Amosi 4 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 4:1-13

Israeli Hajarudi Kwa Mungu

14:1 Za 22:12; Isa 58:6; Eze 39:18; 18:12; Amo 3:9; 2:8; 8:6; Yer 44:19Sikilizeni neno hili, ninyi ngʼombe wa Bashani

mlioko juu ya Mlima Samaria,

ninyi wanawake mnaowaonea maskini,

na kuwagandamiza wahitaji,

na kuwaambia wanaume wenu,

“Tuleteeni vinywaji!”

24:2 Amo 6:8; Isa 19:8; Yer 31:31; 2Fal 19:28; 2Nya 33:11Bwana Mwenyezi ameapa kwa utakatifu wake:

“Hakika wakati utakuja

mtakapochukuliwa na kulabu,

na wanaosalia kwa ndoana za samaki.

34:3 Eze 12:5Nanyi mtakwenda moja kwa moja

kupitia mahali palipobomolewa kwenye ukuta,

nanyi mtatupwa nje kuelekea Harmoni,”

asema Bwana.

44:4 Hos 4:15; Hes 28:3, 4; 28:3; Eze 20:39; Kum 14:28; Yos 7:2; Amo 5:21, 22“Nendeni Betheli mkatende dhambi;

nendeni Gilgali mkazidi kutenda dhambi.

Leteni dhabihu zenu kila asubuhi,

zaka zenu kila mwaka wa tatu.

5Mchome mkate uliotiwa chachu kama sadaka ya shukrani,

jisifuni kuhusu sadaka zenu za hiari:

jigambeni kwa ajili ya sadaka hizo, enyi Waisraeli,

kwa kuwa hili ndilo mnalopenda kulitenda,”

asema Bwana Mwenyezi.

64:6 Isa 9:13; 1Fal 17:1; Hag 2:17; Yer 5:3; Hos 5:15“Niliwapa njaa kwenye kila mji,

na ukosefu wa chakula katika kila mji,

hata hivyo bado hamjanirudia mimi,”

asema Bwana.

74:7 Kum 11:17; Isa 5:6; Zek 14:17; Kut 9:4, 26; 2Nya 7:13“Pia niliwazuilia ninyi mvua miezi mitatu

kabla ya kufikia mavuno.

Nilinyesha mvua kwenye mji mmoja,

lakini niliizuia mvua isinyeshe mji mwingine.

Shamba moja lilipata mvua,

na lingine halikupata, nalo likakauka.

84:8 Eze 4:16-17; Ay 36:31; Yer 14:4; 2:7; Hag 1:6Watu walitangatanga mji hata mji kutafuta maji,

lakini hawakupata ya kuwatosha kunywa,

hata hivyo hamjanirudia mimi,”

asema Bwana.

94:9 Kum 28:22; Isa 9:13; Hag 2:17; Yer 3:10; Yoe 1:7; 2:25; Kut 10:13“Mara nyingi nilizipiga bustani zenu na mashamba ya mizabibu,

niliyapiga kwa kutu na ukungu.

Nzige walitafuna tini zenu na miti ya mizeituni,

hata hivyo hamjanirudia mimi,”

asema Bwana.

104:10 Kut 9:3; 11:5; Kum 28:27; Isa 9:13, 17“Niliwapelekea tauni miongoni mwenu

kama nilivyofanya kule Misri.

Niliwaua vijana wenu wa kiume kwa upanga,

niliwachukua farasi wenu.

Nilijaza pua zenu kwa uvundo kutoka kwenye kambi zenu,

hata hivyo hamjanirudia mimi,”

asema Bwana.

114:11 Mwa 19:29; Yer 23:14; Isa 7:4; 13:19; Zek 3:2; Yud 23; Ay 36:13“Niliwaangamiza baadhi yenu kama

nilivyoangamiza Sodoma na Gomora.

Mlikuwa kama kijiti kiwakacho kilichonyakuliwa motoni,

hata hivyo hamjanirudia,”

asema Bwana.

12“Kwa hiyo hili ndilo nitakalowafanyia, Israeli,

na kwa sababu nitawafanyia hili,

jiandaeni kukutana na Mungu wenu, ee Israeli.”

134:13 Dan 2:28; Za 65:6; 135:7; Yn 2:25; Amo 9:6; 5:8, 27; Isa 47:4Yeye ambaye hufanya milima, anaumba upepo,

na kufunua mawazo yake kwa mwanadamu,

yeye ageuzaye asubuhi kuwa giza,

na kukanyaga mahali pa juu pa nchi:

Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

Nueva Versión Internacional

Amós 4:1-13

1Escuchen esta palabra, vacas de Basán,

que viven en el monte de Samaria,

que oprimen a los desvalidos y maltratan a los necesitados,

que dicen a sus esposos:

«¡Tráigannos de beber!».

2El Señor y Dios ha jurado por su santidad:

«Vendrán días en que hasta la última de ustedes

será arreada con ganchos y anzuelos.

3Una tras otra saldrán por las brechas del muro,

y hacia Harmón serán expulsadas»,

afirma el Señor.

4«Vayan a Betel y pequen;

vayan a Guilgal y pequen mucho más.

Ofrezcan sus sacrificios por la mañana,

y al tercer día4:4 día. Alt. año; véase Dt 14:28. sus diezmos.

5Quemen pan leudado como ofrenda de gratitud

y proclamen ofrendas voluntarias.

Háganlo saber a todos, israelitas;

¡eso es lo que a ustedes les encanta!»,

afirma el Señor y Dios.

Dureza de Israel

6«Yo les hice pasar hambre en todas sus ciudades

y los privé de pan en todos sus poblados.

Con todo, ustedes no se volvieron a mí»,

afirma el Señor.

7«Yo les retuve la lluvia

cuando aún faltaban tres meses para la cosecha.

En una ciudad hacía llover,

pero en otra no;

una parcela recibía lluvia,

mientras que otra no y se secó.

8Vagando de ciudad en ciudad,

iba la gente en busca de agua,

pero no calmaba su sed.

Con todo, ustedes no se volvieron a mí»,

afirma el Señor.

9«Castigué sus campos con plagas y pestes;

la langosta devoró sus huertos y viñedos,

sus higueras y olivares.

Con todo, ustedes no se volvieron a mí»,

afirma el Señor.

10«Les mandé plagas

como lo hice en Egipto.

Maté a sus mejores jóvenes por la espada,

junto con los caballos capturados.

Hice que llegara hasta sus propias narices

el hedor de los campamentos.

Con todo, ustedes no se volvieron a mí»,

afirma el Señor.

11«Envié una destrucción

como la de Sodoma y Gomorra;

eran como brazas,

tizones rescatados del fuego.

Con todo, ustedes no se volvieron a mí»,

afirma el Señor.

12«Por eso, Israel, voy a actuar contra ti;

y como voy a hacerlo,

¡prepárate, Israel, para encontrarte con tu Dios!».

13He aquí el que forma las montañas,

el que crea el viento,

el que revela al ser humano sus pensamientos,

el que convierte la aurora en tinieblas,

el que marcha sobre las alturas de la tierra:

su nombre es el Señor Dios de los Ejércitos.