Ayubu 34 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 34:1-37

Elihu Anatangaza Haki Ya Mungu

1Kisha Elihu akasema:

234:2 Ay 32:10“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima;

nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.

334:3 Ay 12:11Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno

kama vile ulimi uonjavyo chakula.

434:4 1The 5:21Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa,

nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.

534:5 Ay 33:9; 6:29; 27:2; 9; 17“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia,

lakini Mungu ameninyima haki yangu.

634:6 Yer 10:19; Ay 10:3Ingawa niko sawa,

ninaonekana mwongo;

nami ingawa sina kosa,

kidonda changu hakiponi.’

734:7 Ay 9:21; 15:16Ni mtu gani aliye kama Ayubu,

anywaye dharau kama maji?

834:8 Ay 22:15; Za 50:18Ashirikianaye na watenda mabaya

na kuchangamana na watu waovu.

934:9 Ay 9:29-31Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote

anapojitahidi kumpendeza Mungu.’

1034:10 Mwa 18:25; Za 92:15; Rum 3:5“Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu.

Kamwe Mungu hatendi uovu,

Mwenyezi hafanyi kosa.

1134:11 Ay 21:31; 2Kor 5:10; Yer 17:10; Eze 33; 20; Mit 24:12Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda;

huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.

1234:12 Za 9:16; Kol 3:25Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa,

kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.

1334:13 Ay 36:23; Isa 40:14Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia?

Ni nani aliyemweka kuwa mwangalizi wa ulimwengu wote?

1434:14 Hes 16:22; Za 104:29; Mhu 12:7Kama lilikuwa kusudi la Mungu,

naye akaiondoa Roho yake na pumzi yake,

1534:15 Za 90:10; Mwa 2:7wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja,

na mtu angerudi mavumbini.

1634:16 Ay 32:10; 34:30“Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili;

sikilizeni hili nisemalo.

1734:17 Mwa 18:23; 2Sam 23:3-4; Mit 20:8; Rum 3:5-7; Ay 10:7Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala?

Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote?

1834:18 Kut 22:28; Isa 40:24Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’

nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’

1934:19 Kum 10:17; Mdo 10:34; Law 19:15; Yak 2:5yeye asiyependelea wakuu,

wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini,

kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?

2034:20 Kut 11:4; 12:29; Ay 12:19Wanakufa ghafula, usiku wa manane;

watu wanatikiswa nao hupita;

wenye nguvu huondolewa

bila mkono wa mwanadamu.

2134:21 Mit 15:3; Ebr 4:13“Macho yake yanazitazama njia za wanadamu;

anaona kila hatua yao.

2234:22 Za 74:20; Ay 3:5; Amo 9:2-3Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa,

ambapo watenda mabaya wanaweza kujificha.

2334:23 Ay 11:11; Ezr 9:13Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana,

ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.

2434:24 Ay 12:19; Dan 2:21Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi

na kuwaweka wengine mahali pao.

2534:25 Ay 11:11; Mit 5:21-23Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote,

huwaondoa usiku, nao wakaangamia.

2634:26 Mwa 6:5; Ay 8:22; 28:24; Za 9:5; Yer 44:5Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao

mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,

2734:27 Za 14:3; Isa 5:12; 1Sam 15:11kwa sababu wameacha kumfuata Mungu,

nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.

2834:28 Kut 22:23; Yak 5:4; Mhu 5:8Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake,

hivyo akasikia kilio cha wahitaji.

2934:29 Za 28:1; 83:1; 109:1; Rum 8:34; Za 13:1; 97:9; 83:18Lakini kama akinyamaza kimya,

ni nani awezaye kumhukumu?

Kama akiuficha uso wake,

ni nani awezaye kumwona?

Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa,

3034:30 Za 25:15; Mit 29:2-12; 1Fal 12:28-30ili kumzuia mtu mwovu kutawala,

au wale ambao huwategea watu mitego.

31“Kama mwanadamu akimwambia Mungu,

‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena.

3234:32 Kut 33:13; Za 27:11; Lk 19:8; Ay 33:27Nifundishe nisichoweza kuona;

kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’

3334:33 Mit 17:23; Yn 3:8Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako,

wakati wewe umekataa kutubu?

Yakupasa wewe uamue, wala si mimi;

sasa niambie lile ulijualo.

34“Wanadamu wenye ufahamu husema,

wenye hekima wanaonisikia huniambia,

3534:35 Ay 35:16; 38:2; 42:3; 26:3‘Ayubu huongea bila maarifa;

maneno yake hayana busara.’

3634:36 Ay 6:29; 22:15Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho,

kwa sababu anajibu kama mtu mwovu!

37Kwenye dhambi yake huongeza uasi;

kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu,

na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”

Священное Писание

Аюб 34:1-37

Вторая речь Элиху

1Затем Элиху продолжал:

2– Послушайте, мудрые, мою речь;

внимайте мне, умные люди.

3Ведь ухо разбирает слова,

как язык различает вкус пищи.

4Так давайте решим, где правда,

и рассудим, что есть добро.

5Аюб сказал: «Я невинен,

но лишил меня Всевышний правосудия.

6И хоть я прав,

меня считают лжецом.

Хоть я без греха,

моя рана от Его стрелы неисцелима».

7Есть ли ещё такой человек, как Аюб,

кто кощунство, как воду, пьёт?

8Он дружит с нечестивыми

и общается со злодеями.

9Ведь он говорит: «Нет выгоды человеку,

который старается угодить Всевышнему».

10Имеющие разум, послушайте меня!

Не может быть у Всевышнего неправды,

чужд Всемогущий злу.

11Воздаёт он смертному по делам

и обходится с ним по его заслугам.

12Истинно, Всевышний не делает зла,

Всемогущий не извращает суд.

13Кто отдал землю Ему во власть?

Кто поставил Его над всем миром?

14Если бы Он решил забрать Свой дух

и отозвал бы Своё дыхание,

15то погибла бы разом любая плоть,

и возвратился бы смертный во прах.

16Имеешь ты разум, так слушай это;

внимай моей речи.

17Неужели Тот, Кто управляет миром, ненавидит правосудие?

Обвинишь ли ты Справедливого и Могучего,

18Который говорит царю: «Негодяй!» –

и вельможам: «Вы беззаконники!»,

19Который вождям не выказывает пристрастий

и не ставит богатого выше бедного,

ведь все они – творение Его рук?

20Они умирают мгновенно, в полночь;

мечутся люди и угасают;

сильных сражают не руки смертных.

21Он смотрит на пути людей

и видит каждый их шаг.

22Нет ни мрака, ни тьмы кромешной,

где могли бы спрятаться беззаконники.

23Ведь Всевышнему нет нужды назначать время человеку,

чтобы предстать на суд перед Ним.

24Без допроса сокрушает Он сильных

и других на их место ставит.

25Истинно, ведая их дела,

низлагает их ночью – и им конец.

26На глазах у людей

Он карает их за грехи,

27ведь они от Него отступили,

не познали Его путей.

28И дошёл до него крик бедных,

Он услышал крик страдальцев.

29Если Он промолчит, кто Его укорит?

Если скроет Он лицо Своё, кто сможет Его увидеть?

Он и над народом, и над человеком,

30чтобы не царствовали безбожники,

став сетью для народа.

31Лучше скажи Всевышнему:

«Я пострадал, но больше не согрешу.

32Научи меня, если что-то не знаю;

если я согрешил, то впредь зарекусь».

33Но должен ли Всевышний тебя удостоить награды,

когда ты отказываешься раскаяться?

Ты должен решать, а не я.

Говори же, что знаешь.

34Люди разумные скажут мне,

мудрецы, кто услышит меня:

35«От невежества говорит Аюб,

нет в его речи разума».

36О, когда бы до конца был испытан Аюб

за ответы, достойные беззаконных!

37К греху своему приложил он бунт;

насмехаясь над нами, он бьёт в ладоши

и слова против Всевышнего множит.