Ayubu 19 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 19:1-29

Hotuba Ya Sita Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Najua Mkombozi Wangu Yu Hai

1Ndipo Ayubu akajibu:

219:2 1Sam 1:6; Za 6:2, 3; Ay 6:9; 13:25“Je, mtaendelea kunitesa mpaka lini,

na kuniponda kwa maneno yenu?

319:3 Mwa 31:7; Ay 20:3Mara kumi hizi mmenishutumu;

bila aibu mnanishambulia.

419:4 Ay 6:24; Za 19:12; Eze 18:4Kama ni kweli nimepotoka,

kosa langu ninabaki kuhusika nalo mwenyewe.

519:5 Za 38:16; 55:12; Mik 7:8Kama kweli mngejitukuza wenyewe juu yangu,

na kutumia unyonge wangu dhidi yangu,

619:6 Ay 6:29; 18:8; 10:3basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo mabaya,

naye amekokota wavu wake kunizunguka.

719:7 Ay 9:24; 30:20; Za 22:2; Hab 1:2-4“Ingawa ninalia, ‘Nimetendewa mabaya!’ sipati jibu;

ingawa ninaomba msaada, hakuna haki.

819:8 Mao 3:7; Hos 2:6; Mhu 6:4; Yer 14:19Yeye ameizuia njia yangu hivyo siwezi kupita;

ameyafunika mapito yangu na giza.

919:9 Ay 12:17; Za 89:39-44; Mao 5:16Amenivua heshima yangu,

na kuniondolea taji kichwani pangu.

1019:10 Ay 12:14; 7:6; 14:7Amenibomoa kila upande hadi nimeisha;

amelingʼoa tegemeo langu kama mti.

1119:11 Ay 16:9; 13:14Hasira yake imewaka juu yangu;

amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.

1219:12 Ay 16:13; 16:10; 3:23Majeshi yake yananisogelea kwa nguvu;

yamenizingira,

yamepiga kambi kulizunguka hema langu.

1319:13 Ay 16:10-13; 30:12; Mt 26:56; 2Tim 4:16“Amewatenga ndugu zangu mbali nami;

wale tunaojuana nao wamefarakana nami kabisa.

1419:14 Ay 19:19; 2Sam 15:12; Ay 12:4; 16:20; Za 88:18; Yer 20:10; 38:22Watu wa jamaa yangu wamekwenda mbali;

rafiki zangu wamenisahau.

1519:15 Mwa 14:14; Mhu 2:7Wageni wangu na watumishi wangu wa kike wananiona kama mgeni;

wananitazama kama mgeni.

16Namwita mtumishi wangu, wala haitiki,

ingawa namwomba kwa kinywa changu mwenyewe.

1719:17 Za 38:5Pumzi ya kinywa changu ni kinyaa kwa mke wangu;

nimekuwa chukizo mno kwa ndugu zangu mwenyewe.

1819:18 2Fal 2:23; Ay 13:25Hata watoto wadogo hunidhihaki;

ninapojitokeza, hunifanyia mzaha.

1919:19 Za 38:11; 55:12-13; Ay 3:10Rafiki zangu wa moyoni wote wananichukia kabisa;

wale niwapendao wamekuwa kinyume nami.

2019:20 Ay 2:5Mimi nimebaki mifupa na ngozi tu;

nimeponea nikiwa karibu kufa.

2119:21 Ay 6:14; Amu 2:15; Ay 4:5; 10:3; Mao 3:1“Nihurumieni, rafiki zangu, kuweni na huruma,

kwa kuwa mkono wa Mungu umenipiga.

2219:22 Ay 13:25; 16:11; Mit 30:14; Isa 53:4Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo?

Hamtosheki kamwe na mwili wangu?

2319:23 Kut 17:16; Isa 30:8“Laiti maneno yangu yangewekwa kwenye kumbukumbu,

laiti kwamba yangeandikwa kwenye kitabu,

2419:24 Yer 17:1; Ay 16:18kwamba yangechorwa kwenye risasi kwa kifaa cha chuma,

au kuyachonga juu ya mwamba milele!

2519:25 Law 25:25; Mit 23:11; 1Sam 14:39; Ay 16:19Ninajua kwamba Mkombozi19:25 Au: Mtetezi. wangu yu hai,

naye kwamba mwishoni atasimama juu ya nchi.

2619:26 Hes 12:8; 1Yn 3:2Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa,

bado nikiwa na mwili huu nitamwona Mungu;

2719:27 Lk 2:30; Za 42:1; 63:1; 54:2mimi nitamwona kwa macho yangu mwenyewe:

mimi, wala si mwingine.

Tazama jinsi moyo wangu unavyomtamani sana!

28“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda,

maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’

2919:29 Ay 15:22; Za 58:11; Mhu 12:14ninyi wenyewe uogopeni upanga,

kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa upanga,

nanyi ndipo mtakapojua kwamba kuna hukumu.”

Japanese Contemporary Bible

ヨブ 記 19:1-29

19

ヨブのことば

1ヨブの返答。

2「いつまで、あなたたちは私を悩ませ、

いい加減な論法で言いくるめようとするのか。

3もう十回も、私が罪人だと決めつけた。

そんなにひどく私を責め立てて、

恥ずかしいと思わないのか。

4私が悪いとしても、

あなたがたはまだ、その事実を証明していない。

5何もかもお見通しだと思っているようだが、

それなら、私の落度を証明してみるがよい。

6いま言えることは、神が私を押し倒し、

網で生け捕りにしたということだ。

7必死に助けを求めても、だれも相手にしてくれない。

声を限りに叫んでも、人間扱いさえしてもらえない。

8神は私の道を遮断し、光を闇に変えた。

9私の栄光をはぎ取り、冠を取り上げた。

10私はとことんまで打ちのめされ、虫の息となった。

もうおしまいだ。

11神は私を敵視し、私に向かって怒りを燃やす。

12神の送った軍勢は、

私の回りを二重三重に取り囲む。

13神は兄弟や友人たちまで遠ざけた。

14親族は私を裏切り、友人も私を見捨てた。

15家の者は、召使でさえ、私を赤の他人のように扱う。

私は神を知らない外国人と同じ扱いを受けている。

16召使は呼んでも来ない。

こちらが手をついてお願いするしまつだ。

17妻や兄弟からも、嫌われてしまった。

18年端もゆかぬ子どもまでがさげすむ。

起き上がって話しかけようとすると、あざけり笑う。

19親友は私を毛虫のように嫌い、

手塩にかけてきた者たちも背いた。

20私は骨と皮ばかりになり、かろうじて助かったのだ。

21友よ、お願いだ。

神の怒りの手で打たれた、私の身にもなってくれ。

22神といっしょになって、私をいじめないでくれ。

これだけ私の悩みを見れば満足だろう。

23-24ああ、この訴えを鉄のペンで岩に書きつけ、

いつまでも残せたらよいのに。

25だが、私は知っている。

私を救うお方は生きておられ、

ついには地上に降り立つのだ。

26この肉体が朽ち果てたのち、

私は新しい肉体で神を見る。

27そのとき、

神は私の味方になってくださるはずだ!

そうだ、その時私の目に映る神は、

見も知らぬお方ではなく、

親しい友人であるはずだ!

ああ、何とすばらしい希望だろう。

28なのにあなたたちは、私の刑が確定したかのように、

臆面もなく私を責め立てている。

29警告しておこう。

そんな態度をとっていれば、

あなたたちも罰せられることを忘れてはならない。」