Ayubu 16 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 16:1-22

Hotuba Ya Tano Ya Ayubu

Ayubu Anathibitisha Tena Hali Yake Ya Kutokuwa Na Hatia

1Kisha Ayubu akajibu:

216:2 Ay 6:15; 13:4; Za 69:20“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya,

nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!

316:3 Ay 6:26; 11:2; 18:2Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho?

Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?

416:4 Mt 27:29; Yer 18:16; Mao 2:15Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi,

kama mngekuwa katika hali yangu;

ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu,

na kuwatikisia ninyi kichwa changu.

516:5 Ay 29:25; Mwa 37:35Lakini kinywa changu kingewatia moyo;

faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.

616:6 Ay 6:3; 7:21“Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi;

nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.

716:7 Amu 8:5; Ay 7:3; 1:19Ee Mungu, hakika umenichakaza;

umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.

816:8 Mao 5:17; Ay 10:17; 17:7; 19:20; Za 22:17; 88:9; 6:7Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi;

nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.

916:9 Ay 12:14; 13:24; Mao 2:16; Mdo 7:54; Hos 6:1; Ay 30:21; 9:5; 18:4; 19:11Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake,

na kunisagia meno yake;

adui yangu hunikazia macho yake makali.

1016:10 Za 22:13; Mao 3:30; Mdo 7:57; 23:2; Za 27:3; Mik 5:1Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki;

hunipiga shavuni mwangu kwa dharau,

na kuungana pamoja dhidi yangu.

1116:11 Ay 9:24Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya,

na kunitupa katika makucha ya waovu.

1216:12 Ay 9:17; 6:4; Mao 3:12Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja;

amenikamata shingo na kuniponda.

Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;

1316:13 Mit 7:23; Mao 3:13wapiga upinde wake wananizunguka.

Bila huruma, huchoma figo zangu,

na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.

1416:14 Ay 9:17; 10:3; Yoe 2:7Huniponda tena na tena;

hunishambulia kama shujaa wa vita.

1516:15 Mwa 37:34; Ay 2:8“Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu

nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.

1616:16 Ay 16:20; 2:7; 17:7; 30:17, 30; Isa 52:14; Za 6:6Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia,

macho yangu yamepigwa na giza kuu.

1716:17 Yer 18:11; Yon 3:8Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri,

na maombi yangu ni safi.

1816:18 Mwa 4:10; Ay 27:9; Isa 26:21; Za 66:18-19; Ebr 11:4“Ee nchi, usiifunike damu yangu,

nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.

1916:19 Mwa 31:50; Rum 1:9; 1The 2:5; Ay 22:12; 19:27; Za 113:5; Isa 33:5Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni;

wakili wangu yuko juu.

2016:20 Mao 2:19; Rum 8:34; Yn 15:15; Ay 16:16Mwombezi wangu ni rafiki yangu

macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;

2116:21 1Fal 8:45; Za 140:12kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu

kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.

2216:22 Ay 10:21; Mhu 12:5“Ni miaka michache tu itapita

kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.

New Russian Translation

Иов 16:1-22

Ответ Иова

1Тогда Иов ответил:

2– Я слышал много подобного,

вы все – жалкие утешители!

3Настанет ли ветреным словам конец?

Что заставляет тебя возражать?

4И я бы мог говорить так, как вы,

если бы вы были на моем месте;

я сплетал бы речи против вас

и неодобрительно качал бы головой;

5я укреплял бы вас своими устами,

унимая вашу боль движением губ.

Плач Иова

6Если я говорю, не унимается моя боль,

и когда перестаю – не уходит.

7О как Ты меня изнурил.

Ты погубил всех моих домашних.

8Ты схватил меня16:8 Или: «Ты покрыл меня морщинами».

во свидетельство против меня самого;

восстает на меня худоба моя

и против меня свидетельствует16:7-8 Смысл этого места в еврейском тексте неясен..

9Бог терзает меня в гневе, Он ненавидит меня;

Он скрежещет на меня зубами;

враг мой следит зорко и неотступно за мной.

10Люди открывают рты и издеваются надо мной,

бьют меня по щекам, ругаясь,

объединились против меня.

11Бог отдал меня неправедным,

бросил меня в руки нечестивых.

12Я был спокоен, но Он разбил меня,

взял за шею и раздробил меня.

Поставил меня Своей мишенью,

13Его лучники меня окружили.

Он рассекает мне почки, не щадит,

изливает на землю мою желчь.

14Пробивает во мне пролом за проломом,

устремляется на меня, как воин.

15Я сшил для себя рубище

и лбом16:15 Букв.: «рогом» своим уткнулся в прах.

16Покраснело от плача мое лицо,

пелена заволокла глаза,

17хоть нет у меня в руках неправды,

и молитва моя чиста.

Заступник на небесах

18О земля, не скрывай мою кровь –

пусть не найдет покоя мой крик!

19Но даже теперь мой свидетель – на небесах,

и есть в вышине у меня защитник.

20Мой заступник – друг мой16:20 Или: «Друзья мои надо мной глумятся».;

к Богу слезы мои текут.

21Мой заступник защитит меня перед Богом,

как человек защищает в суде своего друга.

22Моим годам приходит конец;

я ухожу в путь безвозвратный.