Ayubu 13 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 13:1-28

113:1 Ay 9:24“Macho yangu yameona hili lote,

masikio yangu yamesikia na kulielewa.

213:2 Ay 12:3Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua;

mimi si mtu duni kuliko ninyi.

313:3 Ay 5:8; 23:3-4; 5:17; 40:2Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi

na kuhojiana shauri langu na Mungu.

413:4 Isa 9:15; Yer 23:32; Za 119:69; Yer 8:22; Ay 6:15Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo;

ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!

513:5 Mit 17:28; Amo 5:13; Ay 13:13; Amu 18:19; Mhu 5:3; Yak 1:19Laiti wote mngenyamaza kimya!

Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.

613:6 Ay 33:1; 36:4Sikieni sasa hoja yangu;

sikilizeni kusihi kwangu.

713:7 Ay 16:17; 36:4; 17:5; Rum 3:5-8Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu?

Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?

813:8 Law 19:15; Mit 24:23Mtamwonyesha upendeleo?

Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?

913:9 Ay 12:16; 9:3; Gal 6:7Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi?

Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?

1013:10 Law 19:15; 2Nya 19:7Hakika angewakemea

kama mkiwapendelea watu kwa siri.

1113:11 Ay 31:23; Kut 3:6Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi?

Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?

1213:12 Neh 4:2-3Maneno yenu ni mithali za majivu;

utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.

1313:13 Ay 13:5; 7:11; 9:21“Nyamazeni kimya nipate kusema;

kisha na yanipate yatakayonipata.

1413:14 Amu 9:17; Za 119:109Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari

na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?

1513:15 Za 27:1; Dan 3:28; Ay 5:8; 27:5; Mit 14:32; Rum 8:38-39Ingawa ataniua, bado nitamtumaini;

hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.

1613:16 Hos 14:4; Flp 1:19; Isa 12:1-2Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu,

kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu

atakayethubutu kuja mbele yake!

1713:17 Ay 21:2Sikilizeni maneno yangu kwa makini;

nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.

1813:18 Ay 13:3; 23:4; 37:19; 2:3; 9:21Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu,

ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.

1913:19 Isa 50:8; Rum 8:33; Ay 3:13; 40:4; 9:15Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu?

Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.

20“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili,

nami sitajificha uso wako:

2113:21 Za 39:10; Ebr 10:31; Kut 9:3; Ay 6:4Ondoa mkono wako uwe mbali nami,

nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.

2213:22 Ay 9:35; 14:15Niite kwenye shauri nami nitajibu,

au niache niseme, nawe upate kujibu.

2313:23 1Sam 26:18; Ay 7:21; 9:21; 14:17; 33:9Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda?

Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.

2413:24 Isa 8:17; Za 88:14-15; Yer 30:14Kwa nini kuuficha uso wako

na kunihesabu mimi kuwa adui yako?

2513:25 Law 26:36; Isa 43:17; Hos 13:3Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo?

Je, utayasaka makapi makavu?

2613:26 Ay 21:23; Za 25:7Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu

na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.

2713:27 Mwa 40:15; Mdo 16:24Umeifunga miguu yangu kwenye pingu.

Unazichunga kwa makini njia zangu zote

kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.

2813:28 Hos 5:12; Yak 5:2“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza,

kama vazi lililoliwa na nondo.

New International Reader’s Version

Job 13:1-28

1“My eyes have seen everything God has done.

My ears have heard it and understood it.

2What you know, I also know.

I’m as clever as you are.

3In fact, I long to speak to the Mighty One.

I want to argue my case with God.

4But you spread lies about me and take away my good name.

If you are trying to heal me,

you aren’t very good doctors!

5I wish you would keep your mouths shut!

Then people would think you were wise.

6Listen to my case.

Listen as I make my appeal.

7Will you say evil things in order to help God?

Will you tell lies for him?

8Do you want to be on God’s side?

Will you argue his case for him?

9Would it turn out well if he looked you over carefully?

Could you fool him as you might fool human beings?

10He would certainly hold you responsible

if you took his side in secret.

11Wouldn’t his glory terrify you?

Wouldn’t the fear of him fall on you?

12Your sayings are as useless as ashes.

The answers you give are as weak as clay.

13“So be quiet and let me speak.

Then I won’t care what happens to me.

14Why do I put myself in danger?

Why do I take my life in my hands?

15Even if God kills me, I’ll still put my hope in him.

I’ll argue my case in front of him.

16No matter how things turn out,

I’m sure I’ll still be saved.

After all, no ungodly person

would dare to come into his court.

17Listen carefully to what I’m saying.

Pay close attention to my words.

18I’ve prepared my case.

And I know I’ll be proved right.

19Can others bring charges against me?

If they can, I’ll keep quiet and die.

20“God, I won’t hide from you.

Here are the only two things I want.

21Stop treating me this way.

And stop making me so afraid.

22Then send for me, and I’ll answer.

Or let me speak, and you reply.

23How many things have I done wrong?

How many sins have I committed?

Show me my crime. Show me my sin.

24Why do you turn your face away from me?

Why do you think of me as your enemy?

25I’m already like a leaf that is blown by the wind.

Are you going to terrify me even more?

I’m already like dry straw.

Are you going to keep on chasing me?

26You write down bitter things against me.

You make me suffer for the sins

I committed when I was young.

27You put my feet in chains.

You watch every step I take.

You do it by putting marks on the bottom of my feet.

28“People waste away like something that is rotten.

They are like clothes that are eaten by moths.