Amosi 2 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 2:1-16

12:1 Eze 25:8; Sef 2:8; 2Fal 3:27; Isa 16:6; 33:2Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Moabu,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu,

ikawa kama chokaa.

22:2 Yer 48:7, 24; Ay 39:25; Yos 6:20Nitatuma moto juu ya Moabu

ambao utateketeza ngome za Keriothi.

Moabu ataanguka kwa ghasia kubwa

katikati ya vilio vya vita na mlio wa tarumbeta.

32:3 Hes 24:17; Za 2:10; Isa 40:23; Eze 25:8-11; Sef 2:8-9Nitamwangamiza mtawala wake

na kuwaua maafisa wake wote pamoja naye,”

asema Bwana.

42:4 Law 26:14; 2Sam 12:9, 10; 2Nya 36:14-17; Neh 1:7; Hos 12:2; Eze 9:11; Dan 9:11; 2Fal 17:19; Yer 6:19; 16:12; Isa 5:24; 9:16; 28:15; Kut 34:15Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Yuda,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu wameikataa sheria ya Bwana

na hawakuzishika amri zake,

kwa sababu wamepotoshwa na miungu ya uongo,

miungu ambayo babu zao waliifuata.

52:5 Yer 17:27; Hos 8:14; 2Fal 25:9; Amo 3:11; 2Nya 36:19Nitatuma moto juu ya Yuda

ambao utateketeza ngome za Yerusalemu.”

Hukumu Juu Ya Israeli

62:6 Isa 29:21; Yoe 3:3; Amo 5:11, 12; 8:6Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Israeli,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Wanawauza wenye haki kwa fedha,

na maskini kwa jozi ya viatu.

72:7 Eze 36:20; 22:11; Law 18:21; 20:3; Amo 8:4; 5:11-12; Rum 2:24; Isa 10:2Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini,

kama vile juu ya mavumbi ya nchi,

na kukataa haki kwa walioonewa.

Baba na mwanawe hushiriki msichana mmoja,

kwa hivyo hulinajisi Jina langu takatifu.

82:8 Kut 22:26; Hos 7:14; 1Kor 10:21; Hab 2:6; Amo 6:6; Kum 24:12-14Watu hulala kando ya kila madhabahu

juu ya nguo zilizowekwa rehani.

Katika nyumba ya mungu wao hunywa mvinyo

ulionunuliwa kwa fedha walizotozwa watu.

92:9 Hes 13:32; 21:23-26; Yos 10:12; Ay 18:16; Mal 4:1; Isa 10:33; Za 29:9“Nilimwangamiza Mwamori mbele yao,

ingawa alikuwa mrefu kama mierezi,

na mwenye nguvu kama mialoni.

Niliyaangamiza matunda yake juu

na mizizi yake chini.

102:10 Kut 6:6; 20:2; Hes 21:23; Yos 13:4; Amo 9:7; Kum 8:2; 2:7“Niliwapandisha toka Misri,

na nikawaongoza miaka arobaini jangwani

niwape nchi ya Waamori.

112:11 Kut 18:18; Yer 7:25; Hes 6:2-3; Amu 13:5Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu

na Wanadhiri kutoka miongoni mwa vijana wenu.

Je, hii si kweli, enyi watu wa Israeli?”

asema Bwana.

122:12 Mdo 4:18; Isa 30:10; Yer 11:21; Amo 7:12-13; Mik 2:6“Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo

na kuwaamuru manabii wasitoe unabii.

13“Sasa basi, nitawaponda

kama gari lipondavyo wakati limejazwa nafaka.

142:14 1Fal 20:11; Yer 9:23; Za 33:16; Ay 11:20; Isa 30:16-17Mkimbiaji hodari hatanusurika,

wenye nguvu wataishiwa nguvu zao,

na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.

152:15 Eze 39:3; Kut 15:21; Zek 10:5; Mhu 9:11Mpiga upinde atakimbia,

askari wapiga mbio hawataweza kutoroka,

na mpanda farasi hataokoa maisha yake.

162:16 Yer 48:41Hata askari walio mashujaa sana

siku hiyo watakimbia uchi,”

asema Bwana.

Nueva Versión Internacional

Amós 2:1-16

1Así dice el Señor:

«Por tres pecados de Moab y por el cuarto,

no anularé su castigo,

porque quemaron los huesos del rey de Edom

hasta calcinarlos.

2Por eso yo enviaré fuego sobre Moab

que consumirá las fortalezas de Queriot.

Y morirá Moab en medio del estrépito

de gritos de guerra y toques de trompeta.

3Destruiré al gobernante en medio de su pueblo

y junto con él mataré a todos sus oficiales»,

dice el Señor.

4Así dice el Señor:

«Por tres pecados de Judá y por el cuarto,

no anularé su castigo,

porque rechazaron la Ley del Señor

y no obedecieron sus estatutos;

porque se dejaron descarriar por falsos dioses,

tras los que anduvieron sus antepasados.

5Por eso yo enviaré fuego sobre Judá

que consumirá las fortalezas de Jerusalén».

Juicio contra Israel

6Así dice el Señor:

«Por tres pecados de Israel y por el cuarto,

no anularé su castigo:

Venden al justo por plata

y al necesitado, por un par de sandalias.

7Pisan la cabeza de los desvalidos

como si fuera el polvo de la tierra

y niegan la justicia al oprimido.

Padre e hijo se acuestan con la misma joven,

profanando así mi santo nombre.

8Junto a cualquier altar

se acuestan sobre ropa que tomaron en prenda,

y el vino que han cobrado como multa

lo beben en la casa de su dios.2:8 su dios. Alt. sus dioses.

9»Fui yo quien destruí a los amorreos delante de ellos;

aunque eran altos como el cedro

y fuertes como la encina;

destruí su fruto arriba

y sus raíces abajo.

10Yo mismo los saqué a ustedes de Egipto

y los conduje cuarenta años por el desierto

para que tomaran posesión de la tierra de los amorreos.

11»También levanté profetas de entre sus hijos

y nazareos de entre sus jóvenes.

¿Acaso no fue así, israelitas?»,

afirma el Señor.

12«Pero ustedes hicieron beber vino a los nazareos

y ordenaron a los profetas que no profetizaran.

13»Pues bien, estoy por aplastarlos a ustedes

como aplasta una carreta cargada de trigo.

14Entonces no habrá escapatoria para el ágil,

ni el fuerte podrá valerse de su fuerza,

ni el guerrero librará su vida.

15El arquero no se mantendrá firme,

ni escapará con vida el ágil de piernas,

ni se salvará el que monta a caballo.

16En aquel día huirá desnudo

aun el más valiente de los guerreros»,

afirma el Señor.