114:1 Mhu 2:23; Mwa 3:17; Ay 15:14; 10:20; Mt 11:11; Za 51:5“Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke
siku zake ni chache nazo zimejaa taabu.
214:2 Za 103:15; Yak 1:10; 1Pet 1:24; Isa 40:6-8; Mhu 6:12Huchanua kama ua kisha hunyauka;
huwa kama kivuli kipitacho upesi, wala hadumu.
314:3 Za 144:3; 8:4; 143:2; Ay 7:18Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo?
Je, utamleta mbele yako katika hukumu?
414:4 Mwa 5:3; Ay 4:17; Za 51:10; Rum 5:12; Efe 2:1-3; Yn 3:6Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka kitu najisi?
Hakuna awezaye!
514:5 Ay 24:1; 21:21; Za 31:15; 139:16; 39:4; 90:12; Mdo 17:26Siku za mwanadamu zimewekewa mpaka;
umekwisha kutangaza idadi ya miezi yake
na kuweka mpaka ambao hawezi kuuvuka.
614:6 Ay 7:19; 7:1, 2; Za 39:13; Isa 16:14; 21:16Hivyo angalia mbali umwache,
hadi awe amekamilisha muda wake
kama mtu aliyeajiriwa.
714:7 Ay 19:10; 24:20; Za 52:5; Isa 11:1; 53:2; 60:21; 6:13“Kwa maana lipo tumaini kwa mti;
kama ukikatwa utachipuka tena,
nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
814:8 Isa 6:13; 11:1; 53:2Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini
na kisiki chake kufa udongoni,
914:9 Ay 29:9; Zek 10:1; Za 1:3; Yer 17:8; Eze 31:7; Law 26:4; Eze 34:27lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua
na kutoa machipukizi kama mche.
1014:10 Ay 14:12; 10:21; 13:19Lakini mwanadamu hufa, na huo ndio mwisho wake;
hutoa pumzi ya mwisho, naye hayuko tena!
1114:11 2Sam 14:14; Isa 19:5Kama vile maji yatowekavyo katika bahari,
au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,
1214:12 Za 102:26; Ufu 21:1; Mdo 3:21; Ay 14:10; Ufu 20:11ndivyo mwanadamu alalavyo chini asiamke;
hadi mbingu zitakapokuwa hazipo tena,
wanadamu hawataamka au kuamshwa
kutoka kwenye usingizi wao.
1314:13 Za 30:5; Isa 54:7; Ay 6:8; 7:9; Isa 26:20; 54:7; Mwa 8:1“Laiti kama ungenificha kaburini,14:13 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
na kunisitiri hadi hasira yako ipite!
Laiti ungeniwekea wakati,
na kisha ukanikumbuka!
1414:14 Ay 7:1; 2Fal 6:33; Za 16:10; 1Kor 15:42-58; Flp 3:21Je, kama mtu akifa, aweza kuishi tena?
Siku zote za kazi zangu ngumu
nitangojea kufanywa upya kwangu.
1514:15 Ay 13:22; Yn 5:28; 1The 4:16; Za 50:4Utaniita nami nitakuitika;
utakionea shauku kiumbe ambacho mikono yako ilikiumba.
1614:16 Mit 5:21; Yer 16:17; 32:19; Hos 13:12; 1Kor 13:5Hakika ndipo utakapozihesabu hatua zangu,
lakini hutazifuatia dhambi zangu.
1714:17 Kum 32:34; Ay 13:23; 9:30; Yer 32:10Makosa yangu yatafungiwa kwa lakiri kwenye mfuko,
nawe utazifunika dhambi zangu.
1814:18 Eze 38:20; Ay 18:4“Lakini kama mlima umomonyokavyo na kufikichika
na kama vile mwamba uondolewavyo mahali pake,
1914:19 Eze 13:13; Mwa 7:23; Ay 7:8kama maji yamalizavyo mawe,
na mafuriko yachukuavyo udongo,
ndivyo unavyoharibu tegemeo la mwanadamu.
2014:20 Ay 4:20; 7:10; 8:18; 12:19; 27:19; Yak 1:10Humshinda mara moja kwa daima, naye hutoweka;
waibadilisha sura yake na kumwondoa.
2114:21 Mhu 9:5; Isa 63:16; 1Sam 4:20Kama wanawe wakipewa heshima, yeye hafahamu;
kama wakidharauliwa, yeye haoni.
2214:22 Za 38:7; Isa 21:3; Yer 4:19; Ay 21:21Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe,
naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”
1“人为妇人所生,
一生短暂,充满患难。
2他如花盛开,转眼凋谢;
如影消逝,无法久留。
3你还察看这样的世人吗?
还要把我召来受审吗?
4谁能使污秽产生洁净呢?
没有人能。
5人的年日已被限定,
你掌管他的岁月,
设定他无法逾越的界限。
6求你转身,别去管他,
好让他如雇工度完他的日子。
7树木若被砍下,还有希望,
它仍可重新萌芽,
嫩枝生长不息。
8虽然树根在土里衰老,
树干在地里死去,
9但一有水气,
它就会像新栽的树一样发芽长枝。
10但人一死,就失去力量;
人一咽气,就不知去向。
11湖水会枯竭,
江河会干涸,
12人躺下便不再起来,
到诸天不复存在,
他仍不会醒来,
不会从长眠中被唤醒。
13但愿你把我藏在阴间,
把我藏起来直到你息怒,
定下眷顾我的日期。
14人若死了,还能复生吗?
我要在劳苦的岁月中等待,
直到我得释放的日子来临。
15那时你呼唤,我便回应,
你必惦念你亲手所造之物。
16那时你必鉴察我的脚步,
但不会追究我的罪恶。
17我的过犯会被封在袋中,
你会遮盖我的罪愆。
18“高山崩塌,
磐石挪移;
19流水磨损石头,
急流冲走泥土;
你也这样粉碎人的希望。
20你永远击败他,使他消逝;
你改变他的容颜,让他离世。
21他的后人得尊荣,他无从知晓;
他们遭贬抑,他也无法察觉。
22他只能感受自身的痛苦,
为自己哀哭。”