Ayubu 26 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 26:1-14

Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki

1Kisha Ayubu akajibu:

226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!

326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?

Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!

426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?

Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?

526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,

wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.

626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;

Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.

726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;

naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.

826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,

hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,

akitandaza mawingu juu yake.

1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,

ameweka mpaka wa nuru na giza.

1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,

zinatishika anapozikemea.

1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;

kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.

1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;

kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.

1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;

tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!

Ni nani basi awezaye kuelewa

ngurumo za nguvu zake?”

La Bible du Semeur

Job 26:1-14

Réponse de Job à Bildad

On ne connaît ni ne comprend l’œuvre de Dieu

1Alors Job prit la parole et dit :

2Ah, comme tu sais bien ╵aider l’homme sans force,

et secourir le bras ╵qui n’a plus de vigueur !

3Quel bon conseil tu donnes ╵à celui qui se trouve ╵dépourvu de sagesse,

et comme tu répands ╵la science à profusion !

4Mais à qui donc, dis-moi, ╵s’adressent tes discours ?

De quelle inspiration ╵émanent tes paroles ?

5Tous ceux qui sont morts tremblent

bien au-dessous des mers ╵et des êtres qui les habitent,

6car le séjour des morts ╵est à nu devant Dieu,

et le royaume des défunts26.6 En hébreu : Abaddôn, c’est-à-dire le lieu de destruction. Dans Ap 9.11, c’est le nom de l’ange de l’abîme. ╵n’a rien pour se couvrir.

7Il étend sur le vide ╵la région de l’Arctique

et il suspend la terre ╵au-dessus du néant.

8Il enserre les eaux ╵dans ses nuées épaisses,

mais jamais, sous leur poids, ╵les nuages n’éclatent.

9Il a couvert d’un voile ╵la face de son trône

en étendant sur lui ╵son épaisse nuée.

10Il a tracé un cercle ╵sur la face des eaux,

au lieu où la lumière ╵rencontre les ténèbres.

11Les colonnes du ciel ╵sont ébranlées,

épouvantées, ╵à sa menace.

12Par sa puissance, ╵il agite la mer ;

par son intelligence, ╵il en brise le monstre26.12 Voir v. 13 ; 3.8 et note. Autre traduction : il en brise l’orgueil (voir 9.13 et note)..

13Sous l’effet de son souffle, ╵le ciel devient serein.

Quant au serpent fuyard26.13 Voir Es 27.1 et note., ╵sa main l’a transpercé.

14Cependant, ce n’est là ╵qu’une infime partie ╵de ce qu’il accomplit,

dont nous ne percevons ╵qu’un murmure léger.

Qui pourra donc comprendre ╵les éclats de tonnerre ╵de sa puissance ?