Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu
Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki
1Kisha Ayubu akajibu:
226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!
Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?
Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?
Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,
wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;
Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.
726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;
naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,
hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,
akitandaza mawingu juu yake.
1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,
ameweka mpaka wa nuru na giza.
1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,
zinatishika anapozikemea.
1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;
kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.
1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;
kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;
tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!
Ni nani basi awezaye kuelewa
ngurumo za nguvu zake?”
โยบ
1โยบจึงตอบว่า
2“ท่านช่วยคนหมดแรงได้มากเสียจริง!
ช่วยพยุงแขนที่อ่อนล้าได้เยี่ยมจริงนะ!
3คำแนะนำที่ท่านให้แก่คนไม่มีปัญญานั้นช่างยอดเยี่ยม!
ท่านได้แสดงความเข้าใจที่ลึกซึ้งเสียนี่กระไร!
4ใครหนอช่วยให้ท่านพูดออกมาอย่างนี้ได้?
วิญญาณดวงใดหนอที่พูดออกมาผ่านปากของท่าน?
5“บรรดาผู้ตายต้องทุกข์ทรมาน
ทั้งบรรดาคนที่อยู่ใต้น้ำและทุกชีวิตในนั้น
6แดนมรณาเปลือยเปล่าต่อหน้าพระเจ้า
แดนพินาศไร้สิ่งปกปิด
7พระเจ้าทรงคลี่ท้องฟ้าด้านเหนือบนความว่างเปล่า
และทรงแขวนโลกไว้เหนือที่เวิ้งว้าง
8พระองค์ทรงห่อหุ้มน้ำไว้ในเมฆของพระองค์
และเมฆก็ไม่ได้แตกกระจายเพราะน้ำหนักของมัน
9พระองค์ทรงคลี่เมฆ
ทรงบดบังจันทร์เพ็ญ
10พระองค์ทรงกำหนดเส้นขอบฟ้าที่ทะเล
เป็นพรมแดนระหว่างความสว่างกับความมืด
11เสาของฟ้าสวรรค์สั่นคลอน
เมื่อพระองค์ทรงกำราบ
12และโดยฤทธิ์อำนาจของพระองค์ ทะเลก็สงบราบคาบ
โดยพระปรีชาญาณ ทรงหั่นราหับออกเป็นชิ้นๆ
13ฟ้าสวรรค์งดงามโดยลมปราณของพระเจ้า
พระหัตถ์ของพระองค์ทรงแทงพญางูที่กำลังเลื้อยไป
14เหล่านี้เป็นเพียงสิ่งเล็กน้อยที่พระองค์ทรงกระทำ
เป็นแค่เสียงกระซิบแผ่วๆ ที่เราได้ยินเกี่ยวกับพระองค์เท่านั้น!
แล้วใครเล่าจะสามารถเข้าใจความเกรียงไกรแห่งฤทธิ์อำนาจของพระองค์ได้?”