Ayubu 15 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 15:1-35

Elifazi Anaongea: Ayubu Anadhoofisha Imani

115:1 Ay 4:1Kisha Elifazi Mtemani akajibu:

215:2 Mwa 41:6; Ay 6:26“Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu,

au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki?

315:3 Neh 4:2-3; Ay 6:26Je, aweza kubishana juu ya maneno yasiyofaa,

kwa hotuba zisizo na maana?

415:4 Ay 25:6Lakini unadhoofisha hata uchaji wa Mungu

na kuzuia ibada mbele za Mungu.

515:5 Ay 11:6; 22:5; 5:13; Mt 16:23Dhambi yako inasukuma kinywa chako,

nawe umechagua ulimi wa hila.

615:6 Za 10:2; Mt 12:37; Lk 19:22; Ay 7:15; 18:7Kinywa chako mwenyewe kinakuhukumu, wala si changu;

midomo yako mwenyewe inashuhudia dhidi yako.

715:7 Ay 38:21; 1Sam 2:8; Mit 8:25; Za 90:2“Je, wewe ni mtu wa kwanza kuzaliwa?

Ulizaliwa kabla ya vilima?

815:8 Yer 23:18; 1Kor 2:11Je, wewe husikiliza mashauri ya siri ya Mungu?

Je, wewe unaizuia hekima iwe yako mwenyewe?

915:9 Ay 12:3Wewe unajua kitu gani tusichokijua sisi?

Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?

1015:10 Ay 12:12; 32:6-7; 8:8-10Wale wenye mvi na wazee wako upande wetu,

watu ambao ni wazee hata kuliko baba yako.

1115:11 Mwa 37:35; 2Kor 1:3-4; Kum 8:3; Yer 15:16Je, faraja za Mungu hazikutoshi,

au maneno yaliyosemwa kwako kwa upole si kitu?

1215:12 Ay 11:13; 36:13Kwa nini moyo wako unakudanganya,

na kwa nini macho yako yanangʼaa,

1315:13 Mit 29:11; Dan 11:30; Za 94:4; Ay 11:8; 22:5; 30:2ili kwamba upate kutoa hasira yako dhidi ya Mungu,

na kumwaga maneno kama hayo kutoka kinywani mwako?

1415:14 Ay 14:1; 4:17; 2Nya 6:36; Mhu 7:18, 20“Mwanadamu ni kitu gani, hata aweze kuwa safi,

au yeye aliyezaliwa na mwanamke, hata aweze kuwa mwadilifu?

1515:15 Ay 5:1; 4:18Kama Mungu hawaamini watakatifu wake,

kama hata mbingu zenyewe si safi machoni pake,

1615:16 Law 5:2; Ay 12:4; 20:12; Mit 19:28; Za 14:1sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu,

ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!

1715:17 Ay 4:8“Nisikilize mimi nami nitakueleza,

acha nikuambie yale niliyoyaona,

1815:18 Kum 32:7; Ay 8:8; Mwa 18:19ambayo watu wenye hekima wameyanena,

bila kuficha lolote walilopokea toka kwa baba zao

1915:19 Mwa 12:1; Ay 22:8(wakati ambao wao peke yao ndio walipewa nchi,

hakuna mgeni aliyepita miongoni mwao):

2015:20 Oba 1:15; Sef 1:17Mtu mwovu siku zake zote hupata mateso,

miaka yote aliwekewa mkorofi.

2115:21 1Sam 3:11; Yer 6:25; Isa 13:3; 1The 5:3Sauti za kutisha hujaa masikioni mwake;

katika kufanikiwa kwake, wanyangʼanyi humshambulia.

2215:22 Hos 9:13; Amo 5:19Hukata tamaa kuokoka gizani;

amewekwa kwa ajili ya upanga.

2315:23 Za 59:15; 109:10; Ay 18:12Hutangatanga, akitafuta chakula;

anajua kwamba siku ya giza iko karibu.

2415:24 Isa 8:22; 9:1; Ay 15:20; 18:14Taabu na maumivu makuu vinamtia hofu;

humshinda kama mfalme aliye tayari kwa vita,

2515:25 Za 2:2-3; Mit 21:30kwa sababu amemkunjia Mungu ngumi yake

na kujigamba dhidi ya Mwenyezi,

2615:26 Yer 44:16kwa kiburi akishambulia dhidi ya Mungu

akiwa na ngao nene, iliyo imara.

2715:27 Amu 3:17; Za 17:10“Ingawa uso wake umefunikwa na mafuta kwa unene

na kiuno chake kimevimba kwa kunenepa,

2815:28 Isa 5:9; Ay 3:14ataishi katika miji ya magofu,

na katika nyumba ambazo haziishi mwanadamu yeyote,

nyumba zinazokuwa vifusi.

2915:29 Ay 3:15; 7:8; Isa 5:8Hatatajirika tena, nao utajiri wake hautadumu,

wala mali zake hazitakuwa nyingi juu ya nchi.

3015:30 Ay 4:9, 15; 16:7; 20:26; Kut 15:10Hatatoka gizani;

mwali wa moto utanyausha machipukizi yake,

nayo pumzi ya kinywa cha Mungu itamwondolea mbali.

3115:31 Yer 7:4-8; Mt 6:19; Za 62:1015:31 Ay 31:5; Mit 1:16; 6:18; Isa 44:20; 59:7; Mik 2:11; Mk 13:5Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili,

kwa kuwa hatapata malipo yoyote.

3215:32 Mhu 7:17; Za 109:8; Mit 10:27; Ay 18:16Atakuwa amelipwa kikamilifu kabla ya wakati wake,

nayo matawi yake hayatastawi.

3315:33 Hab 3:17Atafanana na mzabibu uliopukutishwa matunda yake kabla hayajaiva,

kama mzeituni unaodondosha maua yake.

3415:34 Kut 23:8; Ay 8:22; Isa 33:14Kwa kuwa jamii ya wasiomcha Mungu watakuwa tasa,

nao moto utateketeza hema za wale wanaopenda rushwa.

3515:35 Hos 10:13; Gal 6:7; Za 7:14Hutunga mimba ya madhara na kuzaa uovu;

matumbo yao huumba udanganyifu.”

Japanese Contemporary Bible

ヨブ 記 15:1-35

15

エリファズのことば

1テマン人エリファズの返答。

2「あなたはりこう者のはずなのに、

愚にもつかないことばかり言い続けている。

あなたのことばには、まるで中身がない。

3そんなむなしいことばを並べ立てて何になるのか。

4-5あなたには、神を恐れ敬う気持ちがないのか。

あなたがそんなことを言うのも、あなたの罪のせいだ。

どんなうまいことを言っても、偽りは偽りだ。

6罪人呼ばわりされるのが不満らしいが、

それもこれも、みなあなたが悪いからだ。

7-8それとも、一番の知恵者だとでも思っているのか。

あなたは山々が造られる前に生まれ、

神の奥義を聞いたのか。

神の相談役に選ばれているとでもいうのか。

それとも、知恵をひとり占めにしているのか。

9私たちより物知りだというのか。

あなたに理解できて、

私たちに理解できないことがあろうか。

10中には、あなたの父親より

年輩の者だっているというのに。

11神の慰めなど

あなたには取るに足りないものなのか。

神の優しさは、あなたの気持ちを逆なでするのか。

12あなたは腹立ちのあまり理性を失い、

異様な目つきをしている。

その態度は、いったい何だ。

13しかも、神に言ってはならないことを

言い放っている。

14あなたの言うような純粋で完全な人間が、

この地上にいるだろうか。

15神は、御使いでさえ信頼しないではないか。

天でさえ、神と比べたらきよくはない。

16堕落して罪深く、海綿が水を吸うように罪をのみ込む

あなたのような人間は、なおさらだ。

17-19よく聞け。私は経験から言っている。

建国者である先祖からじかに聞いた聡明な人たちが

経験によって確かめた知恵を、私は譲り受けたのだ。

20罪深い者は一生の間、絶え間なく苦しむ。

21おぞましいことに囲まれ、

穏やかな日があっても、すぐさま過ぎ去る。

22殺されるのが怖くて、暗がりに出て行けない。

23-24物乞いに落ちぶれ、さまよい歩くが、

毎日びくびくしながら、苦しみ悩んで生活する。

王が敵を破るように、彼の敵は彼を滅ぼす。

25-26彼はブリキの盾をとって、

神に向かってこぶしを振り、全能者に挑み、

身のほど知らずにも攻撃をしかける。

27-28罪深い悪者は脂肪太りで金回りがよく、

攻め取った町の住民を殺して、そこに住んでいた。

29だが、金はいつまでもあるわけではない。

そんな財産は長持ちしない。

30暗闇が永久に彼を包み込む。

神の息が彼を滅ぼし、

炎が彼の持ち物全部を焼き尽くす。

31これ以上、むなしい富をあてにするな。

自分を欺いてはいけない。

金をあてにすれば、ほかに報いはないからだ。

32そんな者は生きているうちに、不幸に見舞われる。

頼りにしていたものはみな姿を消し、

33しなびたぶどうのように地面に落ちる。

こうして、彼がもくろんできたことは、

計画倒れに終わる。

34神を信じない者には実りがなく、

一つとして良いものが生み出されない。

神の火が、持ち物もろとも彼らを焼き滅ぼすからだ。

35彼らがはらむものは罪だけで、

彼らの心は悪を生み落とす。」