Mashahidi Waitwa Dhidi Ya Israeli
13:1 Amo 2:10; Sef 2:5Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:
23:2 Kut 19:6; 1Pet 4:17; Lk 12:47; Mik 2:3; Eze 9:6; Dan 9:12; Mt 11:22; Rum 2:9; Kum 7:6; Yer 14:10“Ni ninyi tu niliowachagua
kati ya jamaa zote za dunia;
kwa hiyo nitawaadhibu
kwa ajili ya dhambi zenu zote.”
3Je, watu wawili hutembea pamoja
wasipokubaliana kufanya hivyo?
43:4 Za 104:21; Hos 5:14; Isa 42:13Je, simba hunguruma katika kichaka
wakati hana mawindo?
Aweza kuvuma katika pango
wakati ambao hajakamata chochote?
5Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini
ambapo hajategewa chambo?
Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini
wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?
63:6 Isa 14:24-27; 31:2; 45:7; Hes 10:2; Eze 33:3; Ay 39:24; Yer 4:21Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari,
watu hawatetemeki?
Mji upatwapo na maafa,
je, si Bwana amesababisha?
73:7 1Sam 3:7; Mwa 6:13; 18:17; Mit 3:32; Yn 15:15; Yer 23:22; Mit 3:32; Dan 9:22-27; Ufu 1:1, 19Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote
bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
83:8 1Kor 9:16; Yn 3:1-3; Mdo 4:20; Isa 31:4; 42:13; Yer 20:9Simba amenguruma:
je, ni nani ambaye hataogopa?
Bwana Mwenyezi ametamka:
je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?
93:9 Yos 13:3; 2Nya 26:6Tangazeni katika ngome za Ashdodi
na katika ngome za Misri:
“Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria;
angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake,
na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”
103:10 Yer 4:22; Amo 6:12; 5:7; Mik 6:10; Hab 2:8Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema,
wale ambao hujilundikia nyara
na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”
113:11 Amo 2:5; 6:14; 2Fal 17:6Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:
“Adui ataizingira nchi;
ataangusha chini ngome zenu
na kuteka nyara maboma yenu.”
123:12 1Sam 17:34; Es 1:6; Amo 6:4Hili ndilo asemalo Bwana:
“Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba
vipande viwili tu vya mfupa wa mguu
au kipande cha sikio,
hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa,
wale wakaao Samaria
kwenye kingo za vitanda vyao,
na katika Dameski
kwenye viti vyao vya fahari.”
13“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
143:14 Mwa 12:8; Amo 5:5-6; Kut 27:2; Law 26:18“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake,
nitaharibu madhabahu za Betheli;
pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali
na kuanguka chini.
153:15 Yer 36:22; Amu 3:20; 1Fal 22:39; Hos 10:5-8; Isa 34:5; Amo 5:11; 6:11Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika,
pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi;
nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu
na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,”
asema Bwana.
Straffen over et udvalgt folk
1Hør hvad Herren siger til Israels folk: „Det var jer, jeg førte ud af Egypten. 2Af alle jordens folkeslag er det jer, jeg har udvalgt! Derfor må jeg straffe jer, når I gør oprør imod mig. 3Kan to mennesker slå følge uden først at have lavet en aftale? 4Brøler en løve i buskadset, før den har nedlagt sit bytte? Knurrer ungløven i sin hule uden at have fanget noget? 5Går en fugl i en fælde, hvis der ikke er lokkemad? Klapper en fælde i, hvis den ikke bliver udløst? 6Mon ikke folk bliver bange, når der blæses alarm i byen? Mon ikke jeg står bag, når en by bliver straffet med krig? 7Men jeg skrider ikke til handling, før jeg har åbenbaret mine planer for mine tjenere, profeterne. 8Når løven brøler, bliver mennesket bange. Når Herren taler, må profeten give det videre.
9Råb til filistrene i Ashdods fæstning og til egypterne i deres befæstede byer: Kom og sæt jer på bakketoppene rundt om Samaria. Se på al den vold og undertrykkelse, der foregår i Israel. 10Mit folk har glemt at handle ret. De fylder deres huse med ting, de har røvet. 11Derfor vil en fjende belejre landet, nedbryde byens mure og plyndre deres huse.
12Som når en hyrde kun redder et par skinneben eller et øre af sit får fra løvens gab, sådan vil kun få af Samarias indbyggere blive reddet, som man kan være heldig at redde et hjørne af sin seng eller et stykke af en divan.”3,12 Meningen af teksten er uklar.
13Herren, den Almægtige, siger: „Hør efter og advar Israels folk. 14Når jeg straffer mit folk for deres oprør, vil jeg ødelægge afgudsaltrene i Betel. Altrenes horn bliver hugget af og falder til jorden. 15Jeg ødelægger alle de store, pragtfulde huse, både vinterpalæer, sommerboliger og elfenbenspaladser.