Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu
Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki
1Kisha Ayubu akajibu:
226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!
Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?
Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?
Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,
wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;
Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.
726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;
naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,
hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,
akitandaza mawingu juu yake.
1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,
ameweka mpaka wa nuru na giza.
1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,
zinatishika anapozikemea.
1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;
kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.
1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;
kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;
tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!
Ni nani basi awezaye kuelewa
ngurumo za nguvu zake?”
Réponse de Job à Bildad
On ne connaît ni ne comprend l’œuvre de Dieu
1Alors Job prit la parole et dit :
2Ah, comme tu sais bien ╵aider l’homme sans force,
et secourir le bras ╵qui n’a plus de vigueur !
3Quel bon conseil tu donnes ╵à celui qui se trouve ╵dépourvu de sagesse,
et comme tu répands ╵la science à profusion !
4Mais à qui donc, dis-moi, ╵s’adressent tes discours ?
De quelle inspiration ╵émanent tes paroles ?
5Tous ceux qui sont morts tremblent
bien au-dessous des mers ╵et des êtres qui les habitent,
6car le séjour des morts ╵est à nu devant Dieu,
et le royaume des défunts26.6 En hébreu : Abaddôn, c’est-à-dire le lieu de destruction. Dans Ap 9.11, c’est le nom de l’ange de l’abîme. ╵n’a rien pour se couvrir.
7Il étend sur le vide ╵la région de l’Arctique
et il suspend la terre ╵au-dessus du néant.
8Il enserre les eaux ╵dans ses nuées épaisses,
mais jamais, sous leur poids, ╵les nuages n’éclatent.
9Il a couvert d’un voile ╵la face de son trône
en étendant sur lui ╵son épaisse nuée.
10Il a tracé un cercle ╵sur la face des eaux,
au lieu où la lumière ╵rencontre les ténèbres.
11Les colonnes du ciel ╵sont ébranlées,
épouvantées, ╵à sa menace.
12Par sa puissance, ╵il agite la mer ;
par son intelligence, ╵il en brise le monstre26.12 Voir v. 13 ; 3.8 et note. Autre traduction : il en brise l’orgueil (voir 9.13 et note)..
13Sous l’effet de son souffle, ╵le ciel devient serein.
Quant au serpent fuyard26.13 Voir Es 27.1 et note., ╵sa main l’a transpercé.
14Cependant, ce n’est là ╵qu’une infime partie ╵de ce qu’il accomplit,
dont nous ne percevons ╵qu’un murmure léger.
Qui pourra donc comprendre ╵les éclats de tonnerre ╵de sa puissance ?