Ayubu 26 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 26:1-14

Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki

1Kisha Ayubu akajibu:

226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!

326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?

Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!

426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?

Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?

526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,

wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.

626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;

Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.

726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;

naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.

826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,

hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,

akitandaza mawingu juu yake.

1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,

ameweka mpaka wa nuru na giza.

1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,

zinatishika anapozikemea.

1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;

kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.

1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;

kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.

1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;

tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!

Ni nani basi awezaye kuelewa

ngurumo za nguvu zake?”

Swedish Contemporary Bible

Job 26:1-14

Job svarar

1Då svarade Job:

2Vilket stöd du är för den svage,

en räddande arm för den kraftlöse!

3Vilka råd du har gett den okloke,

och vilket stort förnuft du har visat!

4Vem har hjälpt dig att finna alla dessa ord,

och vems ande talar genom dig?

5De dödas andar26:5 Det hebreiska ordets betydelse är vag; syftar på något svagt, klent, matt, skuggliknande, men kan också härledas till jättestammen refaéerna (1 Mos 15:20). Bl.a. Septuaginta och Vulgata har tolkat det som att jättarna bävar. bävar,

liksom de djupa vattnen och alla som bor däri.

6Dödsriket ligger naket inför honom,

avgrunden är blottad.

7Han spänner ut sin boning över tomma intet

och hänger upp jorden på ingenting.

8Han samlar vattnet i molnen,

men skyarna brister inte av tyngden.

9Han döljer sin tron26:9 Det hebreiska ordet kan också syfta på fullmånen.,

sveper in den i sina moln.

10Han drar en gräns runt vattenytan,

och en gräns för ljus och mörker.

11Himlens pelare darrar,

de skräms av hans tillrättavisning.

12Med sin makt rör han upp26:12 ”Rör upp” kan också översättas stillar. havet,

med sin vishet krossar han Rahav.

13Av hans andedräkt blir himlen klar,

och hans hand genomborrar den snabba ormen.

14Detta är bara en liten glimt av allt det han gör,

en stilla viskning om honom.

Vem kan då förstå hans allmakts dån?