Ayubu 26 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 26:1-14

Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki

1Kisha Ayubu akajibu:

226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!

326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?

Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!

426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?

Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?

526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,

wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.

626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;

Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.

726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;

naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.

826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,

hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,

akitandaza mawingu juu yake.

1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,

ameweka mpaka wa nuru na giza.

1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,

zinatishika anapozikemea.

1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;

kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.

1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;

kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.

1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;

tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!

Ni nani basi awezaye kuelewa

ngurumo za nguvu zake?”

Thai New Contemporary Bible

โยบ 26:1-14

โยบ

1โยบจึงตอบว่า

2“ท่านช่วยคนหมดแรงได้มากเสียจริง!

ช่วยพยุงแขนที่อ่อนล้าได้เยี่ยมจริงนะ!

3คำแนะนำที่ท่านให้แก่คนไม่มีปัญญานั้นช่างยอดเยี่ยม!

ท่านได้แสดงความเข้าใจที่ลึกซึ้งเสียนี่กระไร!

4ใครหนอช่วยให้ท่านพูดออกมาอย่างนี้ได้?

วิญญาณดวงใดหนอที่พูดออกมาผ่านปากของท่าน?

5“บรรดาผู้ตายต้องทุกข์ทรมาน

ทั้งบรรดาคนที่อยู่ใต้น้ำและทุกชีวิตในนั้น

6แดนมรณาเปลือยเปล่าต่อหน้าพระเจ้า

แดนพินาศไร้สิ่งปกปิด

7พระเจ้าทรงคลี่ท้องฟ้าด้านเหนือบนความว่างเปล่า

และทรงแขวนโลกไว้เหนือที่เวิ้งว้าง

8พระองค์ทรงห่อหุ้มน้ำไว้ในเมฆของพระองค์

และเมฆก็ไม่ได้แตกกระจายเพราะน้ำหนักของมัน

9พระองค์ทรงคลี่เมฆ

ทรงบดบังจันทร์เพ็ญ

10พระองค์ทรงกำหนดเส้นขอบฟ้าที่ทะเล

เป็นพรมแดนระหว่างความสว่างกับความมืด

11เสาของฟ้าสวรรค์สั่นคลอน

เมื่อพระองค์ทรงกำราบ

12และโดยฤทธิ์อำนาจของพระองค์ ทะเลก็สงบราบคาบ

โดยพระปรีชาญาณ ทรงหั่นราหับออกเป็นชิ้นๆ

13ฟ้าสวรรค์งดงามโดยลมปราณของพระเจ้า

พระหัตถ์ของพระองค์ทรงแทงพญางูที่กำลังเลื้อยไป

14เหล่านี้เป็นเพียงสิ่งเล็กน้อยที่พระองค์ทรงกระทำ

เป็นแค่เสียงกระซิบแผ่วๆ ที่เราได้ยินเกี่ยวกับพระองค์เท่านั้น!

แล้วใครเล่าจะสามารถเข้าใจความเกรียงไกรแห่งฤทธิ์อำนาจของพระองค์ได้?”