Amosi 2 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 2:1-16

12:1 Eze 25:8; Sef 2:8; 2Fal 3:27; Isa 16:6; 33:2Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Moabu,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu,

ikawa kama chokaa.

22:2 Yer 48:7, 24; Ay 39:25; Yos 6:20Nitatuma moto juu ya Moabu

ambao utateketeza ngome za Keriothi.

Moabu ataanguka kwa ghasia kubwa

katikati ya vilio vya vita na mlio wa tarumbeta.

32:3 Hes 24:17; Za 2:10; Isa 40:23; Eze 25:8-11; Sef 2:8-9Nitamwangamiza mtawala wake

na kuwaua maafisa wake wote pamoja naye,”

asema Bwana.

42:4 Law 26:14; 2Sam 12:9, 10; 2Nya 36:14-17; Neh 1:7; Hos 12:2; Eze 9:11; Dan 9:11; 2Fal 17:19; Yer 6:19; 16:12; Isa 5:24; 9:16; 28:15; Kut 34:15Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Yuda,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu wameikataa sheria ya Bwana

na hawakuzishika amri zake,

kwa sababu wamepotoshwa na miungu ya uongo,

miungu ambayo babu zao waliifuata.

52:5 Yer 17:27; Hos 8:14; 2Fal 25:9; Amo 3:11; 2Nya 36:19Nitatuma moto juu ya Yuda

ambao utateketeza ngome za Yerusalemu.”

Hukumu Juu Ya Israeli

62:6 Isa 29:21; Yoe 3:3; Amo 5:11, 12; 8:6Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Israeli,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Wanawauza wenye haki kwa fedha,

na maskini kwa jozi ya viatu.

72:7 Eze 36:20; 22:11; Law 18:21; 20:3; Amo 8:4; 5:11-12; Rum 2:24; Isa 10:2Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini,

kama vile juu ya mavumbi ya nchi,

na kukataa haki kwa walioonewa.

Baba na mwanawe hushiriki msichana mmoja,

kwa hivyo hulinajisi Jina langu takatifu.

82:8 Kut 22:26; Hos 7:14; 1Kor 10:21; Hab 2:6; Amo 6:6; Kum 24:12-14Watu hulala kando ya kila madhabahu

juu ya nguo zilizowekwa rehani.

Katika nyumba ya mungu wao hunywa mvinyo

ulionunuliwa kwa fedha walizotozwa watu.

92:9 Hes 13:32; 21:23-26; Yos 10:12; Ay 18:16; Mal 4:1; Isa 10:33; Za 29:9“Nilimwangamiza Mwamori mbele yao,

ingawa alikuwa mrefu kama mierezi,

na mwenye nguvu kama mialoni.

Niliyaangamiza matunda yake juu

na mizizi yake chini.

102:10 Kut 6:6; 20:2; Hes 21:23; Yos 13:4; Amo 9:7; Kum 8:2; 2:7“Niliwapandisha toka Misri,

na nikawaongoza miaka arobaini jangwani

niwape nchi ya Waamori.

112:11 Kut 18:18; Yer 7:25; Hes 6:2-3; Amu 13:5Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu

na Wanadhiri kutoka miongoni mwa vijana wenu.

Je, hii si kweli, enyi watu wa Israeli?”

asema Bwana.

122:12 Mdo 4:18; Isa 30:10; Yer 11:21; Amo 7:12-13; Mik 2:6“Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo

na kuwaamuru manabii wasitoe unabii.

13“Sasa basi, nitawaponda

kama gari lipondavyo wakati limejazwa nafaka.

142:14 1Fal 20:11; Yer 9:23; Za 33:16; Ay 11:20; Isa 30:16-17Mkimbiaji hodari hatanusurika,

wenye nguvu wataishiwa nguvu zao,

na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.

152:15 Eze 39:3; Kut 15:21; Zek 10:5; Mhu 9:11Mpiga upinde atakimbia,

askari wapiga mbio hawataweza kutoroka,

na mpanda farasi hataokoa maisha yake.

162:16 Yer 48:41Hata askari walio mashujaa sana

siku hiyo watakimbia uchi,”

asema Bwana.

Korean Living Bible

아모스 2:1-16

1여호와께서 말씀하신다. “모압의 서너 가지 죄에 대하여 내가 2:1 또는 ‘그 벌을’내 분노를 돌이 키지 않겠다. 이것은 그가 에돔 왕의 뼈를 태워 횟가루로 만들었기 때문이다.

2그러므로 내가 모압 땅에 불을 보내 그리욧 요새들을 태우겠다. 병사들이 외치고 나팔을 부는 전쟁의 소란 가운데 모압 백성이 죽을 것이다.

3내가 또 모압의 2:3 또는 ‘재판장’통치자와 그 땅 모든 지도자들을 죽일 것이다. 이것은 나 여호와의 말이다.”

유다와 이스라엘에 대한 심판

4여호와께서 말씀하신다. “유다의 서너 가지 죄에 대하여 내가 내 분노를 돌이키지 않겠다. 이것은 그 백성이 나 여호와의 율법을 멸시하고 내 명령을 지키지 않으며 그들의 조상들이 섬기던 거짓 신들에게 미혹되었기 때문이다.

5그러므로 내가 유다에 불을 보내 예루살렘의 요새들을 태울 것이다.”

6여호와께서 말씀하신다. “이스라엘의 서너 가지 죄에 대하여 내가 내 분노를 돌이키지 않겠다. 이것은 그 백성이 은을 위해 의로운 자를 팔고 신 한 켤레를 위해서 가난한 자를 팔며

72:7 또는 ‘가난한 자의 머리에 있는 티끌을 탐내며’힘 없는 자를 땅의 티끌처럼 짓밟고 겸손한 자를 무시하며 아버지와 아들이 한 창녀를 찾아다녀 나의 거룩한 이름을 더럽히고

8그들이 모든 제단 곁에서 저당잡은 옷을 깔고 누우며 벌금으로 뺏은 포도주를 내 성전에서 마시기 때문이다.

9“내가 아모리 사람을 그들 앞에서 멸망시켰다. 저들이 비록 백향목처럼 키가 크고 상수리나무처럼 강하였으나 내가 그 위의 열매와 그 아래의 뿌리를 잘라 버렸다.

10내가 너희를 이집트에서 이끌어내어 40년 동안 광야에서 인도하였고 아모리 사람의 땅을 너희에게 주었으며

11또 너희 아들들 중에서 예언자를, 너희 청년들 중에서 2:11 어느 일정한 기간 동안 술을 마시지 않고 머리를 깎지 않으며 시 체를 만지지 않겠다는 서약을 함으로써 자신을 성별하여 하나님께 헌신한 사람.나실인을 일으켰다. 이스라엘 백성들아, 이것이 사실이 아니냐?

12그러나 너희는 나실인에게 포도주를 마시게 하며 예언자에게 예언하지 말라고 명령하였다.

13“곡식단을 가득 실은 수레가 짐에 짓눌리듯이 내가 너희를 내리누를 것이다.

14빨리 달리는 자도 피하지 못할 것이며 강한 자도 자기 힘을 낼 수 없고 용사도 자기 생명을 구하지 못할 것이다.

15활을 가진 자도 설 수 없고 발이 빠른 자도 달아나지 못하며 말 타는 자도 자기 생명을 구하지 못하고

162:16 또는 ‘용사 중에 굳센 자는 그 날에 벌거벗고야 도 망하리라’그 날에는 가장 용감한 병사도 무기를 팽개치고 맨몸으로 도망할 것이다. 이것은 나 여호와의 말이다.”