Ayubu 32 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 32:1-22

Sehemu Ya Tatu: Mazungumzo Ya Elihu

(Ayubu 32–37)

Elihu Awakemea Rafiki Za Ayubu

132:1 Ay 2:3; 10:7Basi watu hawa watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa kuwa alikuwa mwadilifu machoni pake mwenyewe. 232:2 Mwa 22:21; Ay 13:19; 35:2Lakini Elihu mwana wa Barakeli, wa kabila la Buzi wa jamaa ya Ramu, akamkasirikia sana Ayubu, kwa sababu ya kujihesabia haki mwenyewe badala ya Mungu. 332:3 Ay 42:7; 32:12-13; 15:13Pia aliwakasirikia hao rafiki watatu wa Ayubu, kwa sababu hawakuweza kupata njia ya kuthibitisha ya kuwa hayo maneno ya Ayubu hayakuwa ya kweli, nao bado walikuwa wamemlaumu. 432:4 Law 19:32Basi Elihu alikuwa amesubiri kwanza waongee na Ayubu kwa sababu walikuwa na umri mkubwa kumliko yeye. 5Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.

632:6 Ay 15:10Basi Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi akasema:

“Mimi ni mdogo kwa umri,

nanyi ni wazee;

ndiyo sababu niliogopa,

sikuthubutu kuwaambia kile ninachojua.

732:7 1Nya 29:15; 2Nya 10:6Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme,

nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’

832:8 Ay 27:3; 33:4; Mit 2:6; 1Fal 3:9Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu,

pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo yeye ufahamu.

932:9 1Kor 1:21-26Sio wazee peke yao walio na hekima,

sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.

1032:10 Ay 33:1; 31:33; Za 34:11; Ay 5:27“Kwa hiyo nasema: Nisikilizeni mimi;

mimi nami nitawaambia lile ninalojua.

11Nilingojea mlipokuwa mnaongea,

nilizisikiliza hoja zenu;

mlipokuwa mkitafuta maneno ya kusema,

1232:12 Ay 32:3niliwasikiliza kwa makini.

Lakini hakuna hata mmoja wenu

aliyethibitisha kwamba Ayubu amekosa;

hakuna hata mmoja wenu

aliyeweza kujibu hoja zake.

1332:13 Mhu 9:11; Yer 9:23Msiseme, ‘Tumepata hekima;

Mungu na amthibitishe kuwa mwongo,

wala si mwanadamu.’

1432:14 Ay 23:4Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu,

nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.

1532:15 Ay 32:1“Wametiwa hofu na hawana la zaidi la kusema;

maneno yamewaishia.

16Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya,

kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?

1732:17 Ay 5:27; 33:3; 36:4Mimi nami nitakuwa na la kusema;

mimi nami nitasema lile nilijualo.

1832:18 Mdo 4:20; 1Kor 9:16; 2Kor 5:14Kwa kuwa nimejawa na maneno,

nayo Roho iliyomo ndani yangu yanisukuma;

1932:19 Yer 20:9; Amo 3:8; Mt 9:17ndani yangu niko kama chupa iliyojazwa divai,

kama kiriba kipya cha divai kilicho tayari kupasuka.

2032:20 Ay 4:2; Yer 6:11Ni lazima niseme ili niweze kutulia;

ni lazima nifumbue midomo yangu nipate kujibu.

2132:21 Law 19:15; 2Nya 19:7; Mt 22:16Sitampendelea mtu yeyote,

wala sitajipendekeza kwa mtu yeyote;

2232:22 Ay 4:17; 9:9; Za 12:2-4kwa kuwa kama ningekuwa stadi wa kujipendekeza,

Muumba wangu angeniondolea mbali kwa upesi.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Аюб 32:1-22

Монолог Элиху

1Тогда трое друзей перестали спорить с Аюбом, потому что он был уверен в своей правоте. 2Но Элиху, сын Барахила, потомок Буза, из рода Рам, разгневался на Аюба за то, что тот считал себя праведным перед Аллахом. 3Он разгневался и на трёх его друзей за то, что, не сумев возразить, они клеветали на Аюба32:3 Или: «они клеветали на Аллаха».. 4Но Элиху не сразу заговорил с Аюбом, потому что остальные были старше его. 5Когда же он увидел, что тем троим нечего больше сказать, он разгневался.

Первая речь Элиху

6И тогда Элиху, сын Барахила, потомок Буза, сказал:

– Я молод годами,

вы же в преклонных летах;

поэтому я и робел

и не смел вам высказать своё мнение.

7Я думал: «Пусть говорит возраст;

пусть преклонные годы учат мудрости».

8Но нет, это дух в человеке

и дыхание Всемогущего разум дают.

9Не одни старики32:9 Или: «Не многие». мудры,

не одни престарелые знают правду.

10Поэтому говорю я: «Внимайте мне!

Я тоже скажу вам, что знаю».

11Я ждал, пока вы говорили,

суждения ваши слушал;

пока вы искали слова,

12я вглядывался в вас.

Но никто из вас Аюба не опроверг,

на его слова не ответил.

13Не говорите: «Мы мудрость нашли:

пусть Аллах обличает его, а не человек».

14Если бы против меня он обратил речь свою,

то я не как вы отвечал бы ему.

15Они испугались и нечего им сказать,

слов у них не осталось.

16Ждать ли мне, раз они замолчали,

раз они стоят здесь, не отвечая?

17Мне ведь тоже есть что сказать,

я тоже выскажу своё мнение.

18Я переполнен словами,

дух во мне побуждает меня.

19Сердце моё, как вино неоткрытое,

как новые бурдюки, готовые разорваться.

20Заговорю и найду покой;

разомкну уста свои и отвечу;

21не буду смотреть ни на чьё лицо

и льстить никому не стану,

22ведь я не умею льстить –

иначе убил бы меня мой Творец!