Ayubu 16 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 16:1-22

Hotuba Ya Tano Ya Ayubu

Ayubu Anathibitisha Tena Hali Yake Ya Kutokuwa Na Hatia

1Kisha Ayubu akajibu:

216:2 Ay 6:15; 13:4; Za 69:20“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya,

nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!

316:3 Ay 6:26; 11:2; 18:2Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho?

Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?

416:4 Mt 27:29; Yer 18:16; Mao 2:15Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi,

kama mngekuwa katika hali yangu;

ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu,

na kuwatikisia ninyi kichwa changu.

516:5 Ay 29:25; Mwa 37:35Lakini kinywa changu kingewatia moyo;

faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.

616:6 Ay 6:3; 7:21“Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi;

nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.

716:7 Amu 8:5; Ay 7:3; 1:19Ee Mungu, hakika umenichakaza;

umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.

816:8 Mao 5:17; Ay 10:17; 17:7; 19:20; Za 22:17; 88:9; 6:7Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi;

nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.

916:9 Ay 12:14; 13:24; Mao 2:16; Mdo 7:54; Hos 6:1; Ay 30:21; 9:5; 18:4; 19:11Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake,

na kunisagia meno yake;

adui yangu hunikazia macho yake makali.

1016:10 Za 22:13; Mao 3:30; Mdo 7:57; 23:2; Za 27:3; Mik 5:1Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki;

hunipiga shavuni mwangu kwa dharau,

na kuungana pamoja dhidi yangu.

1116:11 Ay 9:24Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya,

na kunitupa katika makucha ya waovu.

1216:12 Ay 9:17; 6:4; Mao 3:12Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja;

amenikamata shingo na kuniponda.

Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;

1316:13 Mit 7:23; Mao 3:13wapiga upinde wake wananizunguka.

Bila huruma, huchoma figo zangu,

na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.

1416:14 Ay 9:17; 10:3; Yoe 2:7Huniponda tena na tena;

hunishambulia kama shujaa wa vita.

1516:15 Mwa 37:34; Ay 2:8“Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu

nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.

1616:16 Ay 16:20; 2:7; 17:7; 30:17, 30; Isa 52:14; Za 6:6Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia,

macho yangu yamepigwa na giza kuu.

1716:17 Yer 18:11; Yon 3:8Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri,

na maombi yangu ni safi.

1816:18 Mwa 4:10; Ay 27:9; Isa 26:21; Za 66:18-19; Ebr 11:4“Ee nchi, usiifunike damu yangu,

nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.

1916:19 Mwa 31:50; Rum 1:9; 1The 2:5; Ay 22:12; 19:27; Za 113:5; Isa 33:5Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni;

wakili wangu yuko juu.

2016:20 Mao 2:19; Rum 8:34; Yn 15:15; Ay 16:16Mwombezi wangu ni rafiki yangu

macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;

2116:21 1Fal 8:45; Za 140:12kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu

kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.

2216:22 Ay 10:21; Mhu 12:5“Ni miaka michache tu itapita

kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.

Thai New Contemporary Bible

โยบ 16:1-22

โยบ

1แล้วโยบตอบว่า

2“ข้าได้ยินเรื่องแบบนี้มามากแล้ว

พวกท่านล้วนเป็นนักปลอบโยนที่แย่จริงๆ!

3ถ้อยคำเยิ่นเย้อของท่านไม่มีจบสิ้นเลยหรือ?

อะไรหนอทำให้ท่านโต้แย้งอยู่เรื่อยไป?

4ข้าก็พูดเหมือนท่านได้

ถ้าท่านตกอยู่ในสภาพเดียวกับข้า

ข้าก็สามารถยกคำหวานหูมาต่อว่าท่าน

แล้วก็ส่ายหน้าเย้ยท่าน

5แต่ปากข้าจะพูดให้กำลังใจท่าน

ปลอบประโลมให้ท่านคลายทุกข์

6“แต่แม้ข้าจะพูดไป ความเจ็บปวดของข้าก็ไม่ได้บรรเทาลง

และแม้ข้าจะนิ่งเสีย มันก็ไม่ได้หายไป

7ข้าแต่พระเจ้า แน่ทีเดียว พระองค์ทรงทำให้ข้าพระองค์อ่อนระโหย

ทรงทำให้ครอบครัวของข้าพระองค์ป่นปี้

8ที่ทรงผูกมัดข้าพระองค์ก็กลายเป็นข้อยืนยันอย่างหนึ่ง

ร่างกายซูบผอมของข้าพระองค์ได้ลุกขึ้นและเป็นพยานปรักปรำข้าพระองค์

9พระเจ้าทรงจู่โจมข้า ทรงฉีกเนื้อข้าด้วยความโกรธกริ้ว

และทรงแยกเขี้ยวใส่ข้า

ศัตรูจ้องข้าตาลุกวาว

10ผู้คนอ้าปากเยาะเย้ยข้า

พวกเขาตบแก้มข้าด้วยความดูแคลน

และรวมหัวกันเล่นงานข้า

11พระเจ้าทรงมอบข้าไว้กับคนอธรรม

ทรงเหวี่ยงข้าไว้ในอุ้งมือของคนชั่ว

12ข้าอยู่มาอย่างสงบตราบจนพระองค์ทรงฉีกข้า

ทรงจับคอข้าและฟาดจนแหลกลาญ

ทรงแขวนข้าไว้เป็นเป้าของพระองค์

13นักธนูของพระองค์รุมล้อมข้า

พระองค์ทรงทะลวงไตข้าอย่างไม่ปรานี

น้ำดีของข้าเรี่ยราดอยู่ที่พื้น

14พระองค์ทรงระเบิดเข้าใส่ข้าครั้งแล้วครั้งเล่า

พระองค์ทรงรี่เข้าใส่ข้าเหมือนนักรบ

15“ข้าเย็บผ้ากระสอบติดผิวหนังของข้า

และเกลือกหน้าในฝุ่นธุลี

16หน้าของข้าแดงช้ำเพราะการร้องไห้

รอบดวงตาของข้าเป็นวงคล้ำ

17ถึงกระนั้นมือของข้าก็สะอาดปราศจากความรุนแรง

และคำอธิษฐานของข้าก็บริสุทธิ์

18“พื้นพสุธาเอ๋ย อย่าซ่อนเลือดของข้าไว้นะ

อย่ากลบเสียงร้องทุกข์ของข้าเลย!

19บัดนี้พยานของข้าอยู่ในฟ้าสวรรค์

ทนายของข้าอยู่เบื้องบน

20ผู้อ้อนวอนแทนข้าคือเพื่อนของข้า16:20 หรือเพื่อนของข้าปฏิบัติต่อข้าอย่างเย้ยหยัน

ขณะที่ข้าหลั่งน้ำตาต่อพระเจ้า

21ผู้นั้นช่วยวิงวอนพระเจ้าแทนมนุษย์

เหมือนเพื่อนช่วยอ้อนวอนแทนกัน

22“อีกไม่กี่ปีข้าก็จะเดินทางไป

โดยไม่หวนคืนมาอีก