 27:2; 9; 17“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia,

lakini Mungu ameninyima haki yangu.

634:6 Yer 10:19; Ay 10:3Ingawa niko sawa,

ninaonekana mwongo;

nami ingawa sina kosa,

kidonda changu hakiponi.’

734:7 Ay 9:21; 15:16Ni mtu gani aliye kama Ayubu,

anywaye dharau kama maji?

834:8 Ay 22:15; Za 50:18Ashirikianaye na watenda mabaya

na kuchangamana na watu waovu.

934:9 Ay 9:29-31Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote

anapojitahidi kumpendeza Mungu.’

1034:10 Mwa 18:25; Za 92:15; Rum 3:5“Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu.

Kamwe Mungu hatendi uovu,

Mwenyezi hafanyi kosa.

1134:11 Ay 21:31; 2Kor 5:10; Yer 17:10; Eze 33; 20; Mit 24:12Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda;

huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.

1234:12 Za 9:16; Kol 3:25Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa,

kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.

1334:13 Ay 36:23; Isa 40:14Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia?

Ni nani aliyemweka kuwa mwangalizi wa ulimwengu wote?

1434:14 Hes 16:22; Za 104:29; Mhu 12:7Kama lilikuwa kusudi la Mungu,

naye akaiondoa Roho yake na pumzi yake,

1534:15 Za 90:10; Mwa 2:7wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja,

na mtu angerudi mavumbini.

1634:16 Ay 32:10; 34:30“Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili;

sikilizeni hili nisemalo.

1734:17 Mwa 18:23; 2Sam 23:3-4; Mit 20:8; Rum 3:5-7; Ay 10:7Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala?

Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote?

1834:18 Kut 22:28; Isa 40:24Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’

nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’

1934:19 Kum 10:17; Mdo 10:34; Law 19:15; Yak 2:5yeye asiyependelea wakuu,

wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini,

kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?

2034:20 Kut 11:4; 12:29; Ay 12:19Wanakufa ghafula, usiku wa manane;

watu wanatikiswa nao hupita;

wenye nguvu huondolewa

bila mkono wa mwanadamu.

2134:21 Mit 15:3; Ebr 4:13“Macho yake yanazitazama njia za wanadamu;

anaona kila hatua yao.

2234:22 Za 74:20; Ay 3:5; Amo 9:2-3Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa,

ambapo watenda mabaya wanaweza kujificha.

2334:23 Ay 11:11; Ezr 9:13Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana,

ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.

2434:24 Ay 12:19; Dan 2:21Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi

na kuwaweka wengine mahali pao.

2534:25 Ay 11:11; Mit 5:21-23Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote,

huwaondoa usiku, nao wakaangamia.

2634:26 Mwa 6:5; Ay 8:22; 28:24; Za 9:5; Yer 44:5Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao

mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,

2734:27 Za 14:3; Isa 5:12; 1Sam 15:11kwa sababu wameacha kumfuata Mungu,

nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.

2834:28 Kut 22:23; Yak 5:4; Mhu 5:8Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake,

hivyo akasikia kilio cha wahitaji.

2934:29 Za 28:1; 83:1; 109:1; Rum 8:34; Za 13:1; 97:9; 83:18Lakini kama akinyamaza kimya,

ni nani awezaye kumhukumu?

Kama akiuficha uso wake,

ni nani awezaye kumwona?

Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa,

3034:30 Za 25:15; Mit 29:2-12; 1Fal 12:28-30ili kumzuia mtu mwovu kutawala,

au wale ambao huwategea watu mitego.

31“Kama mwanadamu akimwambia Mungu,

‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena.

3234:32 Kut 33:13; Za 27:11; Lk 19:8; Ay 33:27Nifundishe nisichoweza kuona;

kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’

3334:33 Mit 17:23; Yn 3:8Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako,

wakati wewe umekataa kutubu?

Yakupasa wewe uamue, wala si mimi;

sasa niambie lile ulijualo.

34“Wanadamu wenye ufahamu husema,

wenye hekima wanaonisikia huniambia,

3534:35 Ay 35:16; 38:2; 42:3; 26:3‘Ayubu huongea bila maarifa;

maneno yake hayana busara.’

3634:36 Ay 6:29; 22:15Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho,

kwa sababu anajibu kama mtu mwovu!

37Kwenye dhambi yake huongeza uasi;

kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu,

na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

約伯記 34:1-37

1以利戶又說:

2「各位智者,請聽我言;

明達之士,要側耳聽我的話。

3因為耳朵辨別話語,

正如舌頭品嚐食物。

4我們來鑒別何為正,

一起來認識何為善。

5約伯曾說,『我是清白的,

上帝卻奪去我的公道。

6我雖然有理,卻被認為是撒謊者;

我雖然無過,卻受到致命的創傷。』

7有誰像約伯

他肆意嘲諷,

8與惡者為伍,

同壞人作伴。

9因為他說,『人取悅上帝毫無益處。』

10「所以明智的人啊,請聽我言,

上帝絕不會作惡,

全能者絕無不義。

11祂按人所行的對待人,

照人所做的報應人。

12上帝絕不會作惡,

全能者不會顛倒是非。

13誰曾派祂治理大地,

讓祂掌管整個世界呢?

14上帝若決定收回自己的靈和氣,

15所有生靈將一同滅亡,

世人也將歸回塵土。

16「你若明理,請聽我言,

側耳聽我說。

17憎惡正義的豈可掌權?

你要譴責公義的大能者嗎?

18祂可以稱君王為廢物,

稱權貴為惡徒。

19祂不偏袒王侯,

也不輕貧重富,

因為他們都是祂親手造的。

20他們夜間轉瞬死去,

百姓震顫,繼而消逝,

權貴也被剷除,非藉人手。

21上帝鑒察世人的道路,

觀看他們的腳步。

22沒有黑暗和陰影可供作惡者藏身。

23祂不必再三察驗,

把人召到面前審判。

24祂擊垮權貴無需審查,

另立他人取而代之。

25祂知道他們的行為,

祂使他們在夜間傾覆、滅亡。

26祂當眾擊打他們,

正如擊打惡人。

27因為他們離棄祂,

無視祂的正道,

28以致窮人的呼求傳到祂那裡,

祂也聽見了困苦者的呼求。

29但祂若保持緘默,誰能定祂有罪?

祂若掩起臉來,誰能看得見祂?

個人和國家都靠祂垂顧,

30以免不敬虔者做王,

禍國殃民。

31「有誰對上帝說,

『我受了管教,不會再犯罪;

32我不明白的事,求你指教我;

我若行了惡事,必不再行』?

33難道因為你拒絕接受,

上帝就要迎合你的要求嗎?

要做抉擇的是你,而非我,

請說說你的高見。

34明達的人和聽我發言的智者都會說,

35約伯所言毫無知識,

他的話沒有智慧。』

36約伯被試煉到底,

因為他的回答如惡人之言。

37他的叛逆使他罪上加罪,

他在我們中間拍手譏笑,

用許多話褻瀆上帝。」