Ayubu 13 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 13:1-28

113:1 Ay 9:24“Macho yangu yameona hili lote,

masikio yangu yamesikia na kulielewa.

213:2 Ay 12:3Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua;

mimi si mtu duni kuliko ninyi.

313:3 Ay 5:8; 23:3-4; 5:17; 40:2Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi

na kuhojiana shauri langu na Mungu.

413:4 Isa 9:15; Yer 23:32; Za 119:69; Yer 8:22; Ay 6:15Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo;

ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!

513:5 Mit 17:28; Amo 5:13; Ay 13:13; Amu 18:19; Mhu 5:3; Yak 1:19Laiti wote mngenyamaza kimya!

Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.

613:6 Ay 33:1; 36:4Sikieni sasa hoja yangu;

sikilizeni kusihi kwangu.

713:7 Ay 16:17; 36:4; 17:5; Rum 3:5-8Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu?

Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?

813:8 Law 19:15; Mit 24:23Mtamwonyesha upendeleo?

Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?

913:9 Ay 12:16; 9:3; Gal 6:7Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi?

Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?

1013:10 Law 19:15; 2Nya 19:7Hakika angewakemea

kama mkiwapendelea watu kwa siri.

1113:11 Ay 31:23; Kut 3:6Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi?

Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?

1213:12 Neh 4:2-3Maneno yenu ni mithali za majivu;

utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.

1313:13 Ay 13:5; 7:11; 9:21“Nyamazeni kimya nipate kusema;

kisha na yanipate yatakayonipata.

1413:14 Amu 9:17; Za 119:109Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari

na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?

1513:15 Za 27:1; Dan 3:28; Ay 5:8; 27:5; Mit 14:32; Rum 8:38-39Ingawa ataniua, bado nitamtumaini;

hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.

1613:16 Hos 14:4; Flp 1:19; Isa 12:1-2Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu,

kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu

atakayethubutu kuja mbele yake!

1713:17 Ay 21:2Sikilizeni maneno yangu kwa makini;

nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.

1813:18 Ay 13:3; 23:4; 37:19; 2:3; 9:21Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu,

ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.

1913:19 Isa 50:8; Rum 8:33; Ay 3:13; 40:4; 9:15Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu?

Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.

20“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili,

nami sitajificha uso wako:

2113:21 Za 39:10; Ebr 10:31; Kut 9:3; Ay 6:4Ondoa mkono wako uwe mbali nami,

nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.

2213:22 Ay 9:35; 14:15Niite kwenye shauri nami nitajibu,

au niache niseme, nawe upate kujibu.

2313:23 1Sam 26:18; Ay 7:21; 9:21; 14:17; 33:9Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda?

Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.

2413:24 Isa 8:17; Za 88:14-15; Yer 30:14Kwa nini kuuficha uso wako

na kunihesabu mimi kuwa adui yako?

2513:25 Law 26:36; Isa 43:17; Hos 13:3Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo?

Je, utayasaka makapi makavu?

2613:26 Ay 21:23; Za 25:7Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu

na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.

2713:27 Mwa 40:15; Mdo 16:24Umeifunga miguu yangu kwenye pingu.

Unazichunga kwa makini njia zangu zote

kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.

2813:28 Hos 5:12; Yak 5:2“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza,

kama vazi lililoliwa na nondo.

Nova Versão Internacional

Jó 13:1-28

1“Meus olhos viram tudo isso,

meus ouvidos o ouviram e entenderam.

2O que vocês sabem, eu também sei;

não sou inferior a vocês.

3Mas desejo falar ao Todo-poderoso

e defender a minha causa diante de Deus.

4Vocês, porém, me difamam com mentiras;

todos vocês são médicos que de nada valem!

5Se tão somente ficassem calados,

mostrariam sabedoria.

6Escutem agora o meu argumento;

prestem atenção à réplica de meus lábios.

7Vocês vão falar com maldade em nome de Deus?

Vão falar enganosamente a favor dele?

8Vão revelar parcialidade por ele?

Vão defender a causa a favor de Deus?

9Tudo iria bem se ele os examinasse?

Vocês conseguiriam enganá-lo

como podem enganar os homens?

10Com certeza ele os repreenderia

se, no íntimo, vocês fossem parciais.

11O esplendor dele não os aterrorizaria?

O pavor dele não cairia sobre vocês?

12As máximas que vocês citam são provérbios de cinza;

suas defesas não passam de barro.

13“Aquietem-se e deixem-me falar,

e aconteça comigo o que acontecer.

14Por que me ponho em perigo

e tomo a minha vida em minhas mãos?

15Embora ele me mate, ainda assim esperarei nele;

certo é que defenderei13.15 Ou Certamente ele me matará; não tenho esperança; ainda assim defenderei os meus caminhos diante dele.

16Aliás, será essa a minha libertação,

pois nenhum ímpio ousaria apresentar-se a ele!

17Escutem atentamente as minhas palavras;

que os seus ouvidos acolham o que eu digo.

18Agora que preparei a minha defesa,

sei que serei justificado.

19Haverá quem me acuse?

Se houver, ficarei calado e morrerei.

20“Concede-me só estas duas coisas, ó Deus,

e não me esconderei de ti:

21Afasta de mim a tua mão

e não mais me assustes com os teus terrores.

22Chama-me, e eu responderei,

ou deixa-me falar, e tu responderás.

23Quantos erros e pecados cometi?

Mostra-me a minha falta e o meu pecado.

24Por que escondes o teu rosto

e me consideras teu inimigo?

25Atormentarás uma folha levada pelo vento?

Perseguirás a palha?

26Pois fazes constar contra mim coisas amargas

e me fazes herdar os pecados da minha juventude.

27Acorrentas os meus pés

e vigias todos os meus caminhos,

pondo limites aos meus passos.

28“Assim o homem se consome como coisa podre,

como a roupa que a traça vai roendo.