Ayubu 24 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 24:1-25

Ayubu Analalamikia Jeuri Duniani

124:1 Yer 46:10; 2Pet 3:7; Ay 15:20; Mdo 1:7“Kwa nini Mwenyezi asiweke nyakati kwa ajili ya hukumu?

Kwa nini wale wamjuao wazitafute siku kama hizo bila mafanikio?

224:2 Kum 19:14; 27:17; Mit 23:10Watu husogeza mawe ya mpaka;

huchunga makundi ya wanyama waliyonyangʼanya kwa nguvu.

324:3 Kum 24:6-10; 12:17; Ay 6:27Huwanyangʼanya yatima punda wao,

na kumchukua rehani fahali wa mjane.

424:4 Mit 28:28; Ay 20:19; Isa 11:4; Za 12:5Humsukuma mhitaji kutoka njia,

na kuwafanya maskini wote wa nchi kulazimika kujificha.

524:5 Mwa 16:12; Za 104:23; Ay 30:3Kama punda-mwitu jangwani,

maskini huzunguka katika kazi zao za kutafuta chakula;

mahali palipo jangwa

huwapa chakula cha watoto wao.

624:6 Ay 6:5; Rut 2:22; 1Fal 21:19Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo

katika mashamba ya mizabibu ya waovu.

724:7 Kut 22:26-27; Kum 24:12; Ay 22:6Kwa kukosa nguo, usiku kucha hukaa uchi;

hawana chochote cha kujifunika baridi.

824:8 Dan 4:25, 33; Mao 4:5Hutota kwa mvua za mlimani,

nao huikumbatia miamba kwa ajili ya kukosa pa kujisitiri.

924:9 Kum 24:17Mtoto yatima hupokonywa matitini;

mtoto wachanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni.

1024:10 Kum 24:12-13; Law 19:9Kwa kukosa nguo, hutembea uchi;

hubeba miganda ya ngano, lakini huwa na njaa.

1124:11 Isa 5:2; 16:10; Hag 2:16; Mik 6:15Hukamua zeituni katika mawe ya kusagia;

hukanyaga mashinikizo, lakini wanaona kiu.

1224:12 Isa 30:19; Ay 9:23; Ufu 6:10; Mhu 8:11Kilio cha huzuni cha wanaokufa kinapaa kutoka mjini,

nazo nafsi za waliojeruhiwa zinalilia msaada.

Lakini Mungu hamlaumu mtu yeyote

kwa kutenda mabaya.

1324:13 Ay 38:15; 1The 5:4-5; Za 18:28; Efe 5:8-14“Wako wale wanaoiasi nuru,

wasiofahamu njia zake

wala hawakai katika mapito yake.

1424:14 Isa 3:15; Mik 3:3; Ay 20:19; Za 37:32; 10:9Wakati mwanga wa mchana unapotoweka, muuaji huinuka

naye huwaua maskini na mhitaji;

wakati wa usiku hunyemelea kama mwizi.

1524:15 Mit 7:8-9; Za 10:11Jicho la mzinzi hungojea wakati wa giza,

naye hufikiri, ‘Hakuna jicho litakaloniona,’

naye huuficha uso wake.

1624:16 Kut 22:2; Mt 6:19; Yn 3:20Katika giza, huvunja majumba,

lakini wakati wa mchana hujifungia ndani;

hawataki kufanya lolote nuruni.

1724:17 Ay 18:11; 15:22; 18:5Kwa wote hawa, giza nene ndiyo asubuhi yao;

hujifanya rafiki na vitisho vya gizani.

1824:18 Ay 9:26; 22:16; Yud 23; Isa 57:20“Lakini wao ni povu juu ya maji;

sehemu yao juu ya nchi imelaaniwa,

hivyo hakuna hata mmoja

aendaye kwenye shamba la mizabibu.

1924:19 Ay 6:17; 21:13Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka,

ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi.

2024:20 Ay 18:17; Mit 10:7; Dan 4:14; Za 31:12Tumbo lililowazaa huwasahau,

nao huwa karamu ya mabuu;

watu waovu hawakumbukwi tena,

lakini huvunjika kama mti.

2124:21 Ay 22:9Huwafanya mawindo wanawake tasa na wasio na watoto,

nao hawaonyeshi huruma kwa wajane.

2224:22 Kum 28:66; Mt 6:27Lakini Mungu huwakokota wenye nguvu kwa uwezo wake;

ingawa wamestawi, hawana hakika ya maisha.

2324:23 Ay 9:24; Amo 6:1; 2Nya 16:9; Ay 10:4Aweza akawaacha wakapumzika wakijihisi salama,

lakini macho yake yanaona njia zao.

2424:24 2Fal 19:35; Za 37:35-36; 83:13; Isa 17:5Kwa kitambo kidogo hutukuka, hatimaye hutoweka;

hushushwa na kukusanywa kama wengine wote,

hukatwa kama masuke ya nafaka.

2524:25 Ay 16:17; 27:4“Kama hili sivyo, ni nani awezaye kunithibitisha kuwa mwongo,

na kuyafanya maneno yangu kuwa si kitu?”

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Аюб 24:1-25

1Почему Всемогущий не назначит время для суда?

Почему те, кто знает Его, этих дней ожидают тщетно?

2Злые люди передвигают межи,

пасут украденные стада;

3у сироты угоняют осла

и вола у вдовы отнимают в залог;

4с дороги сталкивают бедняка,

и должны скрываться все страдальцы земли.

5Словно дикие ослы в пустыне,

выходят на свой труд бедные,

разыскивая в степи

пищу себе и детям своим.

6Жнут они не на своих полях

и виноград собирают для нечестивых.

7Не имея одежды, ночуют нагими –

нечем им от стужи прикрыться.

8Секут их в горах дожди;

льнут они к скалам, ища приюта.

9От груди отнимается сирота,

и младенцев у бедных берут в залог.

10Не имея одежды, ходят они нагими;

нося снопы, остаются голодными.

11Меж двух камней давят они масло из оливок;

топчут в давильне виноград, но страдают от жажды.

12Стонут в городе умирающие,

и зовут на помощь уста израненных,

но Всевышний не замечает несправедливости.

13Есть те, кто восстают против света;

они не знают путей его

и не ходят по ним.

14Меркнет день, и встаёт убийца,

чтобы убить бедняка и нищего;

он крадётся в ночи, как вор.

15Ждёт сумерек око распутника;

он думает: «Ничьи глаза меня не увидят» –

и закутывает лицо.

16В темноте они вламываются в дома,

а днём запираются у себя;

свет им неведом.

17Непроглядная тьма – их утро;

и отрадны им ужасы кромешной тьмы.

18Но они лишь пена на глади вод;

их земельный надел проклят,

и никто не пойдёт работать к ним в виноградник.

19Сушь и зной поглощают снег,

а грешников – мир мёртвых.

20Позабудет их материнское чрево,

полакомится ими червь;

о них больше никто не вспомнит,

они будут сломаны, словно дерево.

21Они притесняют бесплодную и бездетную

и вдове не делают добра.

22Но Всевышний и сильных одолеет Своей силой;

они утвердились, но нет им за жизнь ручательства.

23Он даёт им покоиться безмятежно,

но глаза Его видят их пути.

24На миг вознесутся, и вот – их нет;

они падают и умирают, как все;

их жнут, как колосья.

25Разве это не так? Кто во лжи меня обличит

и в ничто обратит мою речь?