Mashahidi Waitwa Dhidi Ya Israeli
13:1 Amo 2:10; Sef 2:5Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:
23:2 Kut 19:6; 1Pet 4:17; Lk 12:47; Mik 2:3; Eze 9:6; Dan 9:12; Mt 11:22; Rum 2:9; Kum 7:6; Yer 14:10“Ni ninyi tu niliowachagua
kati ya jamaa zote za dunia;
kwa hiyo nitawaadhibu
kwa ajili ya dhambi zenu zote.”
3Je, watu wawili hutembea pamoja
wasipokubaliana kufanya hivyo?
43:4 Za 104:21; Hos 5:14; Isa 42:13Je, simba hunguruma katika kichaka
wakati hana mawindo?
Aweza kuvuma katika pango
wakati ambao hajakamata chochote?
5Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini
ambapo hajategewa chambo?
Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini
wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?
63:6 Isa 14:24-27; 31:2; 45:7; Hes 10:2; Eze 33:3; Ay 39:24; Yer 4:21Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari,
watu hawatetemeki?
Mji upatwapo na maafa,
je, si Bwana amesababisha?
73:7 1Sam 3:7; Mwa 6:13; 18:17; Mit 3:32; Yn 15:15; Yer 23:22; Mit 3:32; Dan 9:22-27; Ufu 1:1, 19Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote
bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
83:8 1Kor 9:16; Yn 3:1-3; Mdo 4:20; Isa 31:4; 42:13; Yer 20:9Simba amenguruma:
je, ni nani ambaye hataogopa?
Bwana Mwenyezi ametamka:
je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?
93:9 Yos 13:3; 2Nya 26:6Tangazeni katika ngome za Ashdodi
na katika ngome za Misri:
“Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria;
angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake,
na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”
103:10 Yer 4:22; Amo 6:12; 5:7; Mik 6:10; Hab 2:8Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema,
wale ambao hujilundikia nyara
na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”
113:11 Amo 2:5; 6:14; 2Fal 17:6Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:
“Adui ataizingira nchi;
ataangusha chini ngome zenu
na kuteka nyara maboma yenu.”
123:12 1Sam 17:34; Es 1:6; Amo 6:4Hili ndilo asemalo Bwana:
“Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba
vipande viwili tu vya mfupa wa mguu
au kipande cha sikio,
hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa,
wale wakaao Samaria
kwenye kingo za vitanda vyao,
na katika Dameski
kwenye viti vyao vya fahari.”
13“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
143:14 Mwa 12:8; Amo 5:5-6; Kut 27:2; Law 26:18“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake,
nitaharibu madhabahu za Betheli;
pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali
na kuanguka chini.
153:15 Yer 36:22; Amu 3:20; 1Fal 22:39; Hos 10:5-8; Isa 34:5; Amo 5:11; 6:11Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika,
pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi;
nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu
na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,”
asema Bwana.
Det utvalda och förkastade folket
1Hör vad Herren har talat mot er, israeliter, mot hela det släkte som jag förde ut ur Egypten:
2”Endast er har jag utvalt3:2 Ordagrant: känt.
bland alla släkten på jorden.
Därför ska jag straffa er
för alla era synder.”
3Vandrar två tillsammans
om de inte är överens om det?
4Ryter ett lejon i snåren
om det inte har något byte?
Morrar ett ungt lejon i sin håla
om det inte har fångat något?
5Faller en fågel i en snara på marken
om ingen fälla är gillrad för den?
Springer en snara upp från marken
om det inte finns något att fånga?
6Om man stöter i horn i en stad,
blir inte folket förskräckt?
Om något ont händer i en stad,
har inte Herren orsakat det?
7Herren, Herren, gör ingenting
utan att avslöja sina planer
för sina tjänare profeterna.
8När lejonet ryter,
vem blir då inte rädd?
När Herren, Herren har talat,
vem skulle inte profetera?
Samarias dom
9Låt budet gå till fästningarna i Ashdod
och i Egypten, säg:
”Samla er på Samarias berg,
se vilket tumult som råder där,
och förtrycket mitt ibland dem!”
10”De förstår inte att handla rätt,
säger Herren,
dessa som lagrar byten och rövat gods
i sina fästningar.
11Därför, säger Herren, Herren,
ska en fiende omringa landet.
Han ska bryta ner dina borgar
och plundra dina fästningar.”
12Så säger Herren:
”Som en herde räddar ur lejonets gap
ett par benpipor eller en bit av ett öra,
så ska israeliterna räddas,
de som nu sitter i Samaria
på sängkanten och i mjuka soffor.3:12 Betydelsen av de hebreiska orden för sängkanten och mjuka soffor är osäker.
13Hör och vittna mot Jakobs släkt! säger Herren, Herren, härskarornas Gud.
14Samma dag som jag straffar Israel för dess synd
ska jag också låta straffet drabba Betels altaren,
och altarets horn ska huggas av
och falla till marken.
15Jag ska slå ner
både vinter- och sommarbostäderna.
Elfenbenspalatsen ska förstöras
och de många husen utplånas, säger Herren.”