Amosi 6 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 6:1-14

Ole Kwa Wanaoridhika

16:1 Lk 6:24; Isa 32:9-11; Ay 24:23; Sef 1:12; Amo 3:9Ole wenu ninyi mnaostarehe na kuridhika katika Sayuni,

na ninyi mnaojisikia salama juu ya Mlima Samaria,

ninyi watu mashuhuri wa taifa lililoendelea kuliko mataifa mengine,

ambao watu wa Israeli wanawategemea!

26:2 2Fal 17:24; Yer 49:23; Isa 10:9; 2Fal 14:25; Hes 34:8; Mwa 10:10; 2Nya 26:6; Yos 11:22Nendeni Kalne mkaone kutoka huko;

mwende hadi Hamathi iliyo kuu,

kisha mshuke hadi Gathi ya Wafilisti.

Je, wao ni bora kuliko falme zenu mbili?

Je, nchi yao ni kubwa kuliko yenu?

36:3 Isa 47:7; 56:12; Eze 12:22, 27; Mhu 8:11; Amo 5:18; 9:10Mnaiweka mbali siku iliyo mbaya

na kuleta karibu utawala wa kuogofya.

46:4 Isa 1:11; Eze 34:2-3; Amo 3:12; Mit 3:12; 7:17; Es 1:6Ninyi mnalala juu ya vitanda vilivyofunikwa kwa pembe za ndovu,

na kujinyoosha juu ya viti vya fahari.

Mnajilisha kwa wana-kondoo wazuri

na ndama walionenepeshwa.

56:5 Isa 5:12; 14:11; Za 137:2; Amo 5:23; 1Nya 15:16Ninyi mnapiga vinubi kama Daudi,

huku mkitunga nyimbo za vinanda mbalimbali.

66:6 Isa 28:1; Amo 2:8; Eze 9:4; 16:49Mnakunywa mvinyo kwa bakuli zilizojazwa,

na mnajipaka mafuta mazuri,

lakini hamhuzuniki kwa maangamizi ya Yosefu.

7Kwa hiyo mtakuwa miongoni mwa watu wa kwanza kwenda uhamishoni;

karamu zenu na kustarehe kutakoma.

Bwana Anachukia Kiburi Cha Israeli

86:8 Mwa 22:16; Ebr 6:13; Law 26:19, 30; Za 47:4; Kum 32:19; Yer 12:8; Amo 4:2Bwana Mwenyezi ameapa kwa nafsi yake mwenyewe: Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema:

“Nachukia kiburi cha Yakobo,

nachukia ngome zake;

nitautoa mji wao na kila kitu

kilichomo ndani mwake.”

9Kama watu kumi watabaki katika nyumba moja, wao pia watakufa. 106:10 1Sam 31:12; Amo 8:3Kama jamaa ambaye atachoma miili akija ili kuitoa nje ya nyumba, na kumuuliza yeyote ambaye bado anajificha humo, “Je, yuko mtu yeyote pamoja nawe?” Naye akisema, “Hapana,” ndipo atakaposema, “Nyamaza kimya! Haturuhusiwi kutaja jina la Bwana.”

116:11 Amo 3:15; Isa 55:11; 34:5Kwa kuwa Bwana ameamuru,

naye atabomoa jumba kubwa vipande vipande

na nyumba ndogo vipande vidogo vidogo.

126:12 Hos 10:4; Isa 1:21; Amo 5:7; 3:10Je, farasi waweza kukimbia kwenye miamba mikali?

Je, aweza mtu kulima huko kwa maksai?

Lakini mmegeuza haki kuwa sumu

na matunda ya uadilifu kuwa uchungu:

136:13 Ay 13:8; 8:15; Isa 28:14-15ninyi mnaoshangilia kushindwa kwa Lo-Debari

na kusema, “Je, hatukuteka Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”

146:14 Yer 5:15; Hes 13:21; 1Fal 8:65; Amo 3:11Maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema,

“Nitainua taifa dhidi yenu, ee nyumba ya Israeli,

nalo litawatesa kuanzia Lebo-Hamathi

hadi Bonde la Araba.”

Bibelen på hverdagsdansk

Amosʼ Bog 6:1-14

1Ve jer, der tager den med ro i Jerusalem og lever sorgløst i Samaria. I betragter jer selv som de bedste ledere i det bedste land, og Israels folk kommer til jer for at få råd og hjælp. 2Men tænk på, hvordan det er gået Kalno6,2 Eller: „Kalne”, se Es. 10,9. og den tidligere storby Hamat. Og hvad med filisterbyen Gat? Når de blev lagt i ruiner, hvad så med jer? Er jeres byer og lande bedre end deres? 3I tror, at dommen er langt borte, men jeres handlinger bringer den tæt på.

4I nyder livet henslængt på jeres elfenbensudsmykkede senge og divaner. I frådser i fede lamme- og kalvestege, 5mens I synger viser og spiller på lyrer fra Davids tid. 6I drikker vin af de hellige offerskåle og bruger de bedste aromatiske olier på jer selv i stedet for at faste og sørge over Israels forfald. 7Derfor skal I blive de første, som føres i eksil. Jeres lystige fester får en brat ende.

8Herren, den almægtige Gud, har svoret ved sig selv: „Jeg hader Israels hovmod og foragter deres paladser. Derfor overgiver jeg deres by med alle dens indbyggere i fjendens hånd.”

9Om så ti mænd skjuler sig i et hus, skal de alle dø. 10Hvis en slægtning kommer for at hente de døde i huset og begrave dem, råber han måske ind i huset, om der er flere tilbage. Hvis svaret er: „Nej!” vil han sige: „Pas på, nævn ikke Herrens navn, for at han ikke skal høre dig!” 11For når først Herren har afsagt sin dom, skal både små og store huse jævnes med jorden.

12Lader man heste galopere på klipper? Lader man okser pløje havet? Men I har stik imod al fornuft vendt retten til uret og erstattet det gode med det onde. 13I praler over at have besejret de magtesløse og er stolte over, hvad I har kunnet udrette i egen kraft.

14„Åh, Israels folk,” siger Herren, den almægtige Gud. „Jeg sender et fremmed folk imod jer. De vil hærge jeres land fra Lebo-Hamat i nord til Arabadalen mod syd.”