Ayubu Analalamikia Jeuri Duniani
124:1 Yer 46:10; 2Pet 3:7; Ay 15:20; Mdo 1:7“Kwa nini Mwenyezi asiweke nyakati kwa ajili ya hukumu?
Kwa nini wale wamjuao wazitafute siku kama hizo bila mafanikio?
224:2 Kum 19:14; 27:17; Mit 23:10Watu husogeza mawe ya mpaka;
huchunga makundi ya wanyama waliyonyangʼanya kwa nguvu.
324:3 Kum 24:6-10; 12:17; Ay 6:27Huwanyangʼanya yatima punda wao,
na kumchukua rehani fahali wa mjane.
424:4 Mit 28:28; Ay 20:19; Isa 11:4; Za 12:5Humsukuma mhitaji kutoka njia,
na kuwafanya maskini wote wa nchi kulazimika kujificha.
524:5 Mwa 16:12; Za 104:23; Ay 30:3Kama punda-mwitu jangwani,
maskini huzunguka katika kazi zao za kutafuta chakula;
mahali palipo jangwa
huwapa chakula cha watoto wao.
624:6 Ay 6:5; Rut 2:22; 1Fal 21:19Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo
katika mashamba ya mizabibu ya waovu.
724:7 Kut 22:26-27; Kum 24:12; Ay 22:6Kwa kukosa nguo, usiku kucha hukaa uchi;
hawana chochote cha kujifunika baridi.
824:8 Dan 4:25, 33; Mao 4:5Hutota kwa mvua za mlimani,
nao huikumbatia miamba kwa ajili ya kukosa pa kujisitiri.
924:9 Kum 24:17Mtoto yatima hupokonywa matitini;
mtoto wachanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni.
1024:10 Kum 24:12-13; Law 19:9Kwa kukosa nguo, hutembea uchi;
hubeba miganda ya ngano, lakini huwa na njaa.
1124:11 Isa 5:2; 16:10; Hag 2:16; Mik 6:15Hukamua zeituni katika mawe ya kusagia;
hukanyaga mashinikizo, lakini wanaona kiu.
1224:12 Isa 30:19; Ay 9:23; Ufu 6:10; Mhu 8:11Kilio cha huzuni cha wanaokufa kinapaa kutoka mjini,
nazo nafsi za waliojeruhiwa zinalilia msaada.
Lakini Mungu hamlaumu mtu yeyote
kwa kutenda mabaya.
1324:13 Ay 38:15; 1The 5:4-5; Za 18:28; Efe 5:8-14“Wako wale wanaoiasi nuru,
wasiofahamu njia zake
wala hawakai katika mapito yake.
1424:14 Isa 3:15; Mik 3:3; Ay 20:19; Za 37:32; 10:9Wakati mwanga wa mchana unapotoweka, muuaji huinuka
naye huwaua maskini na mhitaji;
wakati wa usiku hunyemelea kama mwizi.
1524:15 Mit 7:8-9; Za 10:11Jicho la mzinzi hungojea wakati wa giza,
naye hufikiri, ‘Hakuna jicho litakaloniona,’
naye huuficha uso wake.
1624:16 Kut 22:2; Mt 6:19; Yn 3:20Katika giza, huvunja majumba,
lakini wakati wa mchana hujifungia ndani;
hawataki kufanya lolote nuruni.
1724:17 Ay 18:11; 15:22; 18:5Kwa wote hawa, giza nene ndiyo asubuhi yao;
hujifanya rafiki na vitisho vya gizani.
1824:18 Ay 9:26; 22:16; Yud 23; Isa 57:20“Lakini wao ni povu juu ya maji;
sehemu yao juu ya nchi imelaaniwa,
hivyo hakuna hata mmoja
aendaye kwenye shamba la mizabibu.
1924:19 Ay 6:17; 21:13Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka,
ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi.
2024:20 Ay 18:17; Mit 10:7; Dan 4:14; Za 31:12Tumbo lililowazaa huwasahau,
nao huwa karamu ya mabuu;
watu waovu hawakumbukwi tena,
lakini huvunjika kama mti.
2124:21 Ay 22:9Huwafanya mawindo wanawake tasa na wasio na watoto,
nao hawaonyeshi huruma kwa wajane.
2224:22 Kum 28:66; Mt 6:27Lakini Mungu huwakokota wenye nguvu kwa uwezo wake;
ingawa wamestawi, hawana hakika ya maisha.
2324:23 Ay 9:24; Amo 6:1; 2Nya 16:9; Ay 10:4Aweza akawaacha wakapumzika wakijihisi salama,
lakini macho yake yanaona njia zao.
2424:24 2Fal 19:35; Za 37:35-36; 83:13; Isa 17:5Kwa kitambo kidogo hutukuka, hatimaye hutoweka;
hushushwa na kukusanywa kama wengine wote,
hukatwa kama masuke ya nafaka.
2524:25 Ay 16:17; 27:4“Kama hili sivyo, ni nani awezaye kunithibitisha kuwa mwongo,
na kuyafanya maneno yangu kuwa si kitu?”
1Почему Всемогущий не назначит время для суда?
Почему те, кто знает Его, этих дней ожидают тщетно?
2Злые люди передвигают межи,
пасут украденные стада;
3у сироты угоняют осла
и вола у вдовы отнимают в залог;
4с дороги сталкивают бедняка,
и должны скрываться все страдальцы земли.
5Словно дикие ослы в пустыне,
выходят на свой труд бедные,
разыскивая в степи
пищу себе и детям своим.
6Жнут они не на своих полях
и виноград собирают для нечестивых.
7Не имея одежды, ночуют нагими –
нечем им от стужи прикрыться.
8Секут их в горах дожди;
льнут они к скалам, ища приюта.
9От груди отнимается сирота,
и младенцев у бедных берут в залог.
10Не имея одежды, ходят они нагими;
нося снопы, остаются голодными.
11Меж двух камней давят они масло из оливок;
топчут в давильне виноград, но страдают от жажды.
12Стонут в городе умирающие,
и зовут на помощь уста израненных,
но Всевышний не замечает несправедливости.
13Есть те, кто восстают против света;
они не знают путей его
и не ходят по ним.
14Меркнет день, и встаёт убийца,
чтобы убить бедняка и нищего;
он крадётся в ночи, как вор.
15Ждёт сумерек око распутника;
он думает: «Ничьи глаза меня не увидят» –
и закутывает лицо.
16В темноте они вламываются в дома,
а днём запираются у себя;
свет им неведом.
17Непроглядная тьма – их утро;
и отрадны им ужасы кромешной тьмы.
18Но они лишь пена на глади вод;
их земельный надел проклят,
и никто не пойдёт работать к ним в виноградник.
19Сушь и зной поглощают снег,
а грешников – мир мёртвых.
20Позабудет их материнское чрево,
полакомится ими червь;
о них больше никто не вспомнит,
они будут сломаны, словно дерево.
21Они притесняют бесплодную и бездетную
и вдове не делают добра.
22Но Всевышний и сильных одолеет Своей силой;
они утвердились, но нет им за жизнь ручательства.
23Он даёт им покоиться безмятежно,
но глаза Его видят их пути.
24На миг вознесутся, и вот – их нет;
они падают и умирают, как все;
их жнут, как колосья.
25Разве это не так? Кто во лжи меня обличит
и в ничто обратит мою речь?